Mbona hizi picha naambiwa siwezi zipata (accesess)Kwa wale wanaotaka Vitu bora kutoka Uturuki,Kwa kuagiza au jumla, njoo tufanye kazi.
1.viatu vya kike kama Sandals,simple na Raba
2.Mikoba,Vinainai( Mapochi)
3.Perfume na Perfume Oils
4.Magauni ya watoto
0686-942-315 (Whatsapp/normal Call)View attachment 1558697
View attachment 1558699
View attachment 1558698View attachment 1558701
View attachment 1558702
View attachment 1558703
View attachment 1558705
View attachment 1558706
View attachment 1558707
View attachment 1558711
Mbona hizi picha naambiwa siwezi zipata (accesess)
zna maandishi au chatta??
Weka Bei Hapa..Nime resend tena check comment ya hapo juu
Nashangaa hii pic haifungki
Labda simu yako Ina tatizo au Hapo ulipo mtandao hauko vizurinashangaa hii pic haifungki
UlishapataNauliza zinapopatikana blow daryer za mkono.,pasi za nwele,na vikorokoro vyote vya hair care
.kwa kariakooo.
Itabidi nirudie kwa muda mwingineLabda cm yako Ina tatzo au Hapo ulipo mtandao hauko vzur
Be blessedUkitokea mataa ya uhuru na msimbaz
Kama unaelekea club simba
Mtaa wa kwanza ingia kushoto
Unaitwa mtaa wa agrey
Hapo maduka ya jumla yapo mengi sana
Ni vzr ukazunguka kwanza kabla ya kuanza manunuz ingia mpaka vichochoro
Bei huwa zinatofautina
Sijapata dear.nimezungukaa namepata wanapouza rejareja na bei ni kubwa mno.Ulishapata
Blow dryer unahitaji ngapi!?Sijapata dear.nimezungukaa namepata wanapouza rejareja na bei ni kubwa mno.
Huwezi hata ww kuuza..
Kama unafahamu naomba nielekeze mumy.na hata number ya muuzaji kamanda utaweza nipatie
Dozen nikimaliza natafa tena mzigo. Kama upo kariakoo nielekeze nije.Blow dryer unahitaji ngapi!?
Sample za mzigo wake hizo boss kaz kwako...View attachment 1048754View attachment 1048755View attachment 1048756View attachment 1048757View attachment 1048758
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatimae nimeziona
[emoji4][emoji4]Kumbuka leo wkd [emoji481].ntakupa jib tmr...niliwah pelekwa chimbo kali sana...