LGE2024 Wagombea wa CCM kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na vijiji ni vijana wasomi ukilinganisha na vyama vingine

LGE2024 Wagombea wa CCM kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na vijiji ni vijana wasomi ukilinganisha na vyama vingine

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
mimi simfiii mtu yeyote gentleman,
naeleza ukweli tu ambao ni dhahiri na usio na mawaa..

huo ni mtazamo wa waliopoteza uelekeo gentleman 🐒
Ukweli huo huo unausema leo, wakihama chama, utaugeuza kuwa uwongo..!!
 
Hivi wewe degree yako ya pale UDSM imekusaaidia nini?Mbona bado CHAWA ?Mbona bado ni Malaya .Msomi wa UDSM ungana na vijana wenye Elimu nzuri kama yako ya kutoka chuo bora Africa Mashariki kupata Katiba mpya !Acha kuidhalilisha UDSM kwa uchawa Ili uweze kula ??

Kulikuwa na haja gani ya wewe kwenda shule ?
🙄🙄🙄
 
Haya ni matokeo ya succession plan ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Hawa wote ndio baadae watakuja kua madiwani, wabunge, mawaziri na Marais wanaoitambua jamii tangu ground.

Kuhitimisha hoja hii makini na ya ukweli, ni dhahiri mpaka sasa ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika, wa wawazi kabisa na usio na mawaa, mpaka hata kwenye ule wa udiwani, ubunge na urais 2025 ndivyo itakavyokua.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Unaweza kuwa na elimu lakini usiwe umeelimika na kustaarabika kama ilivyo kwa wana CCM wengi!!
 
Unaweza kuwa na elimu lakini usiwe umeelimika na kustaarabika kama ilivyo kwa wana CCM wengi!!
hivi wale jama wa upande wa pili ni wasomi wa mihemko na kuporomosha matusi tu eee 🐒
 
CCM tunazungumza mambo yote bila mbambamba ya mtu yeyote gentleman..

habari sijui cafeteria ulikua nini, hizo ni njaa za asubuh asubuh 🤣

mimi sina haja ya kuchaguliwa na yeyote popote, ispokua kwa Baraka na Neema za Mungu nipo hivi nilivyo na sibabaiki na ng'we ng'we za mtu yeyote.

Ile ya muhimu zaidi,
ni hawa wananchi walioniamini na kunipatia ya kuwafanyia kazi ndio wa muhimu zaidi ambao nitawachunga kwa hali na mali..

zaidi ya hapo,
hayo mambo mengine unaleta ni stories na porojo za pata potea gentleman 🐒
Wadanganye wasio kujua !!Wewe ni mwiongoni mwa UVCCM walikuwa wanaamini watachaguliwa kuwa DED,DAS !!Ukaamini utachaguliwa soon .

Mungu hawezi kukuteua kuwa mkuu wa Idara yoyote.Mungu wetu hafanyi kazi hivyo.Mungu anakupa unachostahiri siyo unachotaka wewe.

Wewe kazi yako ni UCHAWA tu ndiyo inakufaa.
Wewe na degree yako usiku kucha unaandika udaku iliulee !

CCM ni shetani na hata cheo utapewa na shetani CCM
 
Wadanganye wasio kujua !!Wewe ni mwiongoni mwa UVCCM walikuwa wanaamini watachaguliwa kuwa DED,DAS !!Ukaamini utachaguliwa soon .

Mungu hawezi kukuteua kuwa mkuu wa Idara yoyote.Mungu wetu hafanyi kazi hivyo.Mungu anakupa unachostahiri siyo unachotaka wewe.

Wewe kazi yako ni UCHAWA tu ndiyo inakufaa.
Wewe na degree yako usiku kucha unaandika udaku iliulee !

CCM ni shetani na hata cheo utapewa na shetani CCM
Relax bas gentleman na upunguze mihemko na makasiriko kwenye mambo ya msingi na ya kweli kabisaa kuhusu wagombea wasomi wa CCM.

Ni muhimu kufahamu kwamba CCM ina hazina kubwa mno ya watu wasomi wa kada mbalimbali, na wote wana sifa za kushika nyadhifa mbalimbali, ikiwa ni pamoja na wenyeviti wa mitaa na vijiji, udiwani, ubunge n.k..

katika uchaguzi huu wa serikali za mitaa, CCM imeamua kuwapa fursa vijanaa kwa zaidi ya 90% wagombea uongozi wa serikali za mitaa, ikiwa ni maandalizi ya kuwajengea uwezo na kuawandaa kuwa madiwani, wabunge, mawaziri na hata Rais anaeijua ground vizuri.

Hata hivyo,
Lile jukumu muhimu ambalo niko nalo la kuwatumikia wanainchi, kwangu mimi naona itakua ni tamaa ya madaraka, kuwaacha wananchi na kutegemea uteuzi.

viongozi waandamizi wa chama na serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi wetu makini na kipenzi cha waTanzani Dr.Samia Suluhu Hassan tunafanya kazi kwa pamoja kwa maslahi mapana ya waTanzania wote,

vinginevyo unaleta porojo na story za pata potea tu gentleman 🐒
 
nadhani makosa ya mwaka huu ya upinzani ni kupuuzia na kususa kujiandikisha,

matokeo yake,
hapakua na option zaidi ya kuwashinikiza wazee wachache waliojiandikisha, eti ndiyo wawe wagombea :pedroP:

mzee anajaza fomu zaidi ya mara5, na mara zote anakosea. nadhani ni muhimu mtu kama huyo kuenguliwa kwasababu hakuna anachoweza sasa.
Mhu! Wapi! Moja ya malalamiko yaliyoonyeshwa ni kujaza kazi ya "ujasiliamali". Wagombea wa chama X ni shughuli halali; wagombea wa chama Y ni shughuli isiyoeleweka, na hivyo kuenguliwa, kweli?
 
Nchi ina safari ndefu mno inamaana hawa vijana waliosoma shule hizi zinazofundisha upuuzi ndio wamekuwa tegemeo? Nchi ya machawa na walamba makalio eti nayo ina wasomi
 
Haya ni matokeo ya succession plan ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Hawa wote ndio baadae watakuja kua madiwani, wabunge, mawaziri na Marais wanaoitambua jamii tangu ground.

Kuhitimisha hoja hii makini na ya ukweli, ni dhahiri mpaka sasa ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika, wa wawazi kabisa na usio na mawaa, mpaka hata kwenye ule wa udiwani, ubunge na urais 2025 ndivyo itakavyokua.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Vichawa aka wahitimu wa vyuo
 
Vichawa aka wahitimu wa vyuo
sio nyumbu gentleman usichanganye,
wagombea uongozi wa serikali za mitaa wa CCM ni wasomi wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali vya ndani na nje yake nchi na kwahiyo ni watu makini, mahiri wenye weledi na wasio weza kushindwa katika uchaguzi au mashindano yoyote ya kidemokrasia 🐒
 
sio nyumbu gentleman usichanganye,
wagombea uongozi wa serikali za mitaa wa CCM ni wasomi wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali vya ndani na nje yake nchi na kwahiyo ni watu makini, mahiri wenye weledi na wasio weza kushindwa katika uchaguzi au mashindano yoyote ya kidemokrasia 🐒
Hawa hawa tuna waona mtaani tulipo au ww upo mbinguni..? Ukiwa chawa uwe na akili basi maana tupo nchi moja so waweza sifia kitu kumbe ni ulipo jobless kaona ajishikize.
 
Mhu! Wapi! Moja ya malalamiko yaliyoonyeshwa ni kujaza kazi ya "ujasiliamali". Wagombea wa chama X ni shughuli halali; wagombea wa chama Y ni shughuli isiyoeleweka, na hivyo kuenguliwa, kweli?
kama hoja ya msingi inavyoeleza gentleman,

hivi kweli wagombea uongozi vijanaa wasomi wa vyuo vikuu wa CCM wakosee kujaza fomu, ukilinganisha na wale wa upande wa pili, tena ni wazee wenye uoni hafifu, eti ndio wameshinikizwa kugombea uongozi, baada ya vijanaa wao walisusa kujiandikisha🐒

dah inasikisha sana aise, yaa mgombea anakosea zaidi ya mara tano, fomu imefutwa futwa unadhani utadhani ina majibu ya kuibia 🤣
 
Hawa hawa tuna waona mtaani tulipo au ww upo mbinguni..? Ukiwa chawa uwe na akili basi maana tupo nchi moja so waweza sifia kitu kumbe ni ulipo jobless kaona ajishikize.
mtaani itakua umebaki mvivu mwenye majivuno wewe tu gentleman,

wenzako wako kwenye kampeni saizi wanakiza na kufuatilia vijana wenzao wakijinadi na kueleza sera na mipango yao ya maendeleo katika vijiji na mitaa..

Toka ndani, acha kujifungia ndani kama Joe Biden white house. Jichanganye na wenzio na kupeana michongo na fursa 🐒
 
Nchi ina safari ndefu mno inamaana hawa vijana waliosoma shule hizi zinazofundisha upuuzi ndio wamekuwa tegemeo? Nchi ya machawa na walamba makalio eti nayo ina wasomi
na hawa ndio viongozi wako wa leo, kesho daima na milele..

we endekeza uvivu, dhihaka na makasiriko tu, utatawaliwa hadi ukamilifu wa dahari 🤣
 
mtaani itakua umebaki mvivu mwenye majivuno wewe tu gentleman,

wenzako wako kwenye kampeni saizi wanakiza na kufuatilia vijana wenzao wakijinadi na kueleza sera na mipango yao ya maendeleo katika vijiji na mitaa..

Toka ndani, acha kujifungia ndani kama Joe Biden white house. Jichanganye na wenzio na kupeana michongo na fursa 🐒
Pole. Mzee baba kama unadhani nipo ndani haya
 
na hawa ndio viongozi wako wa leo, kesho daima na milele..

we endekeza uvivu, dhihaka na makasiriko tu, utatawaliwa hadi ukamilifu wa dahari 🤣
Hivi nikuulize kitu hivi furaha yako wewe Ccm ibaki madarakani au furaha yako wewe nchi ipate viongozi wenye maono ya kuutokomeza umaskini?
 
Back
Top Bottom