Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Jambo la msingi ni kuweka bei kwa mwenye bidhaa hapo ndipo wenzetu wanatushinda kuandika namba ya simu bado haijendi uaminifu
 
 
Natafuta chimbo la hardmaterial ya ujenz kama koleo,sururu,majembe,slesha,shoka n.k nmeangaika week nzma apa karkoo kila ninapooingia nagongana na bei za mkoan kwetu jana nmefanikiwa kuingia goodone lakn nmeambulia maumivu tu wanataka nichukue mzgo kuanzia 5m ...nmekimbia ! tafadhal mwenye uelewa wa hili swala ata kama n out na karkoo nitafata mali.
 
Earphones za jumla nimeambiwa kariakoo ni bei cheap mpaka 2000 unapata zile ambazo mkoani zinauzwa ghali mno hii ni kweli?
 
Na mtaa wa lindi pia
 
Earphones za jumla nimeambiwa kariakoo ni bei cheap mpaka 2000 unapata zile ambazo mkoani zinauzwa ghali mno hii ni kweli???
Hizi earphone za 2000... Ni zile baada ya mda zina katika. Kuna za book jero, buku tatu, buku nne na kuendelea. Huwezi pata ofia kwa book mbili au nec au Samsung; wewe upo wapi nicheki kwa namba hii 0754660061
 
Ndio u
Ndio utaratibu ulivyo boss.
 
Nimemaliza kupitia uzi huu. Kuna mengi ya kujifunza humu.
Baada ya hapa, ni kupambana ili siku moja nami frame yangu ijae.
 
Machimbo ya vitabu vya shule na mapamphuleti ni wapi
 
Watanzania wengi tungekuwa kama wewe mbona tungefika mbali, mwenzio akiwa na hali mbaya unafaidika na nini,hongera sana mkuu,we kweli Bongo bahati mbaya.
 
Dunia ya leo usipokuwa mwaminifu kwenye biashara utasubiri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…