Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Ninavyo vijora natoa mombasa nauza jumla ......ni pm nikuletee
 
Reactions: Osu
Wakuu naomba kufahamu chimbo la viatu vya kike vya mtumba kama flats,sendo,slippers kwa bei poa
 
Mie hapo nafaham kuhusu vijora ni kwel bei yake ndo hyo ila km unachukuwa pcs nying kwa wafanyabiashara wengine anapunguza anakufanyia 5500 visivyo na mtandio na 11500 vyenye mtandio.
 
Mie hapo nafaham kuhusu vijora ni kwel bei yake ndo hyo ila km unachukuwa pcs nying kwa wafanyabiashara wengine anapunguza anakufanyia 5500 visivyo na mtandio na 11500 vyenye mtandio.
Anhaa mfano vingapi hivi?! Atleast kidogo
 
Pia aina gani huwa markertable sana hope una uzoefu katika hii biashara!
Uzoefu sio sana ila nmepga hatua mie nauzia mikoan nauza sana vijora visivyo na mtandio na vyenye mtandio, ila nauza madera ya khanga na madera flani yanaitwa makhenz nachanganya na mitandio ya aina tofaut tofaut, ukitaka upge ha2a jitahd uuze jumla na rejareja utpga hatua kwa urahisi sana.
 
Viatu vya jinsia zote Au vyakike 2
 
Kariakoo makutano ya barabara/mtaa wa Kongo na Omari Rondo.
Ulizia maeneo hayo watakuelekeza.
Kuwa specific mkuu, ni mwenyewe natafuta soap base na sijui kama kuna duka linauza hizo vitu hii nchi.
 
Asalaaaaaaam wakuu

Za siku nyingi, nilimiss sana JF angalau sasa imerudi naenjoy maishaa kwa habr na updates mbali mbali

Km kichwa cha habari wakuu napenda kuuliza mtu ukitaka kufungua duka la cosmetics lile standard tuu la katii unatakiwa uwe angalau na mtaji kiasi gan?
Na ni masharti yapi au sheria ipi waga zipo za kufata pamoja na expenses zote za biashara hyoo ikiwemo lesen ya biashara
Nawasilisha wakuu mchango wako ni wa muhimu sana kwangu asante[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Cont: 0769939879
 
Kwa vile umeshaweka contact zako jilinde sana na watu wasiojulikana maana wataanza kucheki post zako za nyuma[emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…