Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo DarUko wapi mzee ?
Wanakuja kukupa mwongozo mkuu.
Kuna Dada nafahamiana pale mtaa wa msimbazi/ agrey anaduka LA hivyo vitu ukiwa tayari naweza kukuunganisha naye.Nipo Dar
Nipo tayariKuna Dada nafahamiana pale mtaa wa msimbazi/ agrey anaduka LA hivyo vitu ukiwa tayari naweza kukuunganisha naye.
Nipo darUnapatikana wapi mkuu
Suruali za vitambaa za mtumba naonaga jamaaa wanachukuaga karume pale machinga complex kwa ground floor karibu na stand huwa wanafunguaga mabalo asubuhi sana saa 12 inatakiwa uwe umefikaMsaada kwa anayefaham Chimbo la suruali za mtumba kali za jeans, pia Chimbo la suruali za vitambaa na mashati ya ofisin na Chimbo la Formsix kali. zote hizo ni mtumba.
Hizo sandals nenda machinga complex pale ndani grounds floor wanauza 7000 kwa pea mojaKuna chimbo lingine kwa hii sandals
Ni bei poa sana 15000Ts jumla.
Kuanzia pc 10.View attachment 1229409View attachment 1229410View attachment 1229411View attachment 1229412View attachment 1229413
Mkali ignatus peter una kadet za Daokes/Demin,Chase Fashion Style(Vicobss),zile zenye nembo ya cherehani,nembo ya mwewe,n.k???(Bila shaka umefahamu aina nnazoulizia)
Zinasimama bei gani???
Sample unazo utuwekee???
Au mwingine yeyote anayefahamu chimbo la hizi mambo[emoji847][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Ni ile ya Karume au?Hizo sandals nenda machinga complex pale ndani grounds floor wanauza 7000 kwa pea moja
Naomba picha, kuna zile ziko kama chanuo la kuchania wig.Boss hand dryers nauza kubwa 28000 kwa kazi za salon ukihitaj 0652026562 nichek hapa
Unataka kwenda lini? Ili nimwambieNipo tayari
We niunganishe nae ili nipate maelezo zaidi ili nikienda najuwa nafata vitu kwa kiasi gani coz kwa Wiki naenda mara 4 k/kooUnataka kwenda lini? Ili nimwambie
We niunganishe nae ili nipate maelezo zaidi ili nikienda najuwa nafata vitu kwa kiasi gani coz kwa Wiki naenda mara 4 k/koo