johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Vice versa is true.Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini..
Cognitive Functions are deteriorating !!!!Bwashee ukimeza dawa zako unaandika vitu vya maana sana ππ Naunga mkono hoja. Jitahidi Bwashee umeze dawa zako kila siku π€£π€£
..najua umemlenga Magufuli.
..unaogopa nini kumtaja?
Rudia kusoma ulichoandika mara mbili tatu hivi kwa makini, utagundua wewe ndio mwenye matatizo ya akili.Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lisu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Mitano tenaNaelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lisu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Unataka useme NEC hawana kitengo Cha afya ya akili? Unamaanisha hata kichaa anaweza gombea uongozi akapitishwa?Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lisu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Hata mimi naona huyu jamaa nae ameamua kufuata nyendo za kada mwenzake Hamis Kigwangala bila shaka!..najua umemlenga Magufuli.
..unaogopa nini kumtaja?
Atake asitake mitano tena...Development has no party au nasema uongo ndugu zangu?Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lisu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!