ALEX_ANDER
JF-Expert Member
- Jul 8, 2014
- 570
- 816
Habari mpendwa kama unahitaji Kwa bei ya jumla Kwa ajili ya biashara tafadhali niagize nipo India niagize chochote unachokitaka Kwa ushuru mdogo tu nakununulia unachokitaka Kwa bei ya sokoniNauliza zinapopatikana blow daryer za mkono.,pasi za nwele,na vikorokoro vyote vya hair care
.kwa kariakooo.
Laki na nusu
Mkuu una uzoefu na hii na bidhaa gani zinatembea sana ukiagiza aliexpress kuja hapa bongoFanya kuagiza AliExpress inalipa
mkuu hizi flat cap zinapatika wapi na bei gani?dingimtoto kuweka Bei Instagram inakua changamoto sana kwa Sababu Kuna Hawa wanaouza Online so hua wanataka picha hizo hizo nazopiga nao wanatangaza kwa kuweka Bei zao...maana ndo kazi yao ya kuwaingizia kipato...Mimi nikiweka Bei tuu inamaana wao hawatapata Tena wateja so tunaishi hivyo...Ila mteja akinicheki kwa WhatsApp Nina mjibu or akija dukani anakutana na Bei ya Jumla Jumla piah.
Bei Zetu za Jumla Jumla
Tshirt Elfu 13
Form 6 Tshirt 14
Mashati Elfu 14
Sweta Elfu 14
Vipensi Elfu 13
Kofia 7500
Soksi 4500
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijajua Kwa Kariakoo Ila mi naweza kukusaidia kupata kutoka India, vitu mbali mbali kutoka India agiza mkuuTshirt plain round collar kali kabisa kwa bei ya jumla kariakoo zinapatiaka wapi na bei gani?
Sijajua Kwa kkoo Ila mi naweza kukusaidia kupata kutoka India,vitu mbali mbali kutoka India agiza mkuu
Hizo bado sijajua wanapoziuza mkuuuu!mkuu hizi flat cap zinapatika wapi na bei gani?View attachment 1576854View attachment 1576856
Dah mkuu nimependa sana hzo sandals, bei zipoje? (Jumla na rejareja)Kwa anayetaka kununua viatu (sandals, simples) na mikoba, vinainai(pochi), perfumes na magauni ya watoto kwa jumla na rejareja kutoka uturuki, na kwa anayetaka kuagiza pia 0686942315.
View attachment 1560054
View attachment 1560056
View attachment 1560057
View attachment 1560058
View attachment 1560060
View attachment 1560063
View attachment 1560064
View attachment 1560065
View attachment 1560066
View attachment 1560069
View attachment 1560070
View attachment 1560071
View attachment 1560072
View attachment 1560073
View attachment 1560075
View attachment 1560076
mkuu jeans bei zimesimamaje now kariakooo za kiumee jumlaani kweli hasa ukizingatia
unaacha shughuli zako za kutafuta ugali
uende kuzunguka kariakoo
bila kupata chochote
au kwa malipo kidogo
inakua ngumu japo nia ya kusaidia ninayo
lkn kutokana na hali ya kutaharuki na maisha ndiyo nashindwa utekelezaji wake
lkn hata hivyo nashukuru baadhi ya watu wa mikoani nimeanza kuwasiliana nao
kwa sjili ya kufanya nso kazi
na mmoja wa tabora nimeanza kufanya nae kazi
kwa hiyo watu watu wa moikoani
nawakaribisha nifanye nao kaxi
kufahamu zaid tembelea page yangu ya instagram yenye jina la
thumuni1
post mbili za mwisho nimetoa maelezo baadhi ya bidhaa ambazo nafahamu machimbo yake
na nitaendelea kufafanua zaidi
jinsi ya utendaji wa kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mkuu nimependa sana hzo sandals,bei zipoje?(jumla na rejareja)
Nitakufata WhatsApp mkuu unielekeze ulipo nije kununua.Bei zipo
10,000 rejareja na 8,000 jumla
15,000 rejareja na 12,000 jumla
20,000 rejareja na 15,000 jumla