Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Sekondari bado.Je ukisoma sekondari tu bila kwenda chuo kikuu hupati ukombozi wa fikra ?
Ukisoma shule za kayumba hupati ukombozi wa fikra?
Hadi ufike walikoandika ''WISDOM IS FREEDOM''
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sekondari bado.Je ukisoma sekondari tu bila kwenda chuo kikuu hupati ukombozi wa fikra ?
Ukisoma shule za kayumba hupati ukombozi wa fikra?
Mnashukuru wenzetu mna wazazi wengine tumejisomesha wenyewe na bado tunajitafutia mitaji wenyewe
R.i.p mother&dad
Itakuwa 🥴Kichaa hawezi kuwa na degree ya udsm. Labda kama kadata ukubwani
Degree yoyote haina tatizo, tatizo hapa kwetu fulsa ni chache sana, sasa kama wanaohitimu kila mwaka ni 800K, wanaibahatika kupata ajira ni 40K, hapo ni balaa bro!Habari wadau.
Wazazi wengi tunasomesha watoto kwa kujibana, Tena shule za gharama. Tunakopa huku na huku tuwalipie ada. Nawakumbusha tu tukumbuke na kuwaandalia mitaji ya biashara wakimaliza kusoma.
Graduates wengi ambao wazazi wao hawajawapa mitaji wamekuwa wazururaji tu mitaani, walevi wenye msongo mkubwa wa mawazo.
Graduates ambao wapo vizuri ni wale ambao kwao wamepewa mitaji. Na wale wenye vipaji kama wasanii kina Bilnass.
Hizi ni comments za graduates wanaojutia kwenda chuo kikuu. Maoni haya wametoa baada ya graduates mmoja kulalamika degree yake haijamlipa. Bali ilimpotezea muda tu na kumpa ego ya kujiona class ya juu.
View attachment 3044026
View attachment 3044029
View attachment 3044032
View attachment 3044035
View attachment 3044029
View attachment 3044047
View attachment 3044048
View attachment 3044050
View attachment 3044050View attachment 3044137View attachment 3044136View attachment 3044135View attachment 3044134View attachment 3044133View attachment 3044132View attachment 3044131
Kumbe Kuna watu bado wanasoma 👀
Degree yoyote haina tatizo, tatizo hapa kwetu fulsa ni chache sana, sasa kama wanaohitimu kila mwaka ni 800K, wanaibahatika kupata ajira ni 40K, hapo ni balaa bro!
Bongo🚮.. Mkiweza Zameni london tu watanzania zameni kwa malkia fasta.
🤣🤣🤣🤣Sio kusoma tu bali wanalipiwa ada hela nyingi.. ambazo zinapatikana kwa mikopo ya kausha damu
Kk sijasema kusoma, namaanisha kufanya kazi.Wapo watu wamesoma london wamerudi na degree zao za ulaya ila bado wanauza vyombo kariakoo
Sasa huo ukombozi mbona haupo kwa hao wasomi ? Tena wengine wamesomea nje ta nchi.Wengi hamuelewi lengo la kusoma ndio maana mnalalamika.
Lengo la kusoma siyo kupata utajiri au kuboresha maisha.
Lengo la kusoma ni kupata freedom.
Yes!
FREEDOM OF THOUGHT.
Yaani kwa kiswahili ni UKOMBOZI WA FIKRA.
Hapana ni jambo zuri kuona biashara siku hizi inafanywa na wasomi bado ili tupate kuendelea kweli kweli ifike hadi ujenzi wa mtaani tunapata maengineer wa bachelorJapo wachangiaji wengi hapo walikuwa wanafanya masihara lakini hii ni Mada inayohitaji Mjadala Mpana kwa mazingira ya Sasa na Baadaye.
HahaaaaaSio kusoma tu bali wanalipiwa ada hela nyingi.. ambazo zinapatikana kwa mikopo ya kausha damu
Ss ndugu yangu nchi zima watu wasisome kisa hakuna ajira mbona nigeria huko kenya hapo iyo ishu ipo mda mrefu na bado wanazid kusoma kila siku ss bongo ndo mana mambo mengi tunashindwa na serikali ina take advantage haswa hawa ccm coz inaongoza mambumbu snKARNE HI BDO WANASOMA? ELIMU AMBAYO HAINA MSAADA INAFAFANYA WAHITIMU WAZURURAJI?UPUUZI
Nimesema ni FREEDOM OF THOUGHT, sio FINANCIAL FREEDOM.Sasa huo ukombozi mbona haupo kwa hao wasomi ? Tena wengine wamesomea nje ta nchi.
Wakinga wamepata wapi freedom ?Usomi siku zote umekuwa wa kukusaifia kupata fedha hayo menyine ni kujifariji tu. Kosa kazi uone kama utakuwa na hio freedom.