Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
-
- #41
Ndio inawaharibu afya ya akili, wakitoka wanakuwa kama vichaa, wanyimwe vyote ila hii wapewe.Ukifungwa maana yake Kuna Baadhi ya huduma muhimu unazikosa... Ile hamu inavyokupanda na ukakosa huduma ndio maana ya kifungo.
Sawa jajiNdio inawaharibu afya ya akili, wakitoka wanakuwa kama vichaa, wanyimwe vyote ila hii wapewe.
Yani unataka kusema kuna wanawake wanawake hawawezi kufikisha mwezi bila ku sex?View attachment 2958789
View: https://www.youtube.com/watch?v=mDH3QEXfcD8Binafsi naona wafungwa wa kike ambao "siyo bikra" na wamefungwa zaidi ya mwezi mmoja wapewe haki ya kufanya mapenzi walau kwa wiki mara moja.
Hili jambo kama wana kataliwa tujiulize je sisi ambao tupo uraiani tunaweza kuishi bila hili tendo takatifu kwa muda gani?
Wanapo ingia gerezani waandikishe majina ya wapenzi wao na namba zao za simu, wafanye
Serikali ya Tanzania imesema tendo la ndoa kwa wafungwa sio haki ya msingi na kwamba haki wanayostahili kupewa ni chakula na mavazi. Kauli hiyo inakuja siku chache tu baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumtaka mkuu mpya wa jeshi la magereza nchini humo kuhakikisha wafungwa wanapatiwa haki zao za msingi ikiwemo mahali pazuri pa kulala na chakula.
Wewe umetembelewa gerezani umesema unawashwa umekunwa sasa kwanini aliekukuna afungwe?nyuma Mungu amekataza na sheria pia imekataza.
Mwezi mrefu namna hiyo?Yani unataka kusema kuna wanawake wanawake hawawezi kufikisha mwezi bila ku sex?
Kwa hio watengenezewe hostel za kupigwa miti tu?Si ndio tumeomba hivyo, kuwe na bweni maalum.
Anasema zijengwe hostel za kafungwa kwa ajili ya kupigwa bomba tu😂😂 Umeandika kifuska sana
Wanaume je?View attachment 2958789
View: https://www.youtube.com/watch?v=mDH3QEXfcD8Binafsi naona wafungwa wa kike ambao "siyo bikra" na wamefungwa zaidi ya mwezi mmoja wapewe haki ya kufanya mapenzi walau kwa wiki mara moja.
Hili jambo kama wana kataliwa tujiulize je sisi ambao tupo uraiani tunaweza kuishi bila hili tendo takatifu kwa muda gani?
Wanapo ingia gerezani waandikishe majina ya wapenzi wao na namba zao za simu, wafanye
Serikali ya Tanzania imesema tendo la ndoa kwa wafungwa sio haki ya msingi na kwamba haki wanayostahili kupewa ni chakula na mavazi. Kauli hiyo inakuja siku chache tu baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumtaka mkuu mpya wa jeshi la magereza nchini humo kuhakikisha wafungwa wanapatiwa haki zao za msingi ikiwemo mahali pazuri pa kulala na chakula.
Kuna masharti, tumia njia alizoumba Mungu na si kinyume.Wewe umetembelewa gerezani umesema unawashwa umekunwa sasa kwanini aliekukuna afungwe?
Wanapiga "puli" kila uchao na ndio maana hawana malalamiko.Wanaume je?
Unadhani wanawake hawapigi puli?Wanapiga "puli" kila uchao na ndio maana hawana malalamiko.
Si ndio, tozo ziongezwe kwenye simu zijenge ma-hosteli kila gereza.Kwa hio watengenezewe hostel za kupigwa miti tu?
Kwa hio mkikaribia siku za hatari mnakuaga na wakati mgumu sana?Kuna masharti, tumia njia alizoumba Mungu na si kinyume.
Yaan hostel za wafungwa kwa ajili ya kutimiza haja zao za kimwili Si watahamia gerezani hukohukoSi ndio, tozo ziongezwe kwenye simu zijenge ma-hosteli kila gereza.
Vyakula vyote magereza yote, vinachanganywa na mafuta ya taa!..... Unaelewa kazi ya mafuta ya taa kwenye mwili!? Ama lengo la magereza yote duniani kuchanganya kerosene kwenye chakula!?Hapana, kule huwezi maana wanafungiwa na huwa tukiwatembelea wanalalamika sana kuwa zinawapanda.
Mnakuwa mnawashwa washwa... hata humu baadhi ya members wakike nawaona wanavyohangaika.Wanawake siku za hatari tunakuwa na wakati mgumu sana, tafadhali tuwaonee huruma wafungwa wa kike, wanaume huwa mnajichua .
Hizo ni speculation, kamahawana makosa itafutwe namna ya ku prove hilo, na hiyo ni mada nyingineSi wote waliopo ndani wana makosa.
CAG ripoti inataja kila siku majizi ya ma-trilioni na hayaguswi , yana maghorofa na makampuni makubwa, yanaishia kusonywa tu na kuhamishwa wizara na mashirika ya umma.
Wasio na hatia ndio wapo ndani.
Mafisadi wana watetezi, si wewe tu, hata Wabunge na mawaziri.Hizo ni speculation, kamahawana makosa itafutwe namna ya ku prove hilo, na hiyo ni mada nyingine