Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wekosalam.Hii kama ni salamu inaitikiwaje?
haya nitakua nakuita posh lady😁I take it as a compliment 🙏 ila kweli dogo we wa kuniita KA pridah kweli?
Ni changamoto sanaIla kuna wanaojaza ndugu zao na yanawaendea ila mimi naogopa sana
Namaanisha kuwa ni eidha hausali sana ama hauna kitu CHOCHOTE kama nguzo Yako ya kiroho.Sijakuelwa
Anhaa.Namaanisha kuwa ni eidha hausali sana ama hauna kitu CHOCHOTE kama nguzo Yako ya kiroho.
Mali zako ndio wewe na zinapotapanywa ni wewe unatapanywa, na Ili Hilo lifanyike lazima uwe na uchafu wa kiroho.
Rais aliyelala aliogopwa na kuheshimika ni Kwa sababu ya nguvu nayoizungumzia.
Hv Kwa mfano kama kuna mtu mwenye nguvu sana, unaweza kirahisi kuanzisha nae ugomvi mfano amekuchokoza kwelikweli?
Nguvu...!!!
Nimeishia hapo kwenye 'Ushirikina' huko chini kote sijasomaGood evening.