Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

d3887aa4-6a97-4c35-8e4b-ff09db60e62a.jpg
 
Nauliza zinapopatikana blow daryer za mkono.,pasi za nwele,na vikorokoro vyote vya hair care

.kwa kariakooo.
Habari mpendwa kama unahitaji Kwa bei ya jumla Kwa ajili ya biashara tafadhali niagize nipo India niagize chochote unachokitaka Kwa ushuru mdogo tu nakununulia unachokitaka Kwa bei ya sokoni
 
dingimtoto kuweka Bei Instagram inakua changamoto sana kwa Sababu Kuna Hawa wanaouza Online so hua wanataka picha hizo hizo nazopiga nao wanatangaza kwa kuweka Bei zao...maana ndo kazi yao ya kuwaingizia kipato...Mimi nikiweka Bei tuu inamaana wao hawatapata Tena wateja so tunaishi hivyo...Ila mteja akinicheki kwa WhatsApp Nina mjibu or akija dukani anakutana na Bei ya Jumla Jumla piah.
Bei Zetu za Jumla Jumla
Tshirt Elfu 13
Form 6 Tshirt 14
Mashati Elfu 14
Sweta Elfu 14
Vipensi Elfu 13
Kofia 7500
Soksi 4500


Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hizi flat cap zinapatika wapi na bei gani?
Capture1.PNG
Capture2.PNG
 
ni kweli hasa ukizingatia
unaacha shughuli zako za kutafuta ugali
uende kuzunguka kariakoo
bila kupata chochote
au kwa malipo kidogo
inakua ngumu japo nia ya kusaidia ninayo
lkn kutokana na hali ya kutaharuki na maisha ndiyo nashindwa utekelezaji wake
lkn hata hivyo nashukuru baadhi ya watu wa mikoani nimeanza kuwasiliana nao
kwa sjili ya kufanya nso kazi
na mmoja wa tabora nimeanza kufanya nae kazi
kwa hiyo watu watu wa moikoani
nawakaribisha nifanye nao kaxi
kufahamu zaid tembelea page yangu ya instagram yenye jina la
thumuni1
post mbili za mwisho nimetoa maelezo baadhi ya bidhaa ambazo nafahamu machimbo yake
na nitaendelea kufafanua zaidi
jinsi ya utendaji wa kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu jeans bei zimesimamaje now kariakooo za kiumee jumlaa
 
Habari wapendwa, kama kuna mtu atahitaji chochote kutoka India Kwa bei ya jumla tafadhali niagize heavy machine na vitu vidogo vidogo UREMBO nk mawasiliano yangu hayo +91 97179 98645.
 
Back
Top Bottom