Kutokana na tulipianzia mjadala na jinsi ulivyoeleza hapa. Hio freedom of thought lazima ukaipate chuo kikuu ? Maana vyuo vyenyewe vinachagua tuvitu tuchache twa kumfundisha mtu. Kama ishu ni kupata mawanda mapana, elimu ya hivyo si imejaa mitandaoni ni kujipa muda na bando unasoma unachokitaka.
Wewe unaposema unaenda kupata freedom of thought akusaidie nini ? Naona umekwepa kujibu maswali yangu, inawezaje kuniaminisha kuwa una hio freedom of thought wakati unaepa maswali ?
Kwanza kabisa, mimi sijasema kuwa nina hiyo freedom of thought.
Pili, sikwepi maswali. Changamoto niliyonayo ni muda.
Swali lako la awali uliuliza maana ya freedom of thought na uhusiano wake na money creation.
Sasa hivi unauliza umuhimu wa kwenda chuo ili hali elimu iko mitandani.
Haya ndio baadhi ya maswali yako kama sikosei.
Mimi sina majibu sahihi sana, what am going to write down here is just an attempt to view your quiz in diverse perspectives.
Uhusiano kati ya elimu na money creation.
Elimu ni knowledge, and it is not power, The applied knowledge is the real power.
Kinachofundishwa mashuleni na vyuoni(ambacho mara nyingi hakihusiani na money creation) ni knowledge tu.
Ni logics. Ni IQ.
Money creation does not neccessarily depend on your IQ level but depends mostly on your Emotional intelligency, kitu ambacho hakipewi kipaumbele sana mashuleni.
So dont be surprised to find a broke proffesor and a very rich illiterate man.
Kuna kauli mbiu kwamba EDUCATION FOR LIBERATION, Liberation of what?
Of thought! Ni ukombozi wa fikra. Ni sawa na kula tunda la mti wa kati halafu ukajua mabaya na mema.
Alexander The Great alipofika katika kijiji cha Corinth alipokuwa anakaa Diogenes, mwanafalsafa wa kale wa Uyunani alimkuta amekaa kuota jua huku amezungukwa na mbwa zake.
Alexander The Great alimuuliza Diogenes, what can i do for you?
Haraka Diogenes alimwambia, Move aside you are blocking the sun!
Diogenes ndiye mwalimu wa Crates, aliyemfundisha Zeno, mwanzilishi wa falsafa ya ustoa (Stoicism)
Kwa hiyo utaona kwamba Diogenes alikuwa ni intellectual aliyeishi maisha ya ufukara kwa sababu he was not interested in wealth creation.
To be an intellectual or enlightened does not go hand in hand with becoming rich, the aim of education is to get wisdom, na ndio maana logo ya chuo kikuu cha DSM wanasema WISDOM IS FREEDOM, Hekima ni Uhuru and hence, kuwa na hekima sio lazima upate utajiri, hata kama Mfalme Selemani alipata. Kuna watu wengi wenye hekima na hawaoni kama utajiri ni wa muhimu hivyo.
Lengo la kusoma siyo utajiri. Na ninakubaliana falsafa ya Robert Kiyosaki, IF YOU WANT TO BE RICH, DONT GO TO SCHOOL.
Ni kweli elimu mitandaoni ipo, but, ili unufaike nayo, ni lazima uwe umesoma. Illiterate au darasa la 7, hawezi kunufaika na elimu ya mitandaoni.
Let me stop here for now!
And that was an attempt to discuss some of your questions.