Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Hali itakavyokuwa.Imebaki Hewa tu sasa ambayo nayo wangetaka tulipie kodi tusipumue tu hivhiv!
Asante sana kwa kuileta humu.
Hakuna watu wanaotia huruma kama wanaCCM jamaa kawatenda haswa na wakomeDaaaah aiseee.....lazma ipatikane Trillion 2 na ushee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Kuna mwana CCM mmoja kaja kuniomba ushauri juu ya hili swala sasa me ni jibu nn jmn
Hii ni habari iliyoripotiwa katika gazeti moja na ambayo pia inasambaa mitandaoni.
Kwa kifupi, wanatakiwa kusajiliwa kwa mujibu wa sheria na sio kufuga hivi hivi. Taarifa hii imetolewa na Dr. John Kaijage ambae ni Mtafiti Mkuu na Mratibu wa ufugaji wa kuku katika Wizara ya Kilimo na Mifugo.
Habari ndio hio.
Nimewaza hii comment na yanayoendelea naona Kama kweli vile.Vitabu vya dini vimeficha tu tusijekuumizana ila shetani aliyezungumzwa kwenye vitabu vya dini ni binadamu yeyote mwenye roho mbaya kama ya mkuu
Mwambie kuanzia sasa asivae nguo yeyote akitoka hadharani isipokuwa iliyo na picha ya Magufuli. Na anapokuwa hadharani awe anaimba kwa sauti kubwa" Miaka 10 tena" labda atapata ahueni ya tatizo lake.Daaaah aiseee.....lazma ipatikane Trillion 2 na ushee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Kuna mwana CCM mmoja kaja kuniomba ushauri juu ya hili swala sasa me ni jibu nn jmn
Mtakamuliwa Kodi hata usipokuwa na kuku bandaniHii ni habari iliyoripotiwa katika gazeti moja na ambayo pia inasambaa mitandaoni.
Kwa kifupi, wanatakiwa kusajiliwa kwa mujibu wa sheria na sio kufuga hivi hivi. Taarifa hii imetolewa na Dr. John Kaijage ambae ni Mtafiti Mkuu na Mratibu wa ufugaji wa kuku katika Wizara ya Kilimo na Mifugo.
Habari ndio hio.
Kuku wa vyama gani, Chadema? Siku wote wakihama chama kwa kununuliwa usajiri unakuwaje!Hii ni habari iliyoripotiwa katika gazeti moja na ambayo pia inasambaa mitandaoni.
Kwa kifupi, wanatakiwa kusajiliwa kwa mujibu wa sheria na sio kufuga hivi hivi. Taarifa hii imetolewa na Dr. John Kaijage ambae ni Mtafiti Mkuu na Mratibu wa ufugaji wa kuku katika Wizara ya Kilimo na Mifugo.
Habari ndio hio.
Taahira lile linapata wapi ubunifu? Mungu naye amekuwa mpole mno, hili takataka angelichukua mapema!Sasa tunaingia kwenye kodi ya kuku!!! Next itakuwa usajili wa KITI MOTO! Jamaa hawana tena ubunifu wa njia za mapato.
Mwambie 5 tena 5 tenaDaaaah aiseee.....lazma ipatikane Trillion 2 na ushee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Kuna mwana CCM mmoja kaja kuniomba ushauri juu ya hili swala sasa me ni jibu nn jmn
Watu weusi nikama kuna Laana fulani hiviMbona imeanza muda mrefu huko vijijini, hauwezi kumtoa kuku sehemu 1 kwenda nyingine mpaka uripoti kwa mtendaji wa kijiji hata kama unaazima hilo jogoo kwa ajiri ya mbegu tu.
Ukweli ni huu mzeeVitabu vya dini vimeficha tu tusijekuumizana ila shetani aliyezungumzwa kwenye vitabu vya dini ni binadamu yeyote mwenye roho mbaya kama ya mkuu
Duh, kuku wenyewe siku hizi hawana hata faida kwa mfugaji, bei ya kununua vifaranga imepanda sana, chakula na madawa pia Vimepanda lakini bei ya kuuza kuku sokoni ipo pale pale.
Bora kuacha