TANZIA Wafanyakazi watano wa TRA wafariki dunia kwenye ajali

R.I.P NDUGU ZETU
 
Hii ajali ya ajabu aisee! Sasa inakuwaje dereva anagonga gari kwa nyuma alikuwa haoni ama ni mambo ya mzizioloji 👻?
Kwa spidi ya "kukimbiza" + msimu wa baridi ya ukungu + ilikuwa saa 11 alfajiri wala sishangai kuivagaa gari nyingine nyuma. Halafu kama ilikuwa imesisimama ndio mbaya zaidi. Inshort waliuvagaa mwamba! Kama Cruiser imejipiga hivi, ingekuwa Passo sijui ingebaki nini.Scarry stuff,
 
Noma sana yani hapo paso ingebaki number plate tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…