Waganga wa jadi 10 wapelekwa Kigoma kupambana na Wachawi, DC aweka ngumu

Halafu siku vidono vikiamka, mpaka utafute mtu mtwangane au upige ngumi ukutani Hadi vitulieee, vidono bwanaaa. Haaaaaaaa haaaaaaaa.
au ukipigana unaweza mpiga mtu mpaka anakufa au unapigana na watu hata 20 huchoki ni mwendo wa kuwachapa tu mpaka umwagiwe maji na usipomwagiwa maji unaweza wauwa ote dah
 
Punguza ujuaji.
 
Uc

Uchawi haupo, ni imani zinazotokana na Ujinga.
Uchawi upo lakini sio wa kutisha kihivyo. ! Ila wapo baadhi ya watu wanakuwa naturally ni resistant kwa uchawi wowote ule kama vile watu wengine wanakuwa resistant kwa maradhi kwa mfano wapo watu ambao mbu mmoja tu mwenye malaria akimuuma lazima apate malaria lakini wapo watu hata aumwe na hao mbu elfu katu hapati malaria !! Na hata uchawi ni vivyo hivyo wengine ni kugusa tu lakini wengine hawawezekani !!
 
Ulaya na Marekani uchawi umepungua sababu ujinga umepungua sana. Fuatilia vizuri utaona kuwa wajingawajinga ndiyo wanaamini hizi habari za uchawi.
Uchawi upo lakini unafanya kazi kidogo sana !! Na ukijua techniques za kupambana nao hawakupi shida kabisa !! Mara nyingi wanapenda kusumbua tu watu na ndio starehe yao !
 
Wajinga sana Hawa. Wana mungu gani hawa hadi waogope wachawi?
Ishh! Mlokole! Yaan we umekosa hela ya bata ukakimbilia ulokole. Jombaa haya mambo ya hayaz zunga zunga bin zuluz yapo sana! Kuna jamaa yangu alikuwa anaoga ziwan hapa kayenze! Jamaa akapiga mbizi kali, akazama kama dakika kumi watu tukaogopa! Mara pap jamaa kaibuka na kanyolewa kipara kabisa! Jiulize hyo ni nin?
 
Uchawi Upo Mimi nauona kila Siku
 
We kweli mtupu sana!

BADO sana mkuu!

Mungu mwenyewe anajua upo na anasema "usimuache mchawi akaishi"akimuagiza Musa,wewe unakata SASA sijui unataka proof gani we jamaa!!
Nataka kuona mtu akigeuka mamba na Akipigwa risasi isimuingie live. Achana na habari za mazingaombwe.
 
Kigoma inasifika kwa jambo hilo.
Uchawi, ushirikiana na ugqnga wa kinyeji ni jadi Yao, hawawezi kuacha.

Imani za kishirikina zimejikita huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…