mtafutaji2016
Senior Member
- Jun 19, 2016
- 105
- 46
Anaefahamu duka wanalouza spea za bajaji aina ya TVS kwa jumla jumla anifahamishe please. Pia anaejua wapi nitapata muuzaji wa Oil za bajaji kwa bei ya jumla anisaidie. Thank you in Advance
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakushukuru. TVS wanapatikana wapi hapo DSM kaka?Nenda ofisin kwao tvs wanauza kwa jumla ila inategemea unachukua mzigo wa sh ngap
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikupe machimbo eh best kizuri kula na mwenzio...Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule mnazi mmoja wengi wanaouza k.koo wanaenda kufata huko, Viatu navyo vinapatikana huu mtaa wa Narung'ombe na congo pale nenda straight kwenye maduka ya wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini nop unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile visandles wanauza 2500/pc. Cheni zama mchikichi katikati kuna mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki.Magauni nayo ingia ndanindani kule congo na aggrey wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka kutype ah.
Hongera sana mkuu kama upo dar kwanini usiende kariakoo wewe mwenyewe..nenda aggrey mimi huko dar ni mshamba tu
Unaweza nisaidia maduka yanayouza mashine za sealed za kopo km za lotion?Kuna walemavu pale machinga complex wanatengeneza viatu vizuri kweli
Waunge mkono
[emoji252] [emoji479]
Kariakoo au Dar ni wapi tutapata pochi, vitenge na viatu vya kike bei za jumla? Maana wenyeji wengi hawapendi kutupeleka kwenye machimbo.
Kariakoo au Dar ni wapi tutapata pochi, vitenge na viatu vya kike bei za jumla? Maana wenyeji wengi hawapendi kutupeleka kwenye machimbo.
Ngoja nikupe machimbo eh best kizuri kula na mwenzio...Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule mnazi mmoja wengi wanaouza k.koo wanaenda kufata huko, Viatu navyo vinapatikana huu mtaa wa Narung'ombe na congo pale nenda straight kwenye maduka ya wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini nop unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile visandles wanauza 2500/pc. Cheni zama mchikichi katikati kuna mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki.Magauni nayo ingia ndanindani kule congo na aggrey wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka kutype ah.
Mtaa wa Aggrey mkuu maduka ya ndani.na zinapo patikana spear za simu kama vioo touch, memory card na cover kwa bei ya jumla?
Ahsante mkuu
Nami naomba unitag