jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
au ukipigana unaweza mpiga mtu mpaka anakufa au unapigana na watu hata 20 huchoki ni mwendo wa kuwachapa tu mpaka umwagiwe maji na usipomwagiwa maji unaweza wauwa ote dahHalafu siku vidono vikiamka, mpaka utafute mtu mtwangane au upige ngumi ukutani Hadi vitulieee, vidono bwanaaa. Haaaaaaaa haaaaaaaa.
Punguza ujuaji.Tatizo lenu mnadhani nyie tu ndo mnaijua Kigoma kama kawaida ya waamini ushirikina hamna logical reasoning whatsoever. Kigoma kuanzia mjini, Kasulu, Uvinza, Manyovu, Mnanila hadi Burundi nimefika countless times FYI. Nakufahamu kama kiganja changu cha mkono. Hamna ushirikana zaidi ya ujinga na umaskini na kuaminishana story za kusadikika, mazwazwa wanaamini moja kwa moja kama nyumbu.
Msaidie mwenzako kutaja jina la diwani aliyetoka kishirikina. Nilitaja hadi dau ila mwaka wapili sasa jina tu sijapata.
Uchawi upo lakini sio wa kutisha kihivyo. ! Ila wapo baadhi ya watu wanakuwa naturally ni resistant kwa uchawi wowote ule kama vile watu wengine wanakuwa resistant kwa maradhi kwa mfano wapo watu ambao mbu mmoja tu mwenye malaria akimuuma lazima apate malaria lakini wapo watu hata aumwe na hao mbu elfu katu hapati malaria !! Na hata uchawi ni vivyo hivyo wengine ni kugusa tu lakini wengine hawawezekani !!Uc
Uchawi haupo, ni imani zinazotokana na Ujinga.
Uchawi upo lakini unafanya kazi kidogo sana !! Na ukijua techniques za kupambana nao hawakupi shida kabisa !! Mara nyingi wanapenda kusumbua tu watu na ndio starehe yao !Ulaya na Marekani uchawi umepungua sababu ujinga umepungua sana. Fuatilia vizuri utaona kuwa wajingawajinga ndiyo wanaamini hizi habari za uchawi.
Punguza ujuaji.
Chakushangaza kwenye biblia wanaeleza kisa cha mchawi firauni na MusaCheki mtu mzima anasema eti kuna mtu anakuwa mamba!! Waamini uchawi ni watu wapumbavu zaidi duniani.
Ishh! Mlokole! Yaan we umekosa hela ya bata ukakimbilia ulokole. Jombaa haya mambo ya hayaz zunga zunga bin zuluz yapo sana! Kuna jamaa yangu alikuwa anaoga ziwan hapa kayenze! Jamaa akapiga mbizi kali, akazama kama dakika kumi watu tukaogopa! Mara pap jamaa kaibuka na kanyolewa kipara kabisa! Jiulize hyo ni nin?Wajinga sana Hawa. Wana mungu gani hawa hadi waogope wachawi?
Uchawi Upo Mimi nauona kila SikuULaya na Marekani uchawi umepungua sana baada ya wachawi wengi kuuliwa.
Huku Afrika ni watu viazi kama wewe ndio mnasababisha hawa wachawi waendelee kutusumbua kwa kuwatetea kuwa uchawi hakuna.
Pia Kama mtu anaeamini uchawi ni mjinga au uchawi haupo kwanini nchi hii kuna sheria ya kudhibiti uchawi -Witchcraft Act?
Wewe kama hujawahi shuhudia uchawi piga kimya tu sababu sisi wengine tuna shuhuda nyingi tu za uchawi.
Ujuaji tu kumbe kichwa boksi.Punguzeni umaskini na ujinga mtagundua haya mambo ni chai tu.
Uchawi Upo Mimi nauona kila Siku
Ujuaji tu kumbe kichwa boksi.
Acha ujuaji.Wewe na ndevu zako unaamini mtu anakuwa mamba? Itakua ulimuamini yule mama aliyesema kajifungua jiwe na Zamaradi aliyesema kaenda mbinguni ndo maana ulipata DIVISHENI FOO [emoji1787] [emoji1787]
Chai tu hizoUchawi upo lakini unafanya kazi kidogo sana !! Na ukijua techniques za kupambana nao hawakupi shida kabisa !! Mara nyingi wanapenda kusumbua tu watu na ndio starehe yao !
Tuone mtu akipigwa risasi na haimuingii live. Siyo habari za kusikia huku na kule.Mtafute Musa chesa atakueleza kuhusu ili au tafuta police wale wanaopambana na majambazi atakupa ukwel kuhusu hili
Nataka kuona mtu akigeuka mamba na Akipigwa risasi isimuingie live. Achana na habari za mazingaombwe.We kweli mtupu sana!
BADO sana mkuu!
Mungu mwenyewe anajua upo na anasema "usimuache mchawi akaishi"akimuagiza Musa,wewe unakata SASA sijui unataka proof gani we jamaa!!
Munaendekeza UCHAWI Sana, nipo hapa Mwanga Center uchaw tupuKigoma my home place, nini tena huko?