mkandaboy
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 257
- 89
Nenda maduka yalio zunguka DDC kuna duka moja lina saa za kutosha pia kkoo siku iz yamefunguliwa maduka mengi ya saa kama wewe n mtembez utayaona mengi
True that, hata mimi nilishaliona hili duka tajwa, jina la mtaa sikumbuki but liko maeneo hayo aliyoelekeza harder king