Wafanyabiashara walioporwa mabilioni na Mwendazake kurejeshewa fedha hizo na Rais Samia

Wafanyabiashara walioporwa mabilioni na Mwendazake kurejeshewa fedha hizo na Rais Samia

Naingia kwenye mada moja kwa moja. Leo katika kipindi cha uchambuzi wa magazeti kupitia redio ya Wasafi FM, imeelezwa kwamba wale wafanyabiashara walioporwa mabilioni ya fedha na kikosi kazi kilichoundwa na Mwendazake, sasa watarudishiwa fedha zao rasmi. Hii ni moja ya hatua za kuponya maumivu na uharibifu uliofanywa na serikali ya awamu ya 5 chini ya Mwendazake.

Katika taarifa hiyo, imeelezwa yupo mfanyabiashara mmoja aliyeporwa jumla ya Tsh 3.5 bilion na kumpelekea kufilisika kibiashara. Mh mama Samia hataki kuongoza nchi yenye watu waliopondeka mioyo kutokana na kunyanyaswa na serikali iliyopita. Ndio maana anafanya jitihada zote kuhakikisha anatibu majeraha na makovu yote yaliyosababishwa na serikali iliyopita ili nchi isonge mbele bila kinyongo.

MAONI YANGU
Namkubali sana Mh mama Samia kwa ujasiri wake huu ijapokuwa kuna baadhi ya wanaCCM hawapendi kuona watanzania wenzao wakiishi maisha bora katika nchi hii. Sote ni mashahidi jinsi wafanyabishara walivyokuwa wakiporwa fedha na akina Sabaya na Makonda (wateule wa Mwendazake) bila kuchukuliwa hatua zozote, hadi baadhi ya wafanyabiashara wakaamua kuikimbia nchi. Ukweli wa jambo hili umeanza kudhihirika wazi baada ya baadhi ya wafanyabiashara kuwafungulia mashataka wahalifu hawa wawili waliokuwa vipenzi wa Mwnedazake.

Nawasilisha.
Samia anachofanya ni utoto na kushindwa kuwajibika, kwenye uporaji alishiriki na hakujiuzuru. Leo anataka kurudisha uporaji walioufanya awamu ya tano ambayo alikuwa no 2 kiutawala. Kama kweli hakukubaliana na uporaji kwanini hakujiuzuru? Sasa pesa za kurudisha anampora nani ni awarudishie walioporwa?
Huyu ni mnafiki tu anatafuta cheap popularity ili apewe kura za huruma.
Kama waporaji anawajua awafirisi siyo kuja kutupora na sisi ambao hatukushiriki uporaji alioufanya yeye na serikali yake.
Fikiria Kama JPM asingefariki, mama bado angekuwa kwenye serikali ya waporaji maana kakaa humo miaka 6 leo anajifanya kurudisha walichopora, kama alikuwa hakubaliani na uporaji angeejiuzuru.
Mimi sipendi uporaji walioufanya yeye na JPM.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Leo katika kipindi cha uchambuzi wa magazeti kupitia redio ya Wasafi FM, imeelezwa kwamba wale wafanyabiashara walioporwa mabilioni ya fedha na kikosi kazi kilichoundwa na Mwendazake, sasa watarudishiwa fedha zao rasmi. Hii ni moja ya hatua za kuponya maumivu na uharibifu uliofanywa na serikali ya awamu ya 5 chini ya Mwendazake.

Katika taarifa hiyo, imeelezwa yupo mfanyabiashara mmoja aliyeporwa jumla ya Tsh 3.5 bilion na kumpelekea kufilisika kibiashara. Mh mama Samia hataki kuongoza nchi yenye watu waliopondeka mioyo kutokana na kunyanyaswa na serikali iliyopita. Ndio maana anafanya jitihada zote kuhakikisha anatibu majeraha na makovu yote yaliyosababishwa na serikali iliyopita ili nchi isonge mbele bila kinyongo.

MAONI YANGU
Namkubali sana Mh mama Samia kwa ujasiri wake huu ijapokuwa kuna baadhi ya wanaCCM hawapendi kuona watanzania wenzao wakiishi maisha bora katika nchi hii. Sote ni mashahidi jinsi wafanyabishara walivyokuwa wakiporwa fedha na akina Sabaya na Makonda (wateule wa Mwendazake) bila kuchukuliwa hatua zozote, hadi baadhi ya wafanyabiashara wakaamua kuikimbia nchi. Ukweli wa jambo hili umeanza kudhihirika wazi baada ya baadhi ya wafanyabiashara kuwafungulia mashataka wahalifu hawa wawili waliokuwa vipenzi wa Mwnedazake.

Nawasilisha.
Vipi mmiliki wa lile mjengo wetu tuliokuwa tunapatia burudani la Bilicanas? Naye awepo kwenye list.
 
Hongera Rais Samia, Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu ya baraka
Huwa napenda ile nyimbo ya TOT inayomkaribishaga jukwaani, Kuna ile tezi huwa wanasema "WAPO WALIOKUTWEZWA, JITIHADA ZAKO", For me Ssmia is the best president of our generation, kaipokea nchi ikiwa imegawanyika mnoo, haijawahi kutokea, ila anapambana kuiweka sawa, na itakaa sawa
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Leo katika kipindi cha uchambuzi wa magazeti kupitia redio ya Wasafi FM, imeelezwa kwamba wale wafanyabiashara walioporwa mabilioni ya fedha na kikosi kazi kilichoundwa na Mwendazake, sasa watarudishiwa fedha zao rasmi. Hii ni moja ya hatua za kuponya maumivu na uharibifu uliofanywa na serikali ya awamu ya 5 chini ya Mwendazake.

Katika taarifa hiyo, imeelezwa yupo mfanyabiashara mmoja aliyeporwa jumla ya Tsh 3.5 bilion na kumpelekea kufilisika kibiashara. Mh mama Samia hataki kuongoza nchi yenye watu waliopondeka mioyo kutokana na kunyanyaswa na serikali iliyopita. Ndio maana anafanya jitihada zote kuhakikisha anatibu majeraha na makovu yote yaliyosababishwa na serikali iliyopita ili nchi isonge mbele bila kinyongo.

MAONI YANGU
Namkubali sana Mh mama Samia kwa ujasiri wake huu ijapokuwa kuna baadhi ya wanaCCM hawapendi kuona watanzania wenzao wakiishi maisha bora katika nchi hii. Sote ni mashahidi jinsi wafanyabishara walivyokuwa wakiporwa fedha na akina Sabaya na Makonda (wateule wa Mwendazake) bila kuchukuliwa hatua zozote, hadi baadhi ya wafanyabiashara wakaamua kuikimbia nchi. Ukweli wa jambo hili umeanza kudhihirika wazi baada ya baadhi ya wafanyabiashara kuwafungulia mashataka wahalifu hawa wawili waliokuwa vipenzi wa Mwnedazake.

Nawasilisha.
Shida Mama ana shika hapa ana acha, ana hamia pengine. Hatuoni hitimisho la anayo yaanzisha.
Wapi hitimisho la maridhiano? Katiba mpya....
 
Wahusika wengi wapo akiwemo makonda SABAYA hapi na kina mnyeti wataifishwe mapesa hayo yarudi Kwa wenyewe
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Leo katika kipindi cha uchambuzi wa magazeti kupitia redio ya Wasafi FM, imeelezwa kwamba wale wafanyabiashara walioporwa mabilioni ya fedha na kikosi kazi kilichoundwa na Mwendazake, sasa watarudishiwa fedha zao rasmi. Hii ni moja ya hatua za kuponya maumivu na uharibifu uliofanywa na serikali ya awamu ya 5 chini ya Mwendazake.

Katika taarifa hiyo, imeelezwa yupo mfanyabiashara mmoja aliyeporwa jumla ya Tsh 3.5 bilion na kumpelekea kufilisika kibiashara. Mh mama Samia hataki kuongoza nchi yenye watu waliopondeka mioyo kutokana na kunyanyaswa na serikali iliyopita. Ndio maana anafanya jitihada zote kuhakikisha anatibu majeraha na makovu yote yaliyosababishwa na serikali iliyopita ili nchi isonge mbele bila kinyongo.

MAONI YANGU
Namkubali sana Mh mama Samia kwa ujasiri wake huu ijapokuwa kuna baadhi ya wanaCCM hawapendi kuona watanzania wenzao wakiishi maisha bora katika nchi hii. Sote ni mashahidi jinsi wafanyabishara walivyokuwa wakiporwa fedha na akina Sabaya na Makonda (wateule wa Mwendazake) bila kuchukuliwa hatua zozote, hadi baadhi ya wafanyabiashara wakaamua kuikimbia nchi. Ukweli wa jambo hili umeanza kudhihirika wazi baada ya baadhi ya wafanyabiashara kuwafungulia mashataka wahalifu hawa wawili waliokuwa vipenzi wa Mwnedazake.

Nawasilisha.
Rais Samia Suluhu siku akiondoka madarakani atakumbukwa kwa mengi aisee hataki kuona mtu yeyote yule kaonewa kwakweli mama anaupiga mwingi katika suala zima la kusimamia haki
 
Enzi za kambale kuna mahakama yoyote ingeweza kukubali kupokea mashtaki ya serikali na chawa wake? Umesahau watu walikua wanajisifu kuua hadaharani na wengine waliua na hakuna ahatua yoyote iliyochukuliwa,,ushahaidi hadi wa video lakini bado walikua na nguvu...

Mkuu watu pekee waliokua na nguvu ya kusimama na kupambana na bwana Jiwe alikua Tundu lissu na Ben 8 peke yao na nadhani unakumbuka kilichowapata.
Lakini sasa nchi ipo katika mikono salama ya Rais Samia Suluhu watu hawaishi kwa hofu tena kama zamani mama anasimamia haki na amani ya nchi yake
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Leo katika kipindi cha uchambuzi wa magazeti kupitia redio ya Wasafi FM, imeelezwa kwamba wale wafanyabiashara walioporwa mabilioni ya fedha na kikosi kazi kilichoundwa na Mwendazake, sasa watarudishiwa fedha zao rasmi. Hii ni moja ya hatua za kuponya maumivu na uharibifu uliofanywa na serikali ya awamu ya 5 chini ya Mwendazake.

Katika taarifa hiyo, imeelezwa yupo mfanyabiashara mmoja aliyeporwa jumla ya Tsh 3.5 bilion na kumpelekea kufilisika kibiashara. Mh mama Samia hataki kuongoza nchi yenye watu waliopondeka mioyo kutokana na kunyanyaswa na serikali iliyopita. Ndio maana anafanya jitihada zote kuhakikisha anatibu majeraha na makovu yote yaliyosababishwa na serikali iliyopita ili nchi isonge mbele bila kinyongo.

MAONI YANGU
Namkubali sana Mh mama Samia kwa ujasiri wake huu ijapokuwa kuna baadhi ya wanaCCM hawapendi kuona watanzania wenzao wakiishi maisha bora katika nchi hii. Sote ni mashahidi jinsi wafanyabishara walivyokuwa wakiporwa fedha na akina Sabaya na Makonda (wateule wa Mwendazake) bila kuchukuliwa hatua zozote, hadi baadhi ya wafanyabiashara wakaamua kuikimbia nchi. Ukweli wa jambo hili umeanza kudhihirika wazi baada ya baadhi ya wafanyabiashara kuwafungulia mashataka wahalifu hawa wawili waliokuwa vipenzi wa Mwnedazake.

Nawasilisha.

Waliporwa na magufuli au na serikali ya awamu ya tano?
 
Amin usiamini mpango ulishasukwa kitambo kwamba iwe mvua au jua lazima tuhakikishe kuwa Mbowe si mwenyekiti wa CHADEMA kwa namna yoyote ile,Rejea uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019,Uchaguzi Mkuu 2022 na sakata la Wabunge 19.
Na si hilo tu bali Mwendazake alitaka kuua upinzani nchini Tanzania kwa maslahi yake binafisi. Hata wale wabunge wawili wa CCM (Hawa Gasia na Ally Kessy) walionyanganywa ubunge na kupewa CUF na CHADEMA, mtawalia, hawakuwa kwenye hesabu za mwendazake. Vinginevyo, nchi nzima ingekuwa chini ya CCM
 
WWewe
Hivi inamaana waliteuliwa tu baadhi ya wafanyabiashara alafu wakaporwa fedha zao na wengine kama Bakhresa na Mo Dewji wakaachwa ili hali ndiyo mabilionea wakubwa!!

Hii inaingia akilini kweli?mimi naamini wengi wapiobananishwa ni wakwepa Kodi wazuri na vilevile kama kweli walinyang'anywa Mali yao halali mbona hawakuishitaki serikali mahakamani ili warudishiwe Mali zao walizochuma kihalali?

Bado nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa walionewa!!
Wewe utakuwa mjinga uliezaliwa mwaka 2021 mwezi wa nne hivi ukatili wa lile jambazi unaenda kulishtaki wapi maana organ zote za utawala bora alizi paralyze akawa yeye ndio sheria yeye ndio msahafu.
 
Na si hilo tu bali Mwendazake alitaka kuua upinzani nchini Tanzania kwa maslahi yake binafisi. Hata wale wabunge wawili wa CCM (Hawa Gasia na Ally Kessy) walionyanganywa ubunge na kupewa CUF na CHADEMA, mtawalia, hawakuwa kwenye hesabu za mwendazake. Vinginevyo, nchi nzima ingekuwa chini ya CCM
Ukweli ndiyo huo.
 
Lakini sasa nchi ipo katika mikono salama ya Rais Samia Suluhu watu hawaishi kwa hofu tena kama zamani mama anasimamia haki na amani ya nchi yake
Bado majambazi huku Dodoma Mkurugenzi wa Jiji ananyanganya Mashamba yenye hati miliki kwa mtindo was asilimia za Jiji ujinga kabisa Jiji lini lilimilikishwa hiyo Ardhi wizi mtupu Hizo nisera za Waziri Jizi lililokuwa linataka Uraisi leave hizi pesa chafu za asilimia katika maeneo ya watu
 
Hivi inamaana waliteuliwa tu baadhi ya wafanyabiashara alafu wakaporwa fedha zao na wengine kama Bakhresa na Mo Dewji wakaachwa ili hali ndiyo mabilionea wakubwa!!

Hii inaingia akilini kweli?mimi naamini wengi wapiobananishwa ni wakwepa Kodi wazuri na vilevile kama kweli walinyang'anywa Mali yao halali mbona hawakuishitaki serikali mahakamani ili warudishiwe Mali zao walizochuma kihalali?

Bado nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa walionewa!!
Mahakama gani, wewe unaona hii nchi kweli ina mahakama au wewe unaishi Denmark.
 
Wewe muhanga ambae hujasikia habari za vijiweni, tuambie Jiwe alikupora sh ngapi.

Pia sasa hivi jiwe hayupo umeshaenda mahakamani kuishtaki serikali kwa kukupora mali zako?? Kama bado unasubiri nini?

Kama sio muhanga labda unawafahamu wahanga wambie jiwe Hayupo tena wanaogopa nn kuishtaki serikali kwa uporaji?
Wafanyabiashara wa bureau de change Arusha wameporwa pesa zao kisa kikiwa utakatishaji.

Kaka yangu amelipa kodi mara mbili licha ya kuwa na vielelezo sahihi vya kiserikali, shilingi milioni 200.

Task force iliyofutwa na SSH ilikuwa ni mtindo wa maisha wa awamu ya tano.
 
Back
Top Bottom