Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Shea butter inapatikana west africa (Ghana) na East africa (Uganda) kule ndo inapatikana shea trees ambapo kutokea hapo ndo tunapata Shea nuts and then shea butter so wengi wanaouza hapa Tz huwa wanaagiza huko bei ya jumla kwa Ghana ni 10usd per kg na kwa Uganda nilichukua kwa 450,000ugx kwa ndoo ya ltr 20 (hapa gharama inaweza kutofautiana inategemea na supplier wako)napendelea kuchukua Uganda coz gharama ya usafir sio kubwa haizidi 30k halafu Shea butter ya ug ni laini sana tofauti na ya Ghana ingawa zote zina faida ileile kwa ngozi.kusafirisha kutoka Ghana lazima utumie dhl bei zao kubwa sana,lakin kutokea ug huwa natumia bus (friends) napata mzigo wangu bila usumbufu.
Kodi mpakan imekaaje?
 
Naomba nisaidie contacts za suppliers kama utakua nazo . .
Shea butter inapatikana west africa (Ghana) na East africa (Uganda) kule ndo inapatikana shea trees ambapo kutokea hapo ndo tunapata Shea nuts and then shea butter so wengi wanaouza hapa Tz huwa wanaagiza huko bei ya jumla kwa Ghana ni 10usd per kg na kwa Uganda nilichukua kwa 450,000ugx kwa ndoo ya ltr 20 (hapa gharama inaweza kutofautiana inategemea na supplier wako)napendelea kuchukua Uganda coz gharama ya usafir sio kubwa haizidi 30k halafu Shea butter ya ug ni laini sana tofauti na ya Ghana ingawa zote zina faida ileile kwa ngozi.kusafirisha kutoka Ghana lazima utumie dhl bei zao kubwa sana,lakin kutokea ug huwa natumia bus (friends) napata mzigo wangu bila usumbufu.
 
Oya JF ni htriii. Kupitia ezi comments zote nimepata na wazo la biashara kweli mjini hauwezi kufa njaa, Yani ukimaliza kusoma thread yote hii una masters kabsa.
 
Wadau kwa anayefahamu wapi naweza pata jola za vitambaa vya suruali anisaidie kunielekeza please.
 
Wakuu hivi kariakoo unaweza kuuziwa maviatu mabovu yanabanduka Siku mbili mteja akivaa dah hii changamoto tena wanakuuzia elfu kumi na moja jumlà Vya kike
 
Dah kesho lazima nirudishe yaani nimechukua kwa jumla yanawabandukia wateja siku mbili nimeumia
Pole mkuu, mimi nilifikiri umetania! Tatizo viatu vingine vinakuwa vimekaa muda mrefu .....Mwanangu aliletea zawadi na mamake mkubwa kiatu kikamyeyukia tukiwa Hosptali Muhimbili...ilibidi nimwambie akae hapo koridoni nikamletee ndala yeboyebo chapchap ...nje ya Hospitali!
 
Pole mkuu, mimi nilifikiri umetania! Tatizo viatu vingine vinakuwa vimekaa muda mrefu .....Mwanangu aliletea zawadi na mamake mkubwa kiatu kikamyeyukia tukiwa Hosptali Muhimbili...ilibidi nimwambie akae hapo koridoni nikamletee ndala yeboyebo chapchap nje ya Hospitali!
Dah, kweli nimesikitika halafu mteja kavaa karudisha yaani hasara halafu risiti wagumu kutoa.
 
Wapi napata mabalo ya mitumba ya viatu vya kiume grade A.

Nikipata na bei yake itakuwa vizuri zaidi.
 
Hivi Karibuni kampuni yetu itaanzisha Huduma za kuwatafutia wafanyabiashara wa mikoani bidhaa wanazohitaji hapa DSM, au nje ya nchi. Tutachukua oda zenu, tutawapa bei, mtatuma pesa, tutanunua na kuwasafirishia mlipo. Tutawatoza ada kidogo tofauti na gharama ungezitumia kuna DSM na kurudi. Stay tuned!
Mmmmmh yaani niwatumie hela ndo mtume Mzigo? Labda Mzigo ufike kwangu ndo nalipa.
 
Habar wakuu, samahan mwenye kujua wap chimbo la mashine za carwash kuanzia zile za umeme hadi za kutumia mafuta.
 
Mkuu hii ulifanya ni intelligence ya hali ya juu sana.
Haaaa! Kumbuka kipindi hicho ndo nimemaliza chuo nipo Dar ajira ngumu.Lazima mfumo wa akili uliojificha ufanye kazi.Ndio maana waliojiajiri wengi wanatengeneza pesa nzuri kwa Mwaka.
 
Back
Top Bottom