Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Kwa wale wanaotaka Vitu bora kutoka Uturuki,Kwa kuagiza au jumla, njoo tufanye kazi.

1.viatu vya kike kama Sandals,simple na Raba

2.Mikoba,Vinainai( Mapochi)

3.Perfume na Perfume Oils

4.Magauni ya watoto

0686-942-315 (Whatsapp/normal Call)View attachment 1558697
View attachment 1558699
View attachment 1558698View attachment 1558701
View attachment 1558702
View attachment 1558703
View attachment 1558705
View attachment 1558706
View attachment 1558707
View attachment 1558711
Mbona hizi picha naambiwa siwezi zipata (accesess)
 
c947e0f7-3900-46e1-b6a9-4c66098dca5f.jpg
 
Kwa anayetaka kununua viatu (sandals, simples) na mikoba, vinainai(pochi), perfumes na magauni ya watoto kwa jumla na rejareja kutoka uturuki, na kwa anayetaka kuagiza pia 0686942315.

c947e0f7-3900-46e1-b6a9-4c66098dca5f.jpg

13cd0509-4e00-4a78-b8db-72641b46e050.jpg

ae4744ac-9d10-4aab-8079-01d4895f8f70.jpg

7e18c25d-166d-40be-85a4-cea3e7c7a082.jpg

97e4f47d-0bc3-452b-b475-14602dfa75dd.jpg


Adjustments.jpg

d4c7540f-f958-46bb-9472-5fa2397fb4bb.jpg

Adjustments.jpg

be26bba0-3c0f-4e78-b519-bfdf9b8cb8a5.jpg

IMG_1199.jpg

Adjustments.jpg

b1ab3c43-bd62-4f12-b798-629f3279ea67.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

IMG_1418.jpg

IMG_1458.jpg
 
Ukitokea mataa ya uhuru na msimbaz
Kama unaelekea club simba
Mtaa wa kwanza ingia kushoto
Unaitwa mtaa wa agrey
Hapo maduka ya jumla yapo mengi sana
Ni vzr ukazunguka kwanza kabla ya kuanza manunuz ingia mpaka vichochoro
Bei huwa zinatofautina
Be blessed
 
Nauliza zinapopatikana hizi kwa kariakoo.kwa bei ya jumla.
Naombeni msaada kwa anaepefahamu.[emoji120][emoji120]
Screenshot_20200826-144615.jpg
IMG_20200817_112758_817.jpg
IMG_20200817_113634_907.jpg
1597669036107.jpg
 
Ulishapata
Sijapata dear.nimezungukaa namepata wanapouza rejareja na bei ni kubwa mno.
Huwezi hata ww kuuza..
Kama unafahamu naomba nielekeze mumy.na hata number ya muuzaji kamanda utaweza nipatie
 
Sijapata dear.nimezungukaa namepata wanapouza rejareja na bei ni kubwa mno.
Huwezi hata ww kuuza..
Kama unafahamu naomba nielekeze mumy.na hata number ya muuzaji kamanda utaweza nipatie
Blow dryer unahitaji ngapi!?
 
Karibuni bidhaa
Jumla itadepend na PC unazochukuana rejareja 7000
Karibu pm
IMG_20200906_234950_296.jpg
Screenshot_20200906-232709_1599425131355.jpg
Screenshot_20200906-232106_1599425104566.jpg
Screenshot_20200906-232716_1599425162144.jpg
 
Back
Top Bottom