Pole sana mkuu.
Kila eneo huwa linakua na utawala wake.
Ukienda mahali kuwa mpole ukisoma mazingira kwanza.
Kuna watu wanawafahamu huwa wakikaa bili inaanzia laki kadhaa huko na kuendelea.
Sasa sijui huwa bajeti yako ni kiasi gani kwa kikao kimoja tu.
Bambalanga palikuwa top of the town, rainbow ilikuwa haifiki kabisa, ila leo rainbow ndio wanafunika. Ofcourse bambalaga wanajiona matawi ya juu sanaYeah sure, uliza bambalaga ya pale dodoma. Saizi wateja wa kuhesabu walikuwa na dharau ukienda na sendo au umefuga rasta huingii
Basi poa mkuu, kama mlitolewa nje bila kutokea prukushani basi watakuwa vichaaHuna akili! Hatukukataa Hilo na kibao cha reserved hatukukiona tungeona tusingekaa. Hata hivyo halikuwa kosa kuwaomba watuonyeshe kwa kukaa.. Wahindi na waarabu watazidi kutupiga gap kwenye biashara
Kumbe ni mdau wa sports, we yanga,azam au simba?Ukinamiss siku nyingine utanipata jukwaa la sport mpendwa...
Miss u tooo...
Njoo kule utanijua tuu...😃😃😃😃tuko live kwny community shield finals...Kumbe ni mdau wa sports, we yanga,azam au simba?
graph yao inaelekea ukingoni ukipanda sana kinachofatia ni kushukaMm pesa ninayo sema wale wafanyakazi ni jeuri tu
Okay incoming 🏃Njoo kule utanijua tuu...😃😃😃😃tuko live kwny community shield finals...
Ndoivo, Tanzania raia wengi ni maskini na wachache wana kipato cha Kati, Sasa ukileta ubaguzi unakwisha kwa sababu wateja wengi kipato chao chakawaida, ukitaka waje tu wenye LC 300 basi utasubiri sanaBambalanga palikuwa top of the town, rainbow ilikuwa haifiki kabisa, ila leo rainbow ndio wanafunika. Ofcourse bambalaga wanajiona matawi ya juu sana
Labda nimezeeka au vipi ila ile Tabia ya kwenda kula Bia Masaki au Oysterbay nishaachaga naishiaga Kimara kwetu Bar Kibao nzuri zipo na zina Vibe.Biashara huwa Kuna kupanda na kushuka, club element wasipofanya mapema reform ya wafanyakazi basi Ile club haishuki inaenda kudondoka na kufa kabisa
Nimeamua niandikie leo japo ni tukio lililonitokea mwezi Jana. Sio mara yao ya kwanza kunitreat unfairly imekuwa ni tabia yao.. Tulienda pale na rafiki angu saa tano usiku tukalipa buku ten ya kiingirio tukaenda moja kwa moja kukaa meza moja ilikuwa empty
Muhudumu akaja akasema hii meza reserved, tukamwambia tuonyeshe pa kukaa, akaja baunsa kututoa kwa nguvu mpaka nje, kuulizia nn shida wakasema sisi wasumbufu. Tukasema watusamehe hatukujua but walikataa
Ivi kuulizia tu tukae wapi tayari ni kosa? Yani wana viburi, huduma mbovu wanathamini mastaa na matajiri tu mana hata ukienda na Gari ya IST au Vitz hupew parking, walahi yule mmasai hakupi pa kupaki. Ila wakiona LC 300 hapo wanakupokea na magoti
Mbaya zaidi ukionekana umeenda na bodaboda au bajaji umekwisha, hatihati wasikuruhusu. Lile baunsa lenye upara why lisitoleweee mbona jeuri saana afu Lina miaka mingi kweli pale sijui wanalibembeleza la nini
View attachment 3067133
Nani ticha? Acha dharau mm bora niokote makopo Ila sio kuwa mwalimuNenda sehemu za hadhi yako ticha
Tunalinda usalama wetu mkuu, siwez kwenda kutumia laki tano eneo kama biko au kwa ndevu 🤣🤣🤣.Labda nimezeeka au vipi ila ile Tabia ya kwenda kula Bia Masaki au Oysterbay nishaachaga naishiaga Kimara kwetu Bar Kibao nzuri zipo na zina Vibe.
Daah umenikumbusha Mbali Bambalaga eti ukienda wanaangalia Muonekano wako...Umenyoa kiduku huingii... Juzi kati nmeenda hamna kitu ni kama imekufaBambalanga palikuwa top of the town, rainbow ilikuwa haifiki kabisa, ila leo rainbow ndio wanafunika. Ofcourse bambalaga wanajiona matawi ya juu sana
Kabisa believe me wanaenda kufunga biashara, kiburi kimeongezeka sana kisa wateja wanaenda unlimited Ila hawana mda mrefu, waulize wenzao bambalagagraph yao inaelekea ukingoni ukipanda sana kinachofatia ni kushuka
Jeuri imewaponza, maumivu kwa boss wafanyakazi hawana cha kupotezaDaah umenikumbusha Mbali Bambalaga eti ukienda wanaangalia Muonekano wako...Umenyoa kiduku huingii... Juzi kati nmeenda hamna kitu ni kama imekufa