Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Mi kuna machinga nilikuwa nachukua mzigo kwake,hivyo nampa pesa ye anazunguka kwenda kuchukua mzigo.Ukimuuliza asemi, siku nilienda na vijana wangu watatu ambapo yeye hakuwaona. Hivyo nilivyomkabidhi pesa akaondoka, vijana wangu wakamfuatilia mpaka wakajua maduka yote aliyoingia. Tangia siku hiyo hajaniona na majamaa wa madukani washanizoea hata bila pesa wananipa mzigo au wanatuma mkoani.
Bro. Inabidi nami unipe chimbo la mazaga zaga nitakushukuru sana ndugu
 
Hivi Karibuni kampuni yetu itaanzisha Huduma za kuwatafutia wafanyabiashara wa mikoani bidhaa wanazohitaji hapa DSM, au nje ya nchi. Tutachukua oda zenu, tutawapa bei, mtatuma pesa, tutanunua na kuwasafirishia mlipo. Tutawatoza ada kidogo tofauti na gharama ungezitumia kuna DSM na kurudi. Stay tuned!
Vipi kampuni yenu iliishia wapi
 
Kwa habari ya flash na memory cards OG na copy nichek Mkuu, hapo Likoma Sina mpinzani kuanzia wachina mpaka Waswahili
Flash imation na SanDisk -4gb5000
8gb6000
16gb6500
32gb7500 bei za jumla kuanzia 10pcs kila size

Memory cards SanDisk na Microdigit 2gb 4000
4gb4500
8gb6000
16gb6500
32gb7500
Hiyo ni jumla kuanzia 10pcs kila size
Memory cards copy zenye cover ni 2100,zisizo na packing 1800 ,hiyo ni kuanzia 100pcs
Namba za simu?
 
Habari wakuu
Naomba kufahamu chimbo la kupata mabirika yale ya aluminium ya kuchemshia chai au kahawa

Screenshot_20220501-174510.jpg
 
Mambo vipi waheshimiwa...zinahitajika 100pc kwa ajili ya watoto wa shule za msingi anaeuza au anejua mahsli panapouzwa naomba anisaidiee...nikipata kwa dar au Mwanza itapendeza zaidi
IMG-20220507-WA0011.jpg
 
Naomba kujua ni kariakoo shimoni ni mtaa upi na kunapatikana bidhaaa Gani huko?
 
Blenda

Kenwood
Bei : 120000

Star Strong
Bei :85000

Vilevile kuna Air Frier zile za kuchomea chipsi bila kutumia mafuta pia zipo

Location : Kigamboni na chuo DMI Posta

Mawasiliano: 0658825054
IMG_20220504_173336.jpeg
IMG-20220504-WA0002.jpeg
 
Wauzaji wa vitambaa bei ya jumla wajitokeze na sample zao zile za kisasa na bei
 
Back
Top Bottom