Wafanyabiashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭

Wafanyabiashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭

Hii ya leo imeniuma Sana hadi nimelia.....

Kuna watu wanaroho mbaya Sana.

Wafaanya biashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭😭

Bas mwenzenu Mimi nafanya biashara online, Sina bidhaa Ila nikipta mteja baada ya kupost ndo nikamchukulie.

Sasa pale kariakoo nimewazoea baadhi ya WENYE maduka,

Maana nimekua mteja kwao kwa siku nyingi,

Hivyo wakati mwingine mteja hunipgia cm hello, nipo kariakoo nielekeze duka lako lilipo nikachukue kitu flan, hapo KUMBUKA nimepigiwa cm ghafla na Mimi nipo gheto

Sasa ili nisiikose hela bas namtafuta mwenye duka namwelekeza Basi mteja atfikaa hapo dukan na atachukua kile alichokitaka kwa Bei ambayo Mimi nauza.

Siku za mwanzo mwenye duka alikua muaminifu maybe nimesema hiki kitu ni 50,000 Ila dukan huuzwa 40,000

Basi mwenye duka atachukua 40,000 yake na 10,000 ataniwekea .

Sasa baade kila nikipta mteja wa ghafla bas nafanya hivyo, Basi mwenye duka akaanza kuniambia mteja wako alifika Ila hajachukuaa chochote, Mara ya kwanza nikaamini

Sasa ikajiludia Tena na Tena kila nikipata mteja huniambia alifika ila hajachukua chochote Ila nikimuuliza mteja kuwa vipi ulipata anajibu ndyo Ahsante nimeshapata sister.

Kwahyo zaidi ya Mara 5 muuzaji huniambia kila aliyefika hakununua

Huku wateja wote huludi kunishukuru kuwa walichokitaka wamepata

Leo tena mwenye duka akanifanyia hiv hivi

Nimelia Sana , nimelia mnooo

Jinsi nahangaika kutaafuta wateja Mimi nalia sana

Mungu anisaidie nipate office yangu.

Wengine wenye maduka yenu najua mpo humu, jamani mtuonee huruma.

Mimi ninamshukuru Mungu kwa haya, Moyo wangu unaumia jamani daah nahangaika sana
Kumpeleka mteja kwenye chimbo lako hesabu umeshampoteza
 
Hii ya leo imeniuma Sana hadi nimelia.....

Kuna watu wanaroho mbaya Sana.

Wafaanya biashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭😭

Bas mwenzenu Mimi nafanya biashara online, Sina bidhaa Ila nikipta mteja baada ya kupost ndo nikamchukulie.

Sasa pale kariakoo nimewazoea baadhi ya WENYE maduka,

Maana nimekua mteja kwao kwa siku nyingi,

Hivyo wakati mwingine mteja hunipgia cm hello, nipo kariakoo nielekeze duka lako lilipo nikachukue kitu flan, hapo KUMBUKA nimepigiwa cm ghafla na Mimi nipo gheto

Sasa ili nisiikose hela bas namtafuta mwenye duka namwelekeza Basi mteja atfikaa hapo dukan na atachukua kile alichokitaka kwa Bei ambayo Mimi nauza.

Siku za mwanzo mwenye duka alikua muaminifu maybe nimesema hiki kitu ni 50,000 Ila dukan huuzwa 40,000

Basi mwenye duka atachukua 40,000 yake na 10,000 ataniwekea .

Sasa baade kila nikipta mteja wa ghafla bas nafanya hivyo, Basi mwenye duka akaanza kuniambia mteja wako alifika Ila hajachukuaa chochote, Mara ya kwanza nikaamini

Sasa ikajiludia Tena na Tena kila nikipata mteja huniambia alifika ila hajachukua chochote Ila nikimuuliza mteja kuwa vipi ulipata anajibu ndyo Ahsante nimeshapata sister.

Kwahyo zaidi ya Mara 5 muuzaji huniambia kila aliyefika hakununua

Huku wateja wote huludi kunishukuru kuwa walichokitaka wamepata

Leo tena mwenye duka akanifanyia hiv hivi

Nimelia Sana , nimelia mnooo

Jinsi nahangaika kutaafuta wateja Mimi nalia sana

Mungu anisaidie nipate office yangu.

Wengine wenye maduka yenu najua mpo humu, jamani mtuonee huruma.

Mimi ninamshukuru Mungu kwa haya, Moyo wangu unaumia jamani daah nahangaika sana
Yaani wewe ulipata wazo zuri la kufanya biashara ila kosa lako haufanyi kwa malengo.
Mteja anapokucheki halafu unamuelekeza aende kwenye duka mwenyewe huoni kwamba huyu mteja akitaka kuagiza kwa mara ya pili utakuwa umemkosa maana duka ameshalijua atakuwa anaenda mwenyewe siku zingine bila ya kukutafuta?Hapo utakuwa umemfanyia kazi ya bure mwenye duka ya marketing na atakuwa anaongeza mtandao wa wateja wakati huo wewe utakuwa uko palepale yaani kila siku utakuwa unaanza upya kusaka wateja tofauti kitu ambacho kitakupa stress na kuona biashara ni ngumu kumbe wewe mwenyewe ndio haujaipangilia.
Kumbuka kwenye biashara kuna wateja ambao huletwa na wateja wako wa awali uliowahudumia wanakutambulisha kwa ndugu na jamaa zao wengine ambao ndio watakuwa wateja wako wapya sasa hawa wote utakuwa unawakosa na wataenda moja kwa moja kwa mwenye duka.
Na kama unajua dili zako zinafanyika maeneo ya kariakoo kwa nini ukae mbali na kariakoo hapo inaonyesha bado haujawa serious na kitu ukifanyacho na haujajipanga.
 
Hii ya leo imeniuma Sana hadi nimelia.....

Kuna watu wanaroho mbaya Sana.

Wafaanya biashara wa online wenzangu mnaelewa jinsi ilivyo kazi kumpata mteja 😭😭

Bas mwenzenu Mimi nafanya biashara online, Sina bidhaa Ila nikipta mteja baada ya kupost ndo nikamchukulie.

Sasa pale kariakoo nimewazoea baadhi ya WENYE maduka,

Maana nimekua mteja kwao kwa siku nyingi,

Hivyo wakati mwingine mteja hunipgia cm hello, nipo kariakoo nielekeze duka lako lilipo nikachukue kitu flan, hapo KUMBUKA nimepigiwa cm ghafla na Mimi nipo gheto

Sasa ili nisiikose hela bas namtafuta mwenye duka namwelekeza Basi mteja atfikaa hapo dukan na atachukua kile alichokitaka kwa Bei ambayo Mimi nauza.

Siku za mwanzo mwenye duka alikua muaminifu maybe nimesema hiki kitu ni 50,000 Ila dukan huuzwa 40,000

Basi mwenye duka atachukua 40,000 yake na 10,000 ataniwekea .

Sasa baade kila nikipta mteja wa ghafla bas nafanya hivyo, Basi mwenye duka akaanza kuniambia mteja wako alifika Ila hajachukuaa chochote, Mara ya kwanza nikaamini

Sasa ikajiludia Tena na Tena kila nikipata mteja huniambia alifika ila hajachukua chochote Ila nikimuuliza mteja kuwa vipi ulipata anajibu ndyo Ahsante nimeshapata sister.

Kwahyo zaidi ya Mara 5 muuzaji huniambia kila aliyefika hakununua

Huku wateja wote huludi kunishukuru kuwa walichokitaka wamepata

Leo tena mwenye duka akanifanyia hiv hivi

Nimelia Sana , nimelia mnooo

Jinsi nahangaika kutaafuta wateja Mimi nalia sana

Mungu anisaidie nipate office yangu.

Wengine wenye maduka yenu najua mpo humu, jamani mtuonee huruma.

Mimi ninamshukuru Mungu kwa haya, Moyo wangu unaumia jamani daah nahangaika sana


Pole sana, Mungu yupo na anaishi.

Machozi yako na kilio chako anavisikia.

Umefanya vyema kujituma kuliko kuomba omba au kusubiri kutumiwa.

Asiyefanya kazi na asile

Umefanya kazi, ulipwe!
 
Back
Top Bottom