Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wakuu mwenyekujua hizi cup zinapaikana wapi hapo K/Koo
1f96d72ae3d9794e0cf1f690e1ee9e0c.jpg


8ae22eb58f42c9bc56795a9950a7a91e.jpg
Nenda SIDO Pugu Road. Namba zao ni
0673232073
0763720166
 
Dada nisaidie hivi wapi naweza pata kanzu kwa bei ya jumla,pili saa zile za mikononi za aina mbalimbali,cap zile za sasa na bidhaa za body spray? Ahsanteh
Saa kuna duka liko line ya DDC pale wana bei reasonable
 
Kuanzia jins quality..cheap...form six na hizo tshirt za manga wengi wanachukulia kwenye maduka karibia na wanyama hotel kariakoo..yaani hayo maduka yapo kwa ndani ndani unazama huko utapata bei za jumla!hayo maduka yapo kati ya mtaa wa congo na nyamwezi hakikisha unazama ndani ndani siyo nje.
Ubarikiwe sana
 
Kwa anaehitahi viatu simple raba anitafute pm nitauza kwa bei nzuri
 
Mtaa wa Muhonda ndo kuna kila aina za nguo za ndani kama sox..tight..boxer za watoto..wanawake bila kusahau wanaume!
Dada au yeyote anaejua tafadhari! hii saa napata wapi k/koo kwa bei ya jumla acha zile original hii midosho yake sasa.Ahsanteh
IMG_20180416_221054.jpg
 
Back
Top Bottom