Wagonjwa wa Corona wadaiwa kuvunja geti hospitali ya Amana na kutoroka. Mwananyamala waleta vurugu wakitaka waruhusiwe

Wagonjwa wa Corona wadaiwa kuvunja geti hospitali ya Amana na kutoroka. Mwananyamala waleta vurugu wakitaka waruhusiwe

Huu Sio umbea Bali ni tahadhar ya kweli so chakufanya wewe kua Makin tu pia Kama huamin Basi jaribu kufatilia hata kwa kuuliza watu wanao kaa Yale maeneo

Sent using Jamii Forums mobile app
tahadhari gani ,kwahiyo na mimi niseme wagonjwa wa mloganzila wamekimbia ili tu kuwe na tahadhari,hakuna tahadhari ya uzushi,tupe link ya source ya taarifa yako usituambie eti kuna nesi
 
Hao hawajatoroka, wameondoka kurudi majumbani kujivukiza, tuliambiwa na jiwe Jana tujivukize
 
Pengine wamehamasika na hotuba ya mtukufu rais akiwahutubia wakuu wa vyombo vya ulinzi na usarama ikulu ya chato
Wanaenda maeneo ya Nzega, Geita, Burigi halafu kuja jiji pale sijui laitwaje like, chaaatle
 
IMG-20200423-WA0003.jpg
 
Kuna ukweli wowote, kuhusu hii vdeo?
 

Attachments

  • toNRk5Y-FR6799Pt.mp4
    1.4 MB
Jamani jana usiku wagonjwa wa corona zaidi ya nusu wametoroka hospitali ya Amana. Wamevunja geti wamekimbia. So please kuweni makini huko mitaani.

Nashindwa kuwalaumu maana DM yangu imejaaa malalamiko ya ndugu za watu waliokuwa Amana wanasema wanafanywa kama wanyama. Hakuna huduma, hakuna nesi au madoctor wanaowasogelea. Yani you are on your own there. Na kama unagonjwa lingine litakuua maana hakuna huduma wanayoto.

Na vile covid-19 haina dawa so wanachukulia hiyo kama sababu ya kutowasaidia wagonjwa na dawa za kupunguza makali ya dalili za covid-19 kama dawa za kifua, au kupunguza homa au dawa za kichwa. Watu wanazidiwa wanashindwa kuhema ila hawapewi oxgen wala hawapelekwi ICU wanajifia wodini.

@ummymwalimu I know you are trying mama. You are doing your best but please do something kuhusu treatment ya wagonjwa wa corona kwenye mahospitali la sivyo watu wataogopa kuja hospitali watafia nyumbani kama huduma ndo hivyo na Matokeo yake yatakuwa maambukizi kuzidi.

Kaka wa shemeji yangu alikuwa Amana toka majuzi kisukari kimepanda hakuna treatment anayopewa anaambiwa asubiri majibu ya covid-19. Kwanini asipate huduma ya kisukari wakati wakisubiri majibu? Majibu yakatoka na bado hakuna huduma ya kisukari.

Ni mmoja kati ya watu waliotoroka jana usiku, sababu yake ya kutoroka ni anataka kwenda hospitali ingine kutafuta huduma ya kisukari na kasema akifika huko hatowaambia ana covid-19 ili wamsaidie. Na sasa anakaa gesti. Now this is dangerous jamani. This can’t be happening. Yani mpaka nimesisimka. Yani wagonjwa wanaogopa kusema wana corona ili wapewe huduma ya magonjwa yao mengine. 😭😭😩

@ummymwalimu Tafadhali toa elimu kwa wahudumu wa afya wasiwaogope wagonjwa. .Hiyo ndio Kazi yao walioichagua,cha maana muwe mnawapa PPE. Kuwafungia wagonjwa wodini kama wanyama bila huduma yoyote sio kabisaaaa. Hakuna daktari wa zamu anapita kuangalia wagonjwa, wanawachungulia madirishani tu. Wanawasubiria wafe wakawazike.
Nimeshindwa kuicrop hii picha hapa chini, ukifanikiwa iweke kwenye main thread
The Importance Behind the Photo of a Starving Child and a Vulture
 
Kama wagonjwa wanaweza kuvunja mpaka geti na kukimbia basi haka kaugonjwa ni kadogo sana bila shaka watapona...
 
Back
Top Bottom