Wafanyabiashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭

Wafanyabiashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭

Hii ya leo imeniuma Sana hadi nimelia.....

Kuna watu wanaroho mbaya Sana.

Wafaanya biashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭😭

Bas mwenzenu Mimi nafanya biashara online, Sina bidhaa Ila nikipta mteja baada ya kupost ndo nikamchukulie.

Sasa pale kariakoo nimewazoea baadhi ya WENYE maduka,

Maana nimekua mteja kwao kwa siku nyingi,

Hivyo wakati mwingine mteja hunipgia cm hello, nipo kariakoo nielekeze duka lako lilipo nikachukue kitu flan, hapo KUMBUKA nimepigiwa cm ghafla na Mimi nipo gheto

Sasa ili nisiikose hela bas namtafuta mwenye duka namwelekeza Basi mteja atfikaa hapo dukan na atachukua kile alichokitaka kwa Bei ambayo Mimi nauza.

Siku za mwanzo mwenye duka alikua muaminifu maybe nimesema hiki kitu ni 50,000 Ila dukan huuzwa 40,000

Basi mwenye duka atachukua 40,000 yake na 10,000 ataniwekea .

Sasa baade kila nikipta mteja wa ghafla bas nafanya hivyo, Basi mwenye duka akaanza kuniambia mteja wako alifika Ila hajachukuaa chochote, Mara ya kwanza nikaamini

Sasa ikajiludia Tena na Tena kila nikipata mteja huniambia alifika ila hajachukua chochote Ila nikimuuliza mteja kuwa vipi ulipata anajibu ndyo Ahsante nimeshapata sister.

Kwahyo zaidi ya Mara 5 muuzaji huniambia kila aliyefika hakununua

Huku wateja wote huludi kunishukuru kuwa walichokitaka wamepata

Leo tena mwenye duka akanifanyia hiv hivi

Nimelia Sana , nimelia mnooo

Jinsi nahangaika kutaafuta wateja Mimi nalia sana

Mungu anisaidie nipate office yangu.

Wengine wenye maduka yenu najua mpo humu, jamani mtuonee huruma.

Mimi ninamshukuru Mungu kwa haya, Moyo wangu unaumia jamani daah nahangaika sana
Watanzania Sasa hivi njaa imekiwa ni kaliiii, ukijumlisha na tamaa kalintumekuwa watu wa ovyoooo.

Kila mbongo amegeuka tapeli tapeli, janja janja nyiiingi za kishamba kabisa.

Uaminifu umekuwa sifuri kabisa anawaza kutapeli au kuiba kwa mtu.

Pole Mkuu, tafuta mfanyabiashara anayeelewa thamaninya kile nachofanya.
 
Acheni "mtu wa kati" acheni udalali nyie watu wa Dar mnamatatizo? Bidhaa ni moja muuzaji mmoja ila mpaka imfikie mteja inapita kwa watu kati aisee Watu wa Dar ni balaa ndomaana mnanyooshwa acha mnyooshane si mnajiita "Kila mtu mjanja"
Hii si kama dropshipping tu , inafanyika sana hata kwa wenzetu ni udalali huo huo
 
Hii si kama dropshipping tu , inafanyika sana hata kwa wenzetu ni udalali huo huo
Madalali hapo dar huwezi kuwakwepa tena ni watu muhimu sana kama kuna bidhaa imeadimika wao huwa wanajua inapopatikana vile bidhaa inavyokuwa adimu sokoni wewe ukiipata unakuwa na chance ya kuongeza mauzo kwenye biashara yako
 
Hii ya leo imeniuma Sana hadi nimelia.....

Kuna watu wanaroho mbaya Sana.

Wafaanya biashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja [emoji24][emoji24]

Bas mwenzenu Mimi nafanya biashara online, Sina bidhaa Ila nikipta mteja baada ya kupost ndo nikamchukulie.

Sasa pale kariakoo nimewazoea baadhi ya WENYE maduka,

Maana nimekua mteja kwao kwa siku nyingi,

Hivyo wakati mwingine mteja hunipgia cm hello, nipo kariakoo nielekeze duka lako lilipo nikachukue kitu flan, hapo KUMBUKA nimepigiwa cm ghafla na Mimi nipo gheto

Sasa ili nisiikose hela bas namtafuta mwenye duka namwelekeza Basi mteja atfikaa hapo dukan na atachukua kile alichokitaka kwa Bei ambayo Mimi nauza.

Siku za mwanzo mwenye duka alikua muaminifu maybe nimesema hiki kitu ni 50,000 Ila dukan huuzwa 40,000

Basi mwenye duka atachukua 40,000 yake na 10,000 ataniwekea .

Sasa baade kila nikipta mteja wa ghafla bas nafanya hivyo, Basi mwenye duka akaanza kuniambia mteja wako alifika Ila hajachukuaa chochote, Mara ya kwanza nikaamini

Sasa ikajiludia Tena na Tena kila nikipata mteja huniambia alifika ila hajachukua chochote Ila nikimuuliza mteja kuwa vipi ulipata anajibu ndyo Ahsante nimeshapata sister.

Kwahyo zaidi ya Mara 5 muuzaji huniambia kila aliyefika hakununua

Huku wateja wote huludi kunishukuru kuwa walichokitaka wamepata

Leo tena mwenye duka akanifanyia hiv hivi

Nimelia Sana , nimelia mnooo

Jinsi nahangaika kutaafuta wateja Mimi nalia sana

Mungu anisaidie nipate office yangu.

Wengine wenye maduka yenu najua mpo humu, jamani mtuonee huruma.

Mimi ninamshukuru Mungu kwa haya, Moyo wangu unaumia jamani daah nahangaika sana
Jitahid sana ku deal na wa mikoani
 
Acheni "mtu wa kati" acheni udalali nyie watu wa Dar mnamatatizo? Bidhaa ni moja muuzaji mmoja ila mpaka imfikie mteja inapita kwa watu kati aisee Watu wa Dar ni balaa ndomaana mnanyooshwa acha mnyooshane si mnajiita "Kila mtu mjanja"
Ukifika China ndo utaona hao wa Dar washamba tu. Kule kuna madalali hadi kero. Raba ya kununua 5000 unaweza nunua 20000 mtaa huohuo. Ni kitu cha kawaida
 
Unapata mchongo wa Hela halafu wewe unakaa geto ukitegemea Hela ulipwe tu kisa wewe ndio umetafuta mteja.

Mimi hata kama saa Saba usiku ningechomoka tu kuifata hio Hela iliyo.

Kama hesabu za nauli na pesa nitakayopata ni positive kubwa saba fasta tu naibuka kariakoo.

Labda uwe mkoani.

Acha utani kwenye kusaka Hela

Kuwa serious na Hela Yako.
 
Hii ya leo imeniuma Sana hadi nimelia.....

Kuna watu wanaroho mbaya Sana.

Wafaanya biashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭😭

Bas mwenzenu Mimi nafanya biashara online, Sina bidhaa Ila nikipta mteja baada ya kupost ndo nikamchukulie.

Sasa pale kariakoo nimewazoea baadhi ya WENYE maduka,

Maana nimekua mteja kwao kwa siku nyingi,

Hivyo wakati mwingine mteja hunipgia cm hello, nipo kariakoo nielekeze duka lako lilipo nikachukue kitu flan, hapo KUMBUKA nimepigiwa cm ghafla na Mimi nipo gheto

Sasa ili nisiikose hela bas namtafuta mwenye duka namwelekeza Basi mteja atfikaa hapo dukan na atachukua kile alichokitaka kwa Bei ambayo Mimi nauza.

Siku za mwanzo mwenye duka alikua muaminifu maybe nimesema hiki kitu ni 50,000 Ila dukan huuzwa 40,000

Basi mwenye duka atachukua 40,000 yake na 10,000 ataniwekea .

Sasa baade kila nikipta mteja wa ghafla bas nafanya hivyo, Basi mwenye duka akaanza kuniambia mteja wako alifika Ila hajachukuaa chochote, Mara ya kwanza nikaamini

Sasa ikajiludia Tena na Tena kila nikipata mteja huniambia alifika ila hajachukua chochote Ila nikimuuliza mteja kuwa vipi ulipata anajibu ndyo Ahsante nimeshapata sister.

Kwahyo zaidi ya Mara 5 muuzaji huniambia kila aliyefika hakununua

Huku wateja wote huludi kunishukuru kuwa walichokitaka wamepata

Leo tena mwenye duka akanifanyia hiv hivi

Nimelia Sana , nimelia mnooo

Jinsi nahangaika kutaafuta wateja Mimi nalia sana

Mungu anisaidie nipate office yangu.

Wengine wenye maduka yenu najua mpo humu, jamani mtuonee huruma.

Mimi ninamshukuru Mungu kwa haya, Moyo wangu unaumia jamani daah nahangaika sana
Sheria namba 1 ya dalali ni, usiruhusu mteja kukutana na mwenye mali. Wewe ni dalali umeruhusu wakutane, bado hujajua kazi ya u winga. Hio sio roho mbaya ya mwenye duka kuna mazingira pia inawezekana analinda biashara yake. Sio rahikunielewa ila nitajitahidi.

Iko hivi, mm nina duka huku mkoani, wapo watu hufanya kama wewe kuja kuchukua bidhaa na kwenda kuuza. Hio ni poa sana. Kitu ambacho mimi mwenyewe huwa siruhusu kabisa ni hicho ulichokifanya wewe cha kuniambia eti kuna mteja wangu atakuja hio jeans ya 20 tumekubaliana 25 muuzie 25 utanipa elf 5 yangu, hio kitu ni hell no.

Kwa nini? Mimi nalinda biashara yangu na kila iitwapo leo mimi kazi yangu ni kutafuta wateja wapya. Sasa akija dukani nikamuuzia bei juu ili nikufurahishe wewe, huyu mteja moja anaweza asirudi kama atapata pengine penye bei nzuri, au mbaya zaidi kama atawaambia watu kuwa duka lile wanauza bidhaa hii bei hii ila pale wanauza bei chini kuliko mimi, hio inakua inaniharibia.

Huwa mzigo ukija wakiomba picha nawatumia wanapost akipata mteja anakuja kuchukua mweneyewe au aagize mtu aje sio yule mteja ambae atajua duka langu limemuuzia bei hio. Kwahio huna haja ya kulia. Moja umejichoma mwenyewe kwa kuwakutanisha, mbili inawezekana boss wako tupo kama mimi.

Zingatia tena, kama ni winga au dalali, usiruhusu mnunuzi ajue unapotoa bidhaa hadi kumfikia yeye. Hio ni siri moja wapo ya pesa.
 
Siku nyingine usilie sana ndio changamoto za biashara hizo 🐒

Na usilie huku unamlaumu mtu sio vizuri 🐒

Ni vizuri kufanya ipasavyo wewe mwenyewe.

Kumwelekeza mteje kwenye chimbo lako ni sawa na kutoa siri ya ufalme au nguvu zako kwa adui yako 🐒

Ni kupoteza wateja wako na kupoteza kipato chako pia 🐒
Upp sahihi kabisa, huyu bado mchanga itakua, chimbo ni siri ya wewe kupata pesa nduo maana kuna watu wenye tamaa hutoa code za machimvo kwa pesa. Yeye kamwelekeza mtu aende kisha analalama
 
Upp sahihi kabisa, huyu bado mchanga itakua, chimbo ni siri ya wewe kupata pesa nduo maana kuna watu wenye tamaa hutoa code za machimvo kwa pesa. Yeye kamwelekeza mtu aende kisha analalama
kutoa siri za ufalme wako kisha unalalama ni udhaifu 🐒

hilo funzo alilopata iwe ni fursa ya yeyw kujizatiti na kuhakikisha anaambatana na kuongozana na mteja wake mwanzo mwisho, sio kujifanya meneja mbele ya meneja wake, atapigwa tu 🐒
 
Hii ya leo imeniuma Sana hadi nimelia.....

Kuna watu wanaroho mbaya Sana.

Wafaanya biashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭😭

Bas mwenzenu Mimi nafanya biashara online, Sina bidhaa Ila nikipta mteja baada ya kupost ndo nikamchukulie.

Sasa pale kariakoo nimewazoea baadhi ya WENYE maduka,

Maana nimekua mteja kwao kwa siku nyingi,

Hivyo wakati mwingine mteja hunipgia cm hello, nipo kariakoo nielekeze duka lako lilipo nikachukue kitu flan, hapo KUMBUKA nimepigiwa cm ghafla na Mimi nipo gheto

Sasa ili nisiikose hela bas namtafuta mwenye duka namwelekeza Basi mteja atfikaa hapo dukan na atachukua kile alichokitaka kwa Bei ambayo Mimi nauza.

Siku za mwanzo mwenye duka alikua muaminifu maybe nimesema hiki kitu ni 50,000 Ila dukan huuzwa 40,000

Basi mwenye duka atachukua 40,000 yake na 10,000 ataniwekea .

Sasa baade kila nikipta mteja wa ghafla bas nafanya hivyo, Basi mwenye duka akaanza kuniambia mteja wako alifika Ila hajachukuaa chochote, Mara ya kwanza nikaamini

Sasa ikajiludia Tena na Tena kila nikipata mteja huniambia alifika ila hajachukua chochote Ila nikimuuliza mteja kuwa vipi ulipata anajibu ndyo Ahsante nimeshapata sister.

Kwahyo zaidi ya Mara 5 muuzaji huniambia kila aliyefika hakununua

Huku wateja wote huludi kunishukuru kuwa walichokitaka wamepata

Leo tena mwenye duka akanifanyia hiv hivi

Nimelia Sana , nimelia mnooo

Jinsi nahangaika kutaafuta wateja Mimi nalia sana

Mungu anisaidie nipate office yangu.

Wengine wenye maduka yenu najua mpo humu, jamani mtuonee huruma.

Mimi ninamshukuru Mungu kwa haya, Moyo wangu unaumia jamani daah nahangaika sana
Uuuh pole sana
 
Dawa yao ni NIFFER tu hawa inaelekea nae walikuwa wanamletea uswahili akaona ngoja awashikishe adabu.
 
Ni kaaina ka utapelii hivi unakuta kitu Bei halisi Na halali Ni mfano Ni elfu 50 unajikuta unalipia 70 mpaka 80
Hata kitu unacho nunua dukani kariakoo mfano cover la iphone 12, Tshs 10,000china muuzaji anaweza kuwa kanunua 1,500.. ni biashara tu na negotiations.

winga na muuzaji wote wanatumia gharama japo ni tofauti..

Mfano winga atatumia
internet/salio
Nauli,
Muda kufanya sale ma marketing kutafuta wateja, etc
 
Sheria namba 1 ya dalali ni, usiruhusu mteja kukutana na mwenye mali. Wewe ni dalali umeruhusu wakutane, bado hujajua kazi ya u winga. Hio sio roho mbaya ya mwenye duka kuna mazingira pia inawezekana analinda biashara yake. Sio rahikunielewa ila nitajitahidi.

Iko hivi, mm nina duka huku mkoani, wapo watu hufanya kama wewe kuja kuchukua bidhaa na kwenda kuuza. Hio ni poa sana. Kitu ambacho mimi mwenyewe huwa siruhusu kabisa ni hicho ulichokifanya wewe cha kuniambia eti kuna mteja wangu atakuja hio jeans ya 20 tumekubaliana 25 muuzie 25 utanipa elf 5 yangu, hio kitu ni hell no.

Kwa nini? Mimi nalinda biashara yangu na kila iitwapo leo mimi kazi yangu ni kutafuta wateja wapya. Sasa akija dukani nikamuuzia bei juu ili nikufurahishe wewe, huyu mteja moja anaweza asirudi kama atapata pengine penye bei nzuri, au mbaya zaidi kama atawaambia watu kuwa duka lile wanauza bidhaa hii bei hii ila pale wanauza bei chini kuliko mimi, hio inakua inaniharibia.

Huwa mzigo ukija wakiomba picha nawatumia wanapost akipata mteja anakuja kuchukua mweneyewe au aagize mtu aje sio yule mteja ambae atajua duka langu limemuuzia bei hio. Kwahio huna haja ya kulia. Moja umejichoma mwenyewe kwa kuwakutanisha, mbili inawezekana boss wako tupo kama mimi.

Zingatia tena, kama ni winga au dalali, usiruhusu mnunuzi ajue unapotoa bidhaa hadi kumfikia yeye. Hio ni siri moja wapo ya pesa.

Ujui biashara mkuu endelea kupambana uko uko mikoani ila iyo kwenye buz ni nomo
 
Back
Top Bottom