Wahitimu wengi wanajutia kusoma chuo kikuu. Mzazi mwandalie mwanao Mtaji. Zama zimebadilika

Wahitimu wengi wanajutia kusoma chuo kikuu. Mzazi mwandalie mwanao Mtaji. Zama zimebadilika

MATOKEO YA UTITIRI WA VYUO!!!!!!Haya yote hayakuwepo chuo kikuu kilipokuwa kimoja au viwili Udsm na SUA. Shida imekuja baada ya kuletwa utitiri wa vyuo, kulikuwa na haja gani ya kuongeza vyuo vikuu wakati soko la ajira ni dogo, unazalisha mazao mengi kuliko walaji wachache, mazao yanaoza, university wangeenda wachache tu the best of the best wengine waishie form 4 certificate au diploma tu, hadi degree imeshuka thamani na heshima hadi degree zilizokuwa zikiheshimika sana zinadharaulika Sheria na Udaktari, watu wenye IQ za kawaida wanasoma, kuwa na PHD siku hz kawaida sana imekuwa.
Serikali hailazimishi mtu kwenda chuo kikuu
Hata vifunguliwe milioni au kiwe chuo kimoja au viwili.

Kazi ya vyuo kusomesha mtu alichosoma arakipeleka wapi sio kazi ya chuo ni ya huyo aliyesoma

Vyuo vitaendelea tu kuongezeka wao wanafunza tu mambo ya ajira sio yao

Shida iko kwa anayesoma kama anajua ajira hamna mtu akimaliza digrii anaenda kufuata nini chuo kikuu kuchukua course isiyo na ajira?
 
Tatizo sio mtoto kupewa mitaji

Moja tuige wahindi,waarabu wapemba,wakinga na wachaga

Mzazi aanzishe biashara .Mtoto ashirikishwe kwenye biashara toka mdogo akimaliza elimu yeyote iwe msingi,sekondari au chuo level yeyote anaingia moja kwa moja kwenye biashara za familia

Pili kusoma ni uwekezaji kama uwekezaji mwingine wowote lazima kuangalia soko la ajira kimataifa.Kabla kusoma jiulize hii course ina soko kimataifa? Hasa nchi zilizoendelea.Ukisomea course ambayo soko la ndani tu shida ni upotezaji hela za uwekezaji wa kulipa ada .

Haitakiwi mtu kusoma kama mwehu ooh awe na digrii tu .Na sehemu nzuri ya kuanzia ni je hiyo digrii ina demand nje ya Tanzania?

Tatu unaangalia je Hiyo digrii nasoma kama vigezo hivyo viwili haipo je naweza kujiajiri mwenyewe hata kama ajira hamna?

Nne vigezo vyote vitatu kama havienei ni je yaweza saidia business za familia kusonga mbele? Mfano mzazi ana shule au hospitali au mabasi au malori au duka mtoto kwenda kusoma mfano Business administration marketing, uhasibu ,Logistics and Transport management nk course related to family business anakuwa yuko sahihi ili akasimamie na kukuza family business

Tatizo wengi husoma kama wehu tu hakai chini kuwaza future yake anataka iweje kabla kuwekeza kichwa chake kusoma digrii

Anasoma hana future vision ni kuwa come what may .I don't care.Matokeo mwishoni kelele kibao nina digrii na sijui pa kuipeleka

Mzazi husikiliza mtoto hajakosea kitu asilaumiwe anaamini mtoto anachotaka kusoma kajipanga hiyo future yake

Akiona tofauti hata yeye atashangaa kama mtoto anavyoshangaa kuwa ana digrii na hajui kwa kuipeleka
Natamani vijana wote wanaoenda chuo mwaka huu waione hii comment
 
Ni kweli elimu mitandaoni ipo, but, ili unufaike nayo, ni lazima uwe umesoma. Illiterate au darasa la 7, hawezi kunufaika na elimu ya mitandaoni.
Kwa hii mistari unajichanganya mzee.
Unaweza eleza manufaa ambayo drs7 hapati na huyo wa chuo anapata ?


rich, the aim of education is to get wisdom, na ndio
unaweza weka reference hapa. Wengi sana wamepata eisdom bika hio rlimu ya hiko milimani. Mfano Sokret hakuwa na elimu ya mlimani. Jesus, Muhamad, Budha nk hao wote ni watu wenye wisdon waliowahi kuishi na wala hawajaenda huko milimani.
Istoshe malaki ya watu wamefoika elimu ya juu na hawana hio wisfom.



Elimu ni knowledge, and it is not power
Education is one of source of powrr.Mimi nakumboka hivyo.
Anyway kama unaxnfika gommon sense sawa ila kama ni taarifa za kwenye madesa na vitabu mengi hapo opinion zako.
Opinion zake usifanye kuwa facts.
Nadhani umejikita zaidi kwenye maoni binafs na umeshindwa kuelezea freedom of thought ukaeleweka.
Unapotoa mfano eti kuna profesa hana hela na drs la 7 ana hela. Unadhanu huu ni mfano sahihi kwa utetezi wako? Hudhani huu ni mfano dhaifu ambao ndio umetokana na mada kuu ?
Wewe neno ukombozi unalielewaje ?

Lengo la kusoma siyo utajiri
Hapa hatujazungumzia utajiri . Tunajadili elimu imsaidie mtu kupata kazi, ajiajiri au aajiriwe apate pesa za kujikimu badala ya kukaa nyumbani.
Msingi wa Mada ni watu wapate pesa za kujikimu mahitaji yao.Mada hapa haijasema mtu awe MOE.
Umevurugwa sana na vitabu vya kina Kiwasoki ,Cant, Plato. Vimekuvuruga mkuu.
Jaribu kujadili ktk uhalisia wa maisha acha hypothesis za kina plato, kiwasoki .
Wanaosoma kwa lengo la kufurahia kusoma tu hapa TZ hawapo na ndio maana kozi zisizo na ajira takwimu imeanza kushuka, vijana hawazitaki wameshtuka zinawapotezea mda.
Kuna kipindi huko Japani vijana walikuwa wanajinyonga sana kwa sababu ya kukosa ajira baada ya kuhitimu, kwa hio Japan hawa hio freedom ? na sasa hali hio inaanza kutokea TZ.
Usijadili tu kwa kuwa umevuka huo msala tena kwa bahati tu ya kutokuwepo ushindani au kubebwa na mfumo.
 
MATOKEO YA UTITIRI WA VYUO!!!!!!Haya yote hayakuwepo chuo kikuu kilipokuwa kimoja au viwili Udsm na SUA. Shida imekuja baada ya kuletwa utitiri wa vyuo, kulikuwa na haja gani ya kuongeza vyuo vikuu wakati soko la ajira ni dogo, unazalisha mazao mengi kuliko walaji wachache, mazao yanaoza, university wangeenda wachache tu the best of the best wengine waishie form 4 certificate au diploma tu, hadi degree imeshuka thamani na heshima hadi degree zilizokuwa zikiheshimika sana zinadharaulika Sheria na Udaktari, watu wenye IQ za kawaida wanasoma, kuwa na PHD siku hz kawaida sana imekuw
Aisee.kumbe.
 
Hakuna mtu mpumbavu kama umesoma IT halafu unalalamika huna kazi.
Inaezekanaje huna kazi au huna tu elimu bali una cheti!

Degree kama IT huhitaji kuliliia kazi.IT inavitu vingi sana vya kubuni na kujipatia kipato labda kama huna uwezo tu
 
Sijui kwann mie niko tofauti kidg, hakuna kitu nafurahi km kuona vyeti vyangu vya Elimu kwa level zote nilizopita.

Yaan sijawahi juta kivimiliki kabisaa, niko proud had bas, hata nisipate ajira kutokana na taaluma yangu, sijari na siwazi, kwa kifupi sistukiii yaan.

Ajira sio shida zangu kabisaaa!!
Coca nikwakuwa una chanzo cha kipato huwezi kuona ajira kama kipaumbele chako.

Kama kila mmoja angeweza kupata mtaji na kuona fursa. Hakika hakuna ambae angetaka kuajiriwa.
 
MATOKEO YA UTITIRI WA VYUO!!!!!!Haya yote hayakuwepo chuo kikuu kilipokuwa kimoja au viwili Udsm na SUA. Shida imekuja baada ya kuletwa utitiri wa vyuo, kulikuwa na haja gani ya kuongeza vyuo vikuu wakati soko la ajira ni dogo, unazalisha mazao mengi kuliko walaji wachache, mazao yanaoza, university wangeenda wachache tu the best of the best wengine waishie form 4 certificate au diploma tu, hadi degree imeshuka thamani na heshima hadi degree zilizokuwa zikiheshimika sana zinadharaulika Sheria na Udaktari, watu wenye IQ za kawaida wanasoma, kuwa na PHD siku hz kawaida sana imekuwa.
Kwa hiyo unataka muendelee kuwa wachache ili mtumie degrii zenu kutukania wasio nazo?
Badala ya kuona uwepo wa vyuo kama tishio,unapaswa kuiona hii kama fursa ya kupambana kuwa bora zaidi miongoni mwa walio bora.
Fikiria nchi kama China,watu wanashindana kufanya ubunifu.
Changamoto kubwa ya kuzungumzwa,ni aina ya elimu inayotolewa na ubora wake.Kwa vile hadi sasa lengo ni kuwa na vyeti tu,bado tunaruhusu uhuni wa kila aina unatokea kwenye mchakato wa elimu ili mradi uvuke vikwazo tu upate cheti.Tutegemee malalamiko kama haya tu miaka mingi baadae
 
Siuoni ubaya wa kusoma chuo kabisa.

Mtu analalama kusoma chuo wakati hicho chuo ndio kimemleta mjini, bila chuo vijana wengi wangekua sitimbi huko kwenda mjini ni mpaka apate ngekewa.

Kama elimu yako haikusaidii kwa chochote maishani basi una hasara kubwa sana bora hata usingelikuwepo.
 
Back
Top Bottom