KERO Wafanyabiashara ya chakula acheni kurudisha mabaki

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ukinunua ndizi mbivu tano na parachichi la moja ukashushia na maji unashiba kabisa. Vyakula vinavyopikwa kibiashara si vya kuaminika kwenye usafi.
 
Ajali kazini,,,vichafu twavila vingi either kwa kujua or kwa kutojua.Ukijua Epuka kama umejaliwaa Moyo na Roho safi kama yako,,Waepushe na wengineo,,,Hujabahatika kujua kanyaga twende ila kwa tahadhari kubwa mnoo###KiwiliwiliHakinaSpea###
 
Utashangaa kwenye thread hii kuna mdau analalamika eti chakula tunachokula migahawani huwa hali kwa sababu ya uchafu cha kuchangaza huyohuyo analamba papuchi.
Sijui anakwepa kitu gani
 
Hela yako halafu ikutese? ni utumwa huo
 
Wewe Dada una macho ya Rohoni, usiniulize nimejuaje Ila hapo hakuna inzi wa kawaida wala Mifupa ya kawaida biashara Ina mambo mengi meusi meusi
 
Ndio sehemu ambayo nikitaka kupata minyoo ninatenga wiki Moja ya kula mtaani au vile vigondi(vikikuu vinavyochomwa na kuuzwa vipande vipande)
Minyoo faster
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…