Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Shukrani mkuu
Tena huo msikiti kwa nje huwa wanapangaga viatu vya kike na mapochi.
Ukifika pale kata kushoto au unaweza usikate ila angalia mbele yako utaona lango la kuingilia.
Ingia humo sasa.
Au ukifika hapo msikitini uliza nataka jeanz wanaponunuaga wazambia...utaoneshwa
 
Thanks much again
 
Nauliza chimbo la bidhaa za vyakula sabuni na mafuta ya kula ya jumla.
 
Noted.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui nikuelekezeje. Ila ni pembeni ya ule msikiti wa pale katikati ya maghorofa wanakouza madera. Msikiti umepakwa rangi ya pink sijui maziwa ile. Kwa pembeni sasa kuna maduka kama unaingia kwa ndani...kuna kila aina ya jeanz. Ngoja nitafute Google
Undefined nishapaelewa, si ukiwa unatokea Igoma, unakuja na Musoma Road mpaka pale junction ya Pamba Road, kisha unachepuka kulia njia ya kwenda salma cone, kabla hujafika kuna msikiti mrefu katikati ya maghorofa, ok got it, ubarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…