Wahitimu wengi wanajutia kusoma chuo kikuu. Mzazi mwandalie mwanao Mtaji. Zama zimebadilika

Wahitimu wengi wanajutia kusoma chuo kikuu. Mzazi mwandalie mwanao Mtaji. Zama zimebadilika

Watu wapewe passport watafute fursa nchi nyingine
Ila sasa suala jingine linakuja ni elimu yetu hii 🥴 mtu mhitimu wa chuo ila kujieleza hata kwa kiswahili anashindwa
Leo umeweka comment mujarabu kabisa
Safi sana mkuu
Hapo kwenye passport muhimu saaana saaanaa
Kujieleza kutakuja hukohuko mbele
Nakuhakikishia ,mtu aliefika chuo kikuu akienda nje huko akakaa mwezi tu anaongea kimalkia fresh tu
Ila Sasa passport kupatikana inaonekana Kama anasa
Serikali ya ccm imejaa laana
 
Leo umeweka comment mujarabu kabisa
Safi sana mkuu
Hapo kwenye passport muhimu saaana saaanaa
Kujieleza kutakuja hukohuko mbele
Nakuhakikishia ,mtu aliefika chuo kikuu akienda nje huko akakaa mwezi tu anaongea kimalkia fresh tu
Ila Sasa passport kupatikana inaonekana Kama anasa
Serikali ya ccm imejaa laana

Kenya wana export sana wafanyakazi majuu.. ila bongo tumelala tu
 
sasa hiyo anaelalamikia degree ya London ndio degree ipi hiyo inaitwa ya London? tuanzie hapo


Anamaanisha degree ya university of london.


images(75).jpg


Ni kama mtu akisema ana degree ya nairobi
 
Wazazi wetu nao wanamchango mkubwa sana wa kuzorotesha maendeleo ya watoto wao. Wanachojua wao ni akishakusomesha amemaliza anakusukumia duniani ukatangetange utafute cha kufanya. Anasahau kuwa si kila mtu anajiweza kuanza mwenyewe matokeo yake wengine wanakuwa walevi wa pombe hadi kuharibikiwa, wanakuwa watumiaji wa dawa za kulevya na kadhalika yote ni kufeli kwa wazazi katika kuwasiliana na vijana wayajue matarajio yao.

Ni vema wazazi kusikilizana na vijana. Kuna muda inaweza kuwa ni swala la mtaji, kuna muda ni swala la social support tu ile ya encouragement na kadhalika.
 
Kwa hii mistari unajichanganya mzee.
Unaweza eleza manufaa ambayo drs7 hapati na huyo wa chuo anapata ?



unaweza weka reference hapa. Wengi sana wamepata eisdom bika hio rlimu ya hiko milimani. Mfano Sokret hakuwa na elimu ya mlimani. Jesus, Muhamad, Budha nk hao wote ni watu wenye wisdon waliowahi kuishi na wala hawajaenda huko milimani.
Istoshe malaki ya watu wamefoika elimu ya juu na hawana hio wisfom.




Education is one of source of powrr.Mimi nakumboka hivyo.
Anyway kama unaxnfika gommon sense sawa ila kama ni taarifa za kwenye madesa na vitabu mengi hapo opinion zako.
Opinion zake usifanye kuwa facts.
Nadhani umejikita zaidi kwenye maoni binafs na umeshindwa kuelezea freedom of thought ukaeleweka.
Unapotoa mfano eti kuna profesa hana hela na drs la 7 ana hela. Unadhanu huu ni mfano sahihi kwa utetezi wako? Hudhani huu ni mfano dhaifu ambao ndio umetokana na mada kuu ?
Wewe neno ukombozi unalielewaje ?


Hapa hatujazungumzia utajiri . Tunajadili elimu imsaidie mtu kupata kazi, ajiajiri au aajiriwe apate pesa za kujikimu badala ya kukaa nyumbani.
Msingi wa Mada ni watu wapate pesa za kujikimu mahitaji yao.Mada hapa haijasema mtu awe MOE.
Umevurugwa sana na vitabu vya kina Kiwasoki ,Cant, Plato. Vimekuvuruga mkuu.
Jaribu kujadili ktk uhalisia wa maisha acha hypothesis za kina plato, kiwasoki .
Wanaosoma kwa lengo la kufurahia kusoma tu hapa TZ hawapo na ndio maana kozi zisizo na ajira takwimu imeanza kushuka, vijana hawazitaki wameshtuka zinawapotezea mda.
Kuna kipindi huko Japani vijana walikuwa wanajinyonga sana kwa sababu ya kukosa ajira baada ya kuhitimu, kwa hio Japan hawa hio freedom ? na sasa hali hio inaanza kutokea TZ.
Usijadili tu kwa kuwa umevuka huo msala tena kwa bahati tu ya kutokuwepo ushindani au kubebwa na mfumo.
Bora uache kuchangia tu, inakuwaje mtu unatupa kazi ya kusoma vitu unakosea neno baada ya neno? Yani ukiandika hupati muda wa kurudia kusoma kidogo ndio upost?
 
Bora uache kuchangia tu, inakuwaje mtu unatupa kazi ya kusoma vitu unakosea neno baada ya neno? Yani ukiandika hupati muda wa kurudia kusoma kidogo ndio upost?
Sina. Naona niache tu kwa kuwa napoteza muda hamna faida nayopata kuandika humu.
 
Mnaolalamika kuhusu elimu ni wapumbavu mno. Ingekuwa elimu haina maana basi kina Dewji, GSM, na matajiri wengine wasingewapeleka watoto shule. Kama unajuta kwenda chuo basi wewe hata maisha ya kawaida tayari umefeli.
 
Huu ni ukweli mchungu.

Naumia sana Nikiwaza milioni tatu zangu ambazo Tusiime wanachukua kwa mwanangu kila mwaka.

Halafu akimaliza chuo aje kuanza kujifunza kuuza chipsi.

Ni bora ningemnunulia mashamba na viwanja akiwa mkubwa apate pa kuanzia.

Akikosa mtaji anauza tu kiwanja chake kimoja.. kisha anaenda china kufunga mzigo
Si umuachishe shule sasa akaanze biashara azoee mapema
 
Ww kama haijakukimboa usiwe general kwamba wote haijawakomboa ni mindset yako ilipinda ikakataa kubadili mtazamo tangu unasoma had sa iz haikusaidii
Unazungumzia hii Elimu yetu ya kibongo?? Ama ya kule ulaya mkuu.
 
Si rahisi wazazi wa Kitanzania kuelewa,kutambua kuwa mambo yamebadilika hivyo ni vyema nao kubadilika.

Ni taifa la namna gani tunalo andaa ? Hatujafika hata mapinduzi makubwa ya kiteknolojia & kiviwanda lakini hali mbaya namna hii ? Inasikitisha
Tungekuwa tumefanya mapinduzi ya viwanda shida isingekuwa kubwa hivi
 
Watu wapewe passport watafute fursa nchi nyingine
Ila sasa suala jingine linakuja ni elimu yetu hii 🥴 mtu mhitimu wa chuo ila kujieleza hata kwa kiswahili anashindwa
Ww ndo huwez kujieleza acha kupotosha yaani morning speech, debate za secondary bado presentations chuo bado kuna platform nyingi chuoni za kutoa speech ushindwe kujieleza?

Makosa yako usifikiri na wengine wapo kama ww
 
Back
Top Bottom