Check PM yako ndugu.Ninavyo vijora natoa mombasa nauza jumla ......ni pm nikuletee
Mie hapo nafaham kuhusu vijora ni kwel bei yake ndo hyo ila km unachukuwa pcs nying kwa wafanyabiashara wengine anapunguza anakufanyia 5500 visivyo na mtandio na 11500 vyenye mtandio.Habari wakuu! Jana nilitembea k/koo mtaa wa sokoni nilikuwa natafuta Vijora vya Mombasa kwa ajili ya biashara sasa si mzoefu ila bei niliyoikuta ni hii je ni sahihi au wapi naweza pata iliyopoa zaidi.
Vijora vyenye mtandio kwa 12000 jumla
Vijora bila mtandio 6000
Vijora vile vya Shiffon bila kamba 6000
Vijora vya shiffon na kamba 12000
Nikaelekea kitumbini hapa nilienda angalia vitenge nilikutana na hali hii ya bei;-
1.Java zile za china zisizopauka bei 20000 hadi 19500 hapa ni (oriental au Disco) nilivoshauriwa na wanaofanya hii biashara kuwa hizi brand ndo nzuri
2.Java no 2 ambazo ni brand nyingine au wanasema nyepesi bei ni 15000 hadi 14000
3.Nikaja wax hapa sikujua brand gani ni nzuri ila kuna dada aliniambia ANGEL ndo haichuji na kupauka huwa inatoka china ambayo bei ni 21000 hadi 20000
4.Wax no 2 ambazo hizi za moro na nyingine nyingi kuna za 10000 hadi 15000
5.Vitenge vya kawaida nikakuta na vile vya pc 2 kwa bei ya 7000 kwingine 5000 kwingine 6000. Nikauliza urafiki wakasema saaa hivi haifanyi kazi ko hawana mzigo wake
Nimeleta hapa ili kama kuna yeyote anafahamu wapi ntapata mzigo mzuri kw bei nzuri zaidi pia napokea ushauri kipi kibaya kipi kizuri kabla ya kufanya maamuzi ya kuingiza pesa.Karibuni sana.
Anhaa mfano vingapi hivi?! Atleast kidogoMie hapo nafaham kuhusu vijora ni kwel bei yake ndo hyo ila km unachukuwa pcs nying kwa wafanyabiashara wengine anapunguza anakufanyia 5500 visivyo na mtandio na 11500 vyenye mtandio.
Mie huwa nachukua kwanzia pcs hamsini hivi.Anhaa mfano vingapi hivi?! Atleast kidogo
Pia aina gani huwa markertable sana hope una uzoefu katika hii biashara!Mie huwa nachukua kwanzia pcs hamsini hivi.
Uzoefu sio sana ila nmepga hatua mie nauzia mikoan nauza sana vijora visivyo na mtandio na vyenye mtandio, ila nauza madera ya khanga na madera flani yanaitwa makhenz nachanganya na mitandio ya aina tofaut tofaut, ukitaka upge ha2a jitahd uuze jumla na rejareja utpga hatua kwa urahisi sana.Pia aina gani huwa markertable sana hope una uzoefu katika hii biashara!
Viatu vya jinsia zote Au vyakike 2Ngoja nikupe machimbo eh best kizuri kula na mwenzio...Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule mnazi mmoja wengi wanaouza k.koo wanaenda kufata huko, Viatu navyo vinapatikana huu mtaa wa Narung'ombe na congo pale nenda straight kwenye maduka ya wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini nop unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile visandles wanauza 2500/pc. Cheni zama mchikichi katikati kuna mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki.Magauni nayo ingia ndanindani kule congo na aggrey wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka kutype ah.
Nitag ukipata majibu.Nauliza wapi nitapata bidhaa za kutengeneza sabuni za maji na kipande kwa bei ya jumla.
Bado nasubiri, nazitafuta sana hizi bidhaa, huku mikoani wanatupiga sana bei aisee.Nitag ukipata majibu.
Kariakoo makutano ya barabara/mtaa wa Kongo na Omari Rondo.nauliza wapi nitapata bidhaa za kutengeneza sabuni za maji na kipande kwa bei ya jumla.
Kuwa specific mkuu, ni mwenyewe natafuta soap base na sijui kama kuna duka linauza hizo vitu hii nchi.Kariakoo makutano ya barabara/mtaa wa Kongo na Omari Rondo.
Ulizia maeneo hayo watakuelekeza.
bado unasubiri hadi leo[emoji23]Asante mkuu.
Kwa vile umeshaweka contact zako jilinde sana na watu wasiojulikana maana wataanza kucheki post zako za nyuma[emoji1] [emoji1]Asalaaaaaaam wakuu
Za siku nyingi , nilimiss sana Jf angalau sasa imerudi naenjoy maishaa kwa habr na updates mbali mbali
Km kichwa cha habari wakuu napenda kuuliza mtu ukitaka kufungua duka la cosmetics lile standard tuu la katii unatakiwa uwe angalau na mtaji kiasi gan????
Na ni masharti yapi au sheria ipi waga zipo za kufata pamoja na expenses zote za biashara hyoo ikiwemo lesen ya biashara
Nawasilisha wakuu mchango wako ni wa muhimu sana kwangu asante[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Cont: 0769939879
Hahahahaha mwemyew ni mtu nicye julikana[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Kwa vile umeshaweka contact zako jilinde sana na watu wasiojulikana maana wataanza kucheki post zako za nyuma[emoji1] [emoji1]