hiyo ni ramli au dua la kuku kwa mwewe gentleman?Leo inakupa ugali utaongea yote. Kuna siku utasimama peke yako. Hakuna ugali lakini utakua na kilio. Chanzo Cha kilio kitakua CCM isiyo simamia haki. Utaikumbuka hii comment na namna mlivyoshinda chaguzi mbalimbali na mchango wako kwenye wizi. Utakua yupo Mungu aonae!
nadhani makosa ya mwaka huu ya upinzani ni kupuuzia na kususa kujiandikisha,Mwaka 2019 na 2020 baada ya kuwaengua wapinzani mlijitangaza "tumepata ushindi wa kishindo." Nadhani baada ya kuwaengua wapinzani wengi hata mwaka huu na pia mwakani mtajitangaza tena "tumepata ushindi wa kishindo". Lakini kwenye 'fair play' hammo kabisa!
Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hoja halafu wewe ukae pembeni kwanzaJinga kabisa, kama ni wasomi kwanini mliengua wapinzani kama mnapendwa?
mgombea mmoja mjinga wa ccm tuko naye hapa kwenye kampeni hajui kusoma wala kuandika barua anaandikiwa na mke wake ila tu kwa vile ni ccm na yeye kajaza fomu na hakuonekana anakosa,kila akipanda jukwaani hicho kipengele anakutana nacho ila maccm yanamkenulia tu kwa sababu ni wakwaoHaya ni matokeo ya succession plan ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Hawa wote ndio baadae watakuja kua madiwani, wabunge, mawaziri na Marais wanaoitambua jamii tangu ground.
Kuhitimisha hoja hii makini na ya ukweli, ni dhahiri mpaka sasa ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika, wa wawazi kabisa na usio na mawaa, mpaka hata kwenye ule wa udiwani, ubunge na urais 2025 ndivyo itakavyokua.π
Mungu Ibariki Tanzania
acha upotoshaji wa kutafuta huruma na kiki gentleman...mgombea mmoja wa ccm tuko naye hapa kwenye kampeni hajui kusoma na kuandika barua anaandikiwa na mke wake ila tu kwa vile ni ccm na yeye kajaza fomu na hakuonekana anakosa
ni ujinga kukaza shingo na kukanusha usilolijua kwa akili yako ndogo unafikiri Tz ni hapo we ulipo tuacha upotoshaji wa kutafuta huruma na kiki gentleman...
wagombea uongozi wa CCM sio watu wa mabarua barua ni watu wa kazi tu.
wagombea wengi wa CCM katika uchaguzi huu, ni vijana wahitimu na wasomi wa vyuo vikuu, kwahiyo huo upotoshaji hauna maana yoyote π
Haya ni matokeo ya succession plan ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Hawa wote ndio baadae watakuja kua madiwani, wabunge, mawaziri na Marais wanaoitambua jamii tangu ground.
Kuhitimisha hoja hii makini na ya ukweli, ni dhahiri mpaka sasa ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika, wa wawazi kabisa na usio na mawaa, mpaka hata kwenye ule wa udiwani, ubunge na urais 2025 ndivyo itakavyokua.π
Mungu Ibariki Tanzania
Hatuzungumzii hilo !!Tunazungumzia usomi !!WEWE SIYO MSOMI HATA KIDOGO.(Una karatasi ya degreendiyo gentleman,
nilionekana kichaa kwenda kugombea ubunge kwa mara ya kwanza, mara tu baada ya kumaliza paper ya mwisho mwaka mwaka wa tatu chuo kikuu, huku nikiwa na laki5 tu mfukoni
uliza sasa ilikua mwaka gani? nilifaulu au sikufaulu mtanange huo?
niliowakuta humu JF tena ambao ndio mathink tank kwenye vyama vyao wakaishia kuniignore tu,
kwasababu wanashangaa huyu mujamaa amefanyafanyaje na laki tano tu, mpaka akakua poweful individual !!namna hii?y
My friend ni kujipanga tu,
tafiti zangu zote zaidi ya mbili za kitaaluma kwa kiasi kikubwa kwa Neema na Baraka za Mungu, nimefanikiwa kupitia JF
uhuni kwa kuambiwa ukweli ccm ni kichaka ya majizi labda tu we ni mgeni hukoakili kubwa kua mpotoshaji ni aibu na fedheha kubwa sana gentleman.
achana na tabia hiyo ya kihuni π
upotoshaji ni uhuni gentleman,uhuni kwa kuambiwa ukweli ccm ni kichaka ya majizi labda tu we ni mgeni huko
Hao hao unaowasifia leo kwamba ni wasomi, wakihamia chama kingine utasema kinyume chake kuhusu wao..!! Kwa unafiki mnajulikana.Haya ni matokeo ya succession plan ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Hawa wote ndio baadae watakuja kua madiwani, wabunge, mawaziri na Marais wanaoitambua jamii tangu ground.
Kuhitimisha hoja hii makini na ya ukweli, ni dhahiri mpaka sasa ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika, wa wawazi kabisa na usio na mawaa, mpaka hata kwenye ule wa udiwani, ubunge na urais 2025 ndivyo itakavyokua.π
Mungu Ibariki Tanzania
acha kupanic mzee ndo ccm walivyo cha ajabu sifa ya mgombea ni kujua kusoma na kuandika,jambo ambalo wengi wa ccm hawana ni ubabaishaji tuupotoshaji ni uhuni gentleman,
waTanzania hawezi kubabaika na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi. Vijanaa wasomi wanashika hatamu za uongozi wa taifa kuanzia sasa, kuanzia ngazi za vitongoji, vijiji na mitaa kwa mustakabali mwema wa umoja amani na utulivu wa Taifa letu.
Huu ni mwanzo wa mwisho wa mihemko na upotoshaji wa kihuni π
CCM tunazungumza mambo yote bila mbambamba ya mtu yeyote gentleman..Hatuzungumzii hilo !!Tunazungumzia usomi !!WEWE SIYO MSOMI HATA KIDOGO.(Una karatasi ya degree
Ulienda CCM baada ya kuona ukiingiza kwenye data base utaonekana na uchaguliwe kuwa hata MKURUGENZI WA HALMASHAURI.
Kumbuka maongezi yako siku Ile tukiwa cafeteria UDSM
NINA KUJUA UKIENDELEA KUZINGUA NAKUAMBISHA .
Umepewa kazi ya kuandika kwenye mitandao Msomi mzima.
mimi simfiii mtu yeyote gentleman,Hao hao unaowasifia leo kwamba ni wasomi, wakihamia chama kingine utasema kinyume chake kuhusu wao..!! Kwa unafiki mnajulikana.
labda unifindishe wewe huo ushirikina wa kupanic na mihemko gentleman π€£acha kupanic mzee ndo ccm walivyo cha ajabu sifa ya mgombea ni kujua kusoma na kuandika,jambo ambalo wengi wa ccm hawana ni ubabaishaji tu
vijana wako upinzani ndo maana ccm wanatumia nguvu kubwa kwa watendaji kuwaengua,ccm wengi ni wazee jana niliwakuta mahali kwenye mgao wa pikipiki za rushwa ya sa100, unamwona mzee anatetemeka tu amekuja na dereva wake kuchukua pikipiki utakuta mzee kama huyo ni katibu wa tawi au shinalabda unifindishe wewe huo ushirikina wa kupanic na mihemko gentleman π€£
upinzani walipuuza kujiandikisha,
wakajikuta zoezi la kujiandikisha limekwisha na waliojiandikisha ni wazee pekee,
matokeo yake wakaanza kuwalazimisha kuchukua fomu za kugombea uongozi..
wazee wanakosea kujaza fomu hata warudie mara10π€£
ndiyo wale wanaochochewa na mihemko, ghadhabu na makasiriko kuporomosha matusi kwa ustadi mkubwa namna ile, right?π€£vijana wako upinzani ndo maana ccm wanatumia nguvu kubwa kwa watendaji kuwaengua,ccm wengi ni wazee jana niliwakuta mahali kwenye mgao wa pikipiki za rushwa ya sa100, unamwona mzee anatetemeka tu amekuja na dereva wake kuchukua pikipiki utakuta mzee kama huyo ni katibu wa tawi au shina