Wahitimu wengi wanajutia kusoma chuo kikuu. Mzazi mwandalie mwanao Mtaji. Zama zimebadilika

Wahitimu wengi wanajutia kusoma chuo kikuu. Mzazi mwandalie mwanao Mtaji. Zama zimebadilika

Habari wadau.

Wazazi wengi tunasomesha watoto kwa kujibana, Tena shule za gharama. Tunakopa huku na huku tuwalipie ada. Nawakumbusha tu tukumbuke na kuwaandalia mitaji ya biashara wakimaliza kusoma.

Graduates wengi ambao wazazi wao hawajawapa mitaji wamekuwa wazururaji tu mitaani, walevi wenye msongo mkubwa wa mawazo.

Graduates ambao wapo vizuri ni wale ambao kwao wamepewa mitaji. Na wale wenye vipaji kama wasanii kina Bilnass.

Hizi ni comments za graduates wanaojutia kwenda chuo kikuu. Maoni haya wametoa baada ya graduates mmoja kulalamika degree yake haijamlipa. Bali ilimpotezea muda tu na kumpa ego ya kujiona class ya juu.


View attachment 3044026


View attachment 3044029


View attachment 3044032


View attachment 3044035

View attachment 3044029

View attachment 3044047


View attachment 3044048


View attachment 3044050

View attachment 3044050View attachment 3044137View attachment 3044136View attachment 3044135View attachment 3044134View attachment 3044133View attachment 3044132View attachment 3044131
Bado wanakuja wengine wengi tu na wanaingia kingi kirahisi huko mitaani.
 
Habari wadau.

Wazazi wengi tunasomesha watoto kwa kujibana, Tena shule za gharama. Tunakopa huku na huku tuwalipie ada. Nawakumbusha tu tukumbuke na kuwaandalia mitaji ya biashara wakimaliza kusoma.

Graduates wengi ambao wazazi wao hawajawapa mitaji wamekuwa wazururaji tu mitaani, walevi wenye msongo mkubwa wa mawazo.

Graduates ambao wapo vizuri ni wale ambao kwao wamepewa mitaji. Na wale wenye vipaji kama wasanii kina Bilnass.

Hizi ni comments za graduates wanaojutia kwenda chuo kikuu. Maoni haya wametoa baada ya graduates mmoja kulalamika degree yake haijamlipa. Bali ilimpotezea muda tu na kumpa ego ya kujiona class ya juu.


View attachment 3044026


View attachment 3044029


View attachment 3044032


View attachment 3044035

View attachment 3044029

View attachment 3044047


View attachment 3044048


View attachment 3044050

View attachment 3044050View attachment 3044137View attachment 3044136View attachment 3044135View attachment 3044134View attachment 3044133View attachment 3044132View attachment 3044131
Ni kama mzaha ila ndo uhalisia
 
Mi mwanangu nitamfua mwenyewe kwenye haya mambo yangu akishamaliza tu form four..

Kwanza picha linaanza mpaka anafika secondary tayar kuna mazaga ambayo nafanya atakua tayari kashayajua nusu..

Na mti akijifanya kunishauri nampiga pipe
 
Can you explain what do you mean by fredom of thought ?
How doesn't it unrelated with money creation, money innovation and anything which can't be related with money creation?
Where does freedom of thought focus and inwhich area does it help human.
What is its purpose?
Asante sana, nitakuja nijaribu kuelezea.
 
kuna uhusiano mkubwa sana kati ya thought na financial freedom

YESU NI MWOKOZI
Uhusiano unaweza kuwepo lakini siyo mkubwa.

Freedom of thought ni likitu likubwa lisilo na mwisho, mfano wa bahari, halafu Financial freedom ni ka kipande kadogo tu, yaani kama samaki tu katika bahari.

Yaani labda niongezee hivi,
Financial freedom ni matokeo ya kumaster somo tu, somo la financial education.

Freedom of thought inaweza kuinvolve faculty yeyote ile kwny ulimwengu huu.
 
Nabisha na kukataaa
Sasa tulikomaa nini na BS, Chandy, Medicine chuo halafu elimu yotee nifugie kuku.

Sema system imefeli, then tunajipa moyo tuuu.!!!

#YNWA
System gani iliyofeli?

Lengo la formal education ni kuajiriwa. Kama graduates wengi sana waliofaulu hawapati ajira, hilo kweli ni tatizo.
 
Uhusiano unaweza kuwepo lakini siyo mkubwa.

Freedom of thought ni likitu likubwa lisilo na mwisho, mfano wa bahari, halafu Financial freedom ni ka kipande kadogo tu, yaani kama samaki tu katika bahari.

Yaani labda niongezee hivi,
Financial freedom ni matokeo ya kumaster somo tu, somo la financial education.

Freedom of thought inaweza kuinvolve faculty yeyote ile kwny ulimwengu huu.
Kutokana na tulipianzia mjadala na jinsi ulivyoeleza hapa. Hio freedom of thought lazima ukaipate chuo kikuu ? Maana vyuo vyenyewe vinachagua tuvitu tuchache twa kumfundisha mtu. Kama ishu ni kupata mawanda mapana, elimu ya hivyo si imejaa mitandaoni ni kujipa muda na bando unasoma unachokitaka.
Wewe unaposema unaenda kupata freedom of thought akusaidie nini ? Naona umekwepa kujibu maswali yangu, inawezaje kuniaminisha kuwa una hio freedom of thought wakati unaepa maswali ?
 
Unaujua wehu. Abnormality! Psychiatric, nk
Kuona vitu kawaida visivyo vya jawaida. Ipi siku uraona hata ukitembea kinyume nyume ni sawa. Kemea hio hali.yaani umesoma hujapata ajira na hivyo vyeti havikusaidiu kupata income unaona okay!. Mkuu nenda hospitali haupo kawaida, usipuuze wahi kwa Doctor.
Muende nyie huko hospital mkapate tiba, mnaolalama ajira ngumu na kujutia muda uliopotea mkiwa masomoniii, mie niko swafiii kabisaaa.

Woiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hayo maoni ya wanachuo wengi ni vilaza.kuandika hapa anaandika apa.kusoma ni kuondoa ujinga na kukuwezesha kutatua changamoto zinazokuzunguka.kupitia elimu zao walizopata shuleni ziwasaidie kubuni miradi itakayopelekea kutatua hizo shida zao.kuna mmoja analalamika kuwa shahada yake imeishia kwenye ufugaji wa kuku hajui kuwa Kuna watu wamepata utajiri Kwa kufunga kuu hasa Hawa wa kisasa?
Shida ya wasomi wa Tanzania ni vipofu hawawezi kuona fursa wamekariri.

Unakuta jitu limepata degree lkn ni kipofu haoni fursa zinazomzunguka

Yy alitegemea akimaliza shule basi kazi hiyo hapo!!??

Fck them
 
Muende nyie huko hospital mkapate tiba, mnaolalama ajira ngumu na kujutia muda uliopotea mkiwa masomoniii, mie niko swafiii kabisaaa.

Woiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda hospitali mkuuu. Eti unashika vyeti unafurahia hata kama havijakusaidia kupata ajira. Umesema mwenyewe mkuu kuwa unafurahia usinibadilishie kibao.
 
Back
Top Bottom