Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Natafuta chaka la vitu vya ndani vya kupikia kama majag, vikone, vijiko n.k naomba mwongozo
 
Kama hutojali tuelekeze hapa hapa mkuu
Nikuelekeza Kwa maneno unaweza ukpotea sababu mara nyingi mzigo wake anawauzia wafanyabiashara store japo ana duka ndio maana nikasema ikiwa umekuja kariako ni rahisi kukuonesha ukafika mwenyewe yeye yupo mtaa wa mchikichi na congo
 
Wadau machimbo ya vifaa vya michezo kwa jumla mtaa upi.?

Jezi,mipira,vifaa vya mazoezi na n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…