Point of No Return 19
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 203
- 472
- Thread starter
-
- #21
Nafanya delivery....lakin wateja wengine wanataka kuja dukan kabisa hata umuanbie nn haelewUkiwa na ofisi ni uhakika zaidi, utapeli umekuwa mwingi sana siku hizi hasa mitandaoni na ndio chanzo cha kufifisha hizi online business.
Awe anafanya delivery zaidi itamsaidia, tatzo ni cash ya kuchukulia bidhaa.
POle ndo changamoto wengine huwa tumazimwa mpaka 4m alafu tunakausha kama hakuna kilichotokea ila na sie tunakulia timing ukiyakoroga tu unaliaHii ya leo imeniuma Sana hadi nimelia.....
Kuna watu wanaroho mbaya Sana.
Wafaanya biashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭😭
Bas mwenzenu Mimi nafanya biashara online, Sina bidhaa Ila nikipta mteja baada ya kupost ndo nikamchukulie.
Sasa pale kariakoo nimewazoea baadhi ya WENYE maduka,
Maana nimekua mteja kwao kwa siku nyingi,
Hivyo wakati mwingine mteja hunipgia cm hello, nipo kariakoo nielekeze duka lako lilipo nikachukue kitu flan, hapo KUMBUKA nimepigiwa cm ghafla na Mimi nipo gheto
Sasa ili nisiikose hela bas namtafuta mwenye duka namwelekeza Basi mteja atfikaa hapo dukan na atachukua kile alichokitaka kwa Bei ambayo Mimi nauza.
Siku za mwanzo mwenye duka alikua muaminifu maybe nimesema hiki kitu ni 50,000 Ila dukan huuzwa 40,000
Basi mwenye duka atachukua 40,000 yake na 10,000 ataniwekea .
Sasa baade kila nikipta mteja wa ghafla bas nafanya hivyo, Basi mwenye duka akaanza kuniambia mteja wako alifika Ila hajachukuaa chochote, Mara ya kwanza nikaamini
Sasa ikajiludia Tena na Tena kila nikipata mteja huniambia alifika ila hajachukua chochote Ila nikimuuliza mteja kuwa vipi ulipata anajibu ndyo Ahsante nimeshapata sister.
Kwahyo zaidi ya Mara 5 muuzaji huniambia kila aliyefika hakununua
Huku wateja wote huludi kunishukuru kuwa walichokitaka wamepata
Leo tena mwenye duka akanifanyia hiv hivi
Nimelia Sana , nimelia mnooo
Jinsi nahangaika kutaafuta wateja Mimi nalia sana
Mungu anisaidie nipate office yangu.
Wengine wenye maduka yenu najua mpo humu, jamani mtuonee huruma.
Mimi ninamshukuru Mungu kwa haya, Moyo wangu unaumia jamani daah nahangaika sana
Hawa wajinga ndio wanaoharibu biashara ya online na kuifanya iwe ngumu sababu ya kupeleka watu madukani pumbavu kabisa• Kosa lako ni kumuelekeza mteja duka lilipo,
• Fanya delivery, mpeleke mteja mpaka sehemu alipo, kama ataridhia bei fanyeni biashara..
Usilie na wala usipende kumlalamikia mtu yeyote kwa lolote..hii itakusaidia kuwa imaraNafanya delivery....lakin wateja wengine wanataka kuja dukan kabisa hata umuanbie nn haelew
Na ukimwambia unafanya online tu bas umemkimbiza
Pole sana aiseeHii ya leo imeniuma Sana hadi nimelia.....
Kuna watu wanaroho mbaya Sana.
Wafaanya biashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭😭
Bas mwenzenu Mimi nafanya biashara online, Sina bidhaa Ila nikipta mteja baada ya kupost ndo nikamchukulie.
Sasa pale kariakoo nimewazoea baadhi ya WENYE maduka,
Maana nimekua mteja kwao kwa siku nyingi,
Hivyo wakati mwingine mteja hunipgia cm hello, nipo kariakoo nielekeze duka lako lilipo nikachukue kitu flan, hapo KUMBUKA nimepigiwa cm ghafla na Mimi nipo gheto
Sasa ili nisiikose hela bas namtafuta mwenye duka namwelekeza Basi mteja atfikaa hapo dukan na atachukua kile alichokitaka kwa Bei ambayo Mimi nauza.
Siku za mwanzo mwenye duka alikua muaminifu maybe nimesema hiki kitu ni 50,000 Ila dukan huuzwa 40,000
Basi mwenye duka atachukua 40,000 yake na 10,000 ataniwekea .
Sasa baade kila nikipta mteja wa ghafla bas nafanya hivyo, Basi mwenye duka akaanza kuniambia mteja wako alifika Ila hajachukuaa chochote, Mara ya kwanza nikaamini
Sasa ikajiludia Tena na Tena kila nikipata mteja huniambia alifika ila hajachukua chochote Ila nikimuuliza mteja kuwa vipi ulipata anajibu ndyo Ahsante nimeshapata sister.
Kwahyo zaidi ya Mara 5 muuzaji huniambia kila aliyefika hakununua
Huku wateja wote huludi kunishukuru kuwa walichokitaka wamepata
Leo tena mwenye duka akanifanyia hiv hivi
Nimelia Sana , nimelia mnooo
Jinsi nahangaika kutaafuta wateja Mimi nalia sana
Mungu anisaidie nipate office yangu.
Wengine wenye maduka yenu najua mpo humu, jamani mtuonee huruma.
Mimi ninamshukuru Mungu kwa haya, Moyo wangu unaumia jamani daah nahangaika sana
AhsanteUsilie na wala usipende kumlalamikia mtu yeyote kwa lolote..hii itakusaidia kuwa imara
Mimi pia nauza ukuta wangu mkuu, kama uko interestedAh! Anauza nje au ana frem? Narungombe ipi kwanza ile ya shamba la bibi au ya Kongo?
Anasema biashara ngum?
Nashangaa analia wakati amebug mwenyewe, hapa dunian hakuna mtu wakumuonea huruma.Hawa wajinga ndio wanaoharibu biashara ya online na kuifanya iwe ngumu sababu ya kupeleka watu madukani pumbavu kabisa
Pole mwenye duka Naye analinda masilah yakeHii ya leo imeniuma Sana hadi nimelia.....
Kuna watu wanaroho mbaya Sana.
Wafaanya biashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭😭
Bas mwenzenu Mimi nafanya biashara online, Sina bidhaa Ila nikipta mteja baada ya kupost ndo nikamchukulie.
Sasa pale kariakoo nimewazoea baadhi ya WENYE maduka,
Maana nimekua mteja kwao kwa siku nyingi,
Hivyo wakati mwingine mteja hunipgia cm hello, nipo kariakoo nielekeze duka lako lilipo nikachukue kitu flan, hapo KUMBUKA nimepigiwa cm ghafla na Mimi nipo gheto
Sasa ili nisiikose hela bas namtafuta mwenye duka namwelekeza Basi mteja atfikaa hapo dukan na atachukua kile alichokitaka kwa Bei ambayo Mimi nauza.
Siku za mwanzo mwenye duka alikua muaminifu maybe nimesema hiki kitu ni 50,000 Ila dukan huuzwa 40,000
Basi mwenye duka atachukua 40,000 yake na 10,000 ataniwekea .
Sasa baade kila nikipta mteja wa ghafla bas nafanya hivyo, Basi mwenye duka akaanza kuniambia mteja wako alifika Ila hajachukuaa chochote, Mara ya kwanza nikaamini
Sasa ikajiludia Tena na Tena kila nikipata mteja huniambia alifika ila hajachukua chochote Ila nikimuuliza mteja kuwa vipi ulipata anajibu ndyo Ahsante nimeshapata sister.
Kwahyo zaidi ya Mara 5 muuzaji huniambia kila aliyefika hakununua
Huku wateja wote huludi kunishukuru kuwa walichokitaka wamepata
Leo tena mwenye duka akanifanyia hiv hivi
Nimelia Sana , nimelia mnooo
Jinsi nahangaika kutaafuta wateja Mimi nalia sana
Mungu anisaidie nipate office yangu.
Wengine wenye maduka yenu najua mpo humu, jamani mtuonee huruma.
Mimi ninamshukuru Mungu kwa haya, Moyo wangu unaumia jamani daah nahangaika sana
Ni kaaina ka utapelii hivi unakuta kitu Bei halisi Na halali Ni mfano Ni elfu 50 unajikuta unalipia 70 mpaka 80Acheni "mtu wa kati" acheni udalali nyie watu wa Dar mnamatatizo? Bidhaa ni moja muuzaji mmoja ila mpaka imfikie mteja inapita kwa watu kati aisee Watu wa Dar ni balaa ndomaana mnanyooshwa acha mnyooshane si mnajiita "Kila mtu mjanja"
Sasa huwezi kumnyima mteja kufika dukani, duka ni wateja mkuu. We jitahidi uwe unafika dukani mara kwa mara au usicheze mbali na k/koo ili iwe rahisi kwako mteja akitaka kuja dukani unasogea tu.Nafanya delivery....lakin wateja wengine wanataka kuja dukan kabisa hata umuanbie nn haelew
Na ukimwambia unafanya online tu bas umemkimbiza
Mwisho wa yote n makubaliano, kama umeridhika na bei na mkakubaliana mbona hakuna shida.Ni kaaina ka utapelii hivi unakuta kitu Bei halisi Na halali Ni mfano Ni elfu 50 unajikuta unalipia 70 mpaka 80
AhsanteWINGA YOU NEED TO GET WINGS
WINGA NI KUKIMBIZA TU SIO KULALA GHETTO SEMA SOMETIMES KWA SABABU HUNA OFISI UNAJIKUTA INABIDI UTULIE GHETTO (HUWA INANIKUTA)
SISI MAWINGA WA MAGARI NI MARUFUKU MWENYE GARI NA MTEJA KUPEANA NAMBA [emoji16][emoji16] WAKIPEANA TU HESABIA MAUMIVU WATAENDA KUFANYA BIASHARA MBELE
NAJUA UCHUNGU UNAO PITIA NIKIWA KAMA WINGA WA VYOMBO VYA MOTO NAKUPA POLE.
Nimegundua hili Sasa kwahyo sitoludia Tena ikitokea mteja atalazimisha Sana kuja dukan itabd niachane naye,....siwez kubadil duka kwasababu hapa n kwa mchina1. badilisha duka kwani kkoo kuna maduka mengi sanaa
2. acha kupenda kulala. damka asbh nenda kkoo ukakutane na wateja huko
acha kulalamika chukua hatua,
Hilo group likowap nijoinUtakua haupo kwenye group za wingas, mteja hapelekwi wala haelekezwi dukani ni mwiko
Mwenye duka njoo huku kuna liana yako🤓Hii ya leo imeniuma Sana hadi nimelia.....
Kuna watu wanaroho mbaya Sana.
Wafaanya biashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭😭
Bas mwenzenu Mimi nafanya biashara online, Sina bidhaa Ila nikipta mteja baada ya kupost ndo nikamchukulie.
Sasa pale kariakoo nimewazoea baadhi ya WENYE maduka,
Maana nimekua mteja kwao kwa siku nyingi,
Hivyo wakati mwingine mteja hunipgia cm hello, nipo kariakoo nielekeze duka lako lilipo nikachukue kitu flan, hapo KUMBUKA nimepigiwa cm ghafla na Mimi nipo gheto
Sasa ili nisiikose hela bas namtafuta mwenye duka namwelekeza Basi mteja atfikaa hapo dukan na atachukua kile alichokitaka kwa Bei ambayo Mimi nauza.
Siku za mwanzo mwenye duka alikua muaminifu maybe nimesema hiki kitu ni 50,000 Ila dukan huuzwa 40,000
Basi mwenye duka atachukua 40,000 yake na 10,000 ataniwekea .
Sasa baade kila nikipta mteja wa ghafla bas nafanya hivyo, Basi mwenye duka akaanza kuniambia mteja wako alifika Ila hajachukuaa chochote, Mara ya kwanza nikaamini
Sasa ikajiludia Tena na Tena kila nikipata mteja huniambia alifika ila hajachukua chochote Ila nikimuuliza mteja kuwa vipi ulipata anajibu ndyo Ahsante nimeshapata sister.
Kwahyo zaidi ya Mara 5 muuzaji huniambia kila aliyefika hakununua
Huku wateja wote huludi kunishukuru kuwa walichokitaka wamepata
Leo tena mwenye duka akanifanyia hiv hivi
Nimelia Sana , nimelia mnooo
Jinsi nahangaika kutaafuta wateja Mimi nalia sana
Mungu anisaidie nipate office yangu.
Wengine wenye maduka yenu najua mpo humu, jamani mtuonee huruma.
Mimi ninamshukuru Mungu kwa haya, Moyo wangu unaumia jamani daah nahangaika sana