Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wakuu me nahitaji chimbo la dawa za kilimo kwa bei za jumla maana nmezunguka hapo K.koo naona bei zao ni bora hata Morogoro.
 
mkuu
Mkuu Mungu akubariki sana na me mwaka huu nataka kuanza biashara hiyo unaweza ukanisaidia contact zako ili nikija Dar tuonane sisi watu wa mkoani hatujui machimbo uliyoyataja yalipo hivo msaada wako utakua ni wa muhimu sana kwangu plzzz
 
Wakuu ningependa kujua chimbo la vifaa vya viatu,kuanzia kamba,soli,makapeti ya viatu na rangi mbalimbali kwa bei ya jumla hapo k.koo
 
Huu Uzi ubarikiwe sana na Udumu daima.

Hakika Wakuu wote mbarikiwe.

Mafanikio nmeanza kuyaona.
 

Jaribu Kwenda Kamaka
 
Jaribu Kwenda Kamaka
 
Wapi nitapata hii Swiss Gear back pack?

 
Wakuu,
Wapi lilipo chimbo LA bei chee kwa CD za season,action kwa bei ya jumla zilizotafsiriwa.

Natanguliza shukran
 
Vifaa vya stationery:

Paper reams, Counter books, Daftari, Peni, Stappler machine, Soll tapes, Cards, Frame, Files na vingine vingine vya stationery.

Niomba kujua chimbo lake ambako vipo kwa bei ya punguzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…