Wahitimu wengi wanajutia kusoma chuo kikuu. Mzazi mwandalie mwanao Mtaji. Zama zimebadilika

Wahitimu wengi wanajutia kusoma chuo kikuu. Mzazi mwandalie mwanao Mtaji. Zama zimebadilika

Habari wadau.

Wazazi wengi tunasomesha watoto kwa kujibana, Tena shule za gharama. Tunakopa huku na huku tuwalipie ada. Nawakumbusha tu tukumbuke na kuwaandalia mitaji ya biashara wakimaliza kusoma.

Graduates wengi ambao wazazi wao hawajawapa mitaji wamekuwa wazururaji tu mitaani, walevi wenye msongo mkubwa wa mawazo.

Graduates ambao wapo vizuri ni wale ambao kwao wamepewa mitaji. Na wale wenye vipaji kama wasanii kina Bilnass.

Hizi ni comments za graduates wanaojutia kwenda chuo kikuu. Maoni haya wametoa baada ya graduates mmoja kulalamika degree yake haijamlipa. Bali ilimpotezea muda tu na kumpa ego ya kujiona class ya juu.


View attachment 3044026


View attachment 3044029


View attachment 3044032


View attachment 3044035

View attachment 3044029

View attachment 3044047


View attachment 3044048


View attachment 3044050

View attachment 3044050View attachment 3044137View attachment 3044136View attachment 3044135View attachment 3044134View attachment 3044133View attachment 3044132View attachment 3044131
Degree yoyote haina tatizo, tatizo hapa kwetu fulsa ni chache sana, sasa kama wanaohitimu kila mwaka ni 800K, wanaibahatika kupata ajira ni 40K, hapo ni balaa bro!
 
Wengi hamuelewi lengo la kusoma ndio maana mnalalamika.

Lengo la kusoma siyo kupata utajiri au kuboresha maisha.

Lengo la kusoma ni kupata freedom.
Yes!
FREEDOM OF THOUGHT.

Yaani kwa kiswahili ni UKOMBOZI WA FIKRA.
Sasa huo ukombozi mbona haupo kwa hao wasomi ? Tena wengine wamesomea nje ta nchi.
Wakinga wamepata wapi freedom ?Usomi siku zote umekuwa wa kukusaifia kupata fedha hayo menyine ni kujifariji tu. Kosa kazi uone kama utakuwa na hio freedom.
 
KARNE HI BDO WANASOMA? ELIMU AMBAYO HAINA MSAADA INAFAFANYA WAHITIMU WAZURURAJI?UPUUZI
Ss ndugu yangu nchi zima watu wasisome kisa hakuna ajira mbona nigeria huko kenya hapo iyo ishu ipo mda mrefu na bado wanazid kusoma kila siku ss bongo ndo mana mambo mengi tunashindwa na serikali ina take advantage haswa hawa ccm coz inaongoza mambumbu sn
 
Hayo maoni ya wanachuo wengi ni vilaza.kuandika hapa anaandika apa.kusoma ni kuondoa ujinga na kukuwezesha kutatua changamoto zinazokuzunguka.kupitia elimu zao walizopata shuleni ziwasaidie kubuni miradi itakayopelekea kutatua hizo shida zao.kuna mmoja analalamika kuwa shahada yake imeishia kwenye ufugaji wa kuku hajui kuwa Kuna watu wamepata utajiri Kwa kufunga kuu hasa Hawa wa kisasa?
 
Back
Top Bottom