NORTHERNIST
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 304
- 247
R.I.P NDUGU ZETUWafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kikosi kazi cha Fast Track wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya Landcluser lililogonga kwa nyuma Lori aina Fuso. Walikuwa wakifukuzana na gari iliyodhaniwa kubeba magendo
Ajali hiyo imetokea leo Agosti 23, 2021 saa 11 alfajiri katika barabara ya Mbeya Tunduma eneo la Hanseketwa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe.
Polisi imethibitisha.
Kwa spidi ya "kukimbiza" + msimu wa baridi ya ukungu + ilikuwa saa 11 alfajiri wala sishangai kuivagaa gari nyingine nyuma. Halafu kama ilikuwa imesisimama ndio mbaya zaidi. Inshort waliuvagaa mwamba! Kama Cruiser imejipiga hivi, ingekuwa Passo sijui ingebaki nini.Scarry stuff,Hii ajali ya ajabu aisee! Sasa inakuwaje dereva anagonga gari kwa nyuma alikuwa haoni ama ni mambo ya mzizioloji 👻?
Inawezekana Fuso alisimama ghafla, na mwingine akili yake yote ni kufukuza!Hii ajali ya ajabu aisee! Sasa inakuwaje dereva anagonga gari kwa nyuma alikuwa haoni ama ni mambo ya mzizioloji 👻?
Na ukiwa na gari yenye misuli kuliko yao wanakereka kwelikweliKi
akajiokoa kwa style hio [emoji81][emoji81][emoji81] hawa madereva wa SU na ST wanazingua sana wakiwa highway
Hamna kitu labda poriniHizi cruiser nazikubali Sana gari ya kazi hiyo
Noma sanaNa ukiwa na gari yenye misuli kuliko yao wanakereka kwelikweli
Kuna mwingine miaka hiyooo, mkoa fulani. Yeye alilambishwa tindikali ya macho akawa na total blindness!!Kazi ya polisi inafanywa na maafisa sababu ya dili liwe lao peke yao. Wanajua kuna rushwa wakilikamata
Acha imani potofu yaani mwendo uwe mkali halafu usingizie ushirikina waswahili bhana!Kaka. Kaa mbali na wafanyabiashara wa Makete, Njombe, Mbeya na Mbozi.
Hao mabilionea wanaovaa ndala, wasiokula nyama, wasio na michepuko Wana maagano makubwa sana na ibilisi.
Hicho ndio nakionaInawezekana Fuso alisimama ghafla, na mwingine akili yake yote ni kufukuza!
Mtu wanayemwita mwenye msimamo mkali na mtu anayedili na magendo ni watu hatari sana!Kuna mwingine miaka hiyooo, mkoa fulani. Yeye alilambishwa tindikali ya macho akawa na total blindness!!
Noma sana yani hapo paso ingebaki number plate tuKwa spidi ya "kukimbiza" + msimu wa baridi ya ukungu + ilikuwa saa 11 alfajiri wala sishangai kuivagaa gari nyingine nyuma. Halafu kama ilikuwa imesisimama ndio mbaya zaidi. Inshort waliuvagaa mwamba! Kama Cruiser imejipiga hivi, ingekuwa Passo sijui ingebaki nini.Scarry stuff,
Ndio kilichotokea sasaInawezekana Fuso alisimama ghafla, na mwingine akili yake yote ni kufukuza!
Wanapenda magengo sana sababu huko ndiko wanapiga mpunga mrefuWanamkimbiza magendo hawajui mipaka ya kaz yao au
Watakuwa wamefanyiziwa hawaNdio kilichotokea sasa