DOKEZO Wafanyabiashara wa ndizi mbivu Dar huchovya kwenye kemikali ili kuziivisha ndani ya muda mfupi. Afya za watu hatarini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ndizi inavundikwa na joto kama inkubeta wanavyofanya ,mambo ya kuweka kemikali ni uzushi....

Ndizi mbichi hata ukiiweka ndani tu ndani ya siku tatu inaiva yenyewe siyo mpaka mashine ,kwenye viwanda wanaongeza joto ili iive kwa uharaka.
Too good wala hawaweki joto, bali baridi. Maana containers zenyewr tayari zina joto. Containers zimefungwa ma freezer kwa ajili ya kuset baridi around 15Β°C inside na ndizi huiva siku 4 mpaka 6.

Dawa inayowekwa kwenye maji kazi yake ni kuzipa ndizi rangi ya kuvutia. Rangi ya manjano iliyokolea imvutie mlaji wala si dawa ya kuivisha ndizi. Na dawa hiyo unaweza iweka hata wewe unayeivisha ndizi kwenye mtungi wako nyumbani. Unamwagia au kuchovya tu kichana then unaacha hapo. Wala haina madhara yoyote kwa sababu dawa ile haipenyi kuingia ndani ya chakula ndani.
 
πŸ™‹β€β™‚οΈπŸ™„πŸ€”πŸ˜³
 
Kuna muuza genge aliniambia chukua hizi za kijani hizo mnazopenda zinaivishwa kwa chemical kwenye freezers.
Yeah zile zinazoiva zikiwa na ukijani ndio natural. Zinaiva kiasili ila za mashine ukiziangalia kwenye tip ya chini ya ndizi lazma kuwe na greenish. Japo juu inaonekana ya njano na ganda safi sana halina hata vidoti vyeusi.
 
Maisha magumu hivi lakini bado mnataka kuendelea kuyaishi? Mi nilikuwa na mpango wa kuchoma Quran tuchapane, wenzangu bado manatafakari kuishi maisha marefu, kwa usawa huu?
 
Ishu si ni ushindani wa biashara na kutafta utajiri wa haraka. Ila tume compromise wenyewe kwa kukumbatia sayansi ya GMO kwenye kila kitu na uzuri wote itatumaliza tu bila kujali mmiliki wa kiwanda na mtumiaji.

Tulitakiwa tuikatae hii ila kwa sasa afya zetu ziko rehani tena kwenye nchi zetu za kifedhuli hizi ambapo sheria inafanya kazi kwa wasio na pesa tu hali ni ya hatari sana. TBS na TFDA wamewekwa mfukoni na wenye chochote kitu.
 
Mjini kuna mengi usibishe bali chunguza, embe, maharage, chungwa,Mtindi, ugali tunaukula hapo kwa mama ntilie vyote hivyo hakuna anayevileta kwa mlaji kwa hualisia wake, vinakuwa vimefanyiwa makaratee kibao.
 
Kuna Watanzania wenzetu ni mashetani haswaa.

Hawa unaweza kuwakuta ndo wale wanaofanya uchawa kwa kulinda shughuli zao haramu
 
Hakika umenena vyema maana kama tuna tbs na TFDA lakini bidhaa na vitu tunavyotumia kila siku hata mtu ambaye amemaliza la nne akiupa ubongo wake kazi ya kufikiri anagundua kabsa tunapigwa
 
Aiseeee noma sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…