Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
TabataWakuu vifaa vya hardware nitapata wap kwa dar bei cheap....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TabataWakuu vifaa vya hardware nitapata wap kwa dar bei cheap....
Iphone 7 used unayo ?Ni pm mkuu nikupe mawili matatu!problems solved[emoji23] [emoji23]
Niadd na Mimi mkuungoja niombe ridhaa kwa admin lakini group yenyewe ni ya watu wa kimataif so mambo ya kupost upumbaf hayakubaliwi ni business only usidhani ni group la vigodoro na pia kama una biashara yako unapost unauza localy............
Mkuu hivi boxer za wanaume zinauzwa shilingi ngapi kwa bei ya jumlaKwa chupi za kike na nguo za ndani kwa wanaume na wanawake na watoto, nenda mtaa wa shimoni, kuna duka moja linatazamana na msikiti wa jamatini, utafurahi.
Kwahiyo huelewi?jichange bishost utimbe china ukadamshi.... ha ha ha nimeandika kama naelewa .. misemo yenu wadada
Nikupe no Uniunge 0782202544Kuna uz humu unaeleza vzr hayo mambo sema nashindwa kuweka link hapa
Nitumie whatsapp kwwnye no 0782202544Nikupe no Uniunge 0782202544
Nitumie whatsapp kwwnye no 0782202544
Picha linaanza huko China kuyajua hayo machimbo ndo shughuli au nako km kariakoo?Tafta hela uende china. Kuna masoko yao kule vitu bei cheap kweli. Kuna vijana walianza kdgo kdgo tu this day wanafanya vizuri kweli. Just know ur niche.
Vitu vingine in china the prices are lower kuliko hata hapo Kariakoo.
Naomba n mi uni add 0625560354naomba uniadd pls
Machimbo ya china hupelekwi bure mkuu kuna wabongo kibao ndo hizo kazi zao na wanaishi kwa njia hiyo ila utakapozidi kuwa mzoefu naamini nawewe utayajua mfano jamaa anaitwa Cliff mitindo huyu ni winger wa china mcheck insta na ndo anaishi kwa kazi hiyo ila jaribu pia kutafuta wenye uzoefu na huko jenga nar ukaribu utapata mengi.Picha linaanza huko China kuyajua hayo machimbo ndo shughuli au nako km kariakoo?