Wafugaji wa kuku wa nyama na mayai wasiosajiliwa kuchukuliwa hatua

Halafu bata je? Na kanga, njiwa, sungura, kitimoto, bt mzinga, kwale, somba, mchicha, kisamvu, spinachi, minazi, miembe, michungwa, matango, na mlenda je?
 
Wasiwasahau wafugaji wa ndevu nao, wameongezeka sana hasa maeneo ya Kinondoni!
 
"Tunanunua drim laina kwa fedha zetu za ndani"
 
Malaya na matapeli ni wengi sana kodi hawalipi
 
Hii ni habari iliyoripotiwa katika gazeti moja na ambayo pia inasambaa mitandaoni.

Kwa kifupi, wanatakiwa kusajiliwa kwa mujibu wa sheria na sio kufuga hivi hivi. Taarifa hii imetolewa na Dr. John Kaijage ambae ni Mtafiti Mkuu na Mratibu wa ufugaji wa kuku katika Wizara ya Kilimo na Mifugo.

Habari ndio hio.
 
Hii hapa
 
Shida ni hii miradi mikubwa inayo endeshwa ambayo inahitaji pesa nyingi kupita uwezo wetu,

Kwa namna hali ilivyo kuna umuhimu mkubwa sana wa kutafuta namna ya kuwekeza nje ya nchi walau nusu ya mitaji yetu maana wakikumata umefuga kuku na haujasajiliwa basi ujue mbio zao moja kwa moja ni kwenye account za benki na kuzu ia hela ndio story nyingine zitaanza kusikilizwa huku ukipigwa danadana

SHAME ON THIS COUNTRY
 
Mbona imeanza muda mrefu huko vijijini, hauwezi kumtoa kuku sehemu 1 kwenda nyingine mpaka uripoti kwa mtendaji wa kijiji hata kama unaazima hilo jogoo kwa ajiri ya mbegu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…