Wahitimu wengi wanajutia kusoma chuo kikuu. Mzazi mwandalie mwanao Mtaji. Zama zimebadilika

Wahitimu wengi wanajutia kusoma chuo kikuu. Mzazi mwandalie mwanao Mtaji. Zama zimebadilika

Huu ni ukweli mchungu.

Naumia sana Nikiwaza milioni tatu zangu ambazo Tusiime wanachukua kwa mwanangu kila mwaka.

Halafu akimaliza chuo aje kuanza kujifunza kuuza chipsi.

Ni bora ningemnunulia mashamba na viwanja akiwa mkubwa apate pa kuanzia.

Akikosa mtaji anauza tu kiwanja chake kimoja.. kisha anaenda china kufunga mzigo
Hivi Tusiime bado ipo kweli?
 
Sijui kwann mie niko tofauti kidg, hakuna kitu nafurahi km kuona vyeti vyangu vya Elimu kwa level zote nilizopita.

Yaan sijawahi juta kivimiliki kabisaa, niko proud had bas, hata nisipate ajira kutokana na taaluma yangu, sijari na siwazi, kwa kifupi sistukiii yaan.

Ajira sio shida zangu kabisaaa!!
 
Wengi hamuelewi lengo la kusoma ndio maana mnalalamika.

Lengo la kusoma siyo kupata utajiri au kuboresha maisha.

Lengo la kusoma ni kupata freedom.
Yes!
FREEDOM OF THOUGHT.

Yaani kwa kiswahili ni UKOMBOZI WA FIKRA.
Nabisha na kukataaa
Sasa tulikomaa nini na BS, Chandy, Medicine chuo halafu elimu yotee nifugie kuku.

Sema system imefeli, then tunajipa moyo tuuu.!!!

#YNWA
 
Hata watoto wa matajiri wanaenda kwanza shule na kupata degree ndo mambo mengine yanafuata....lengo la kusoma ni kukupa maarifa kwanza, mambo ya ajira au kufanikiwa ni mipango mingine tofauti.
Maarifa katika ulichokisomea na sio maarifa ili mradi kazi.
Sasa kama shida ni ajira tu, nilikomaa nini na masomo ya engineering nije kuuzia hereni k.koo?

#YNWA
 
Lengo la Elimu ni ukombozi wa Kifikra
Ila lengo hilo halitimii huku kwetu kwa sababu Elimu yetu imejengwa kwa misingi ya kuajiriwa, ndio sababu vijana wetu walio hitimu vyuo vikuu hawawezi kujiajiri.

Amini usiamini Wazungu hawasomi tunavyosoma;
ukifuatilia syllabus ya International school ya Primary ina masomo yadarasani machache sana (40%) na kujumuisha mambo ya nje kama Kupika, kucheza michezo mbalimbali, kuchora, kuogelea, mziki, utunzi wa hadithi/vitabu, kufuma, kubuni vitu kulingana na kipaji cha mtoto, Vipaji vya kuongea nk nk na hii huchukuliwa kama masomo rasmi ambapo ni kwenye (60%) kiuhalisia hayo ndio maisha watakayokutana nayo.

Wakifika Sekondary wana anza kuelekezwa kwenye kile mtoto anachopenda/anachoweza....huku wakisoma masomo machache tu na ndio sababu huko kwao, kila kitu anayejua anakijua vizuri sana.

Huku kwetu watoto wana kremishwa tangu chekechea hadi kidato cha sita. Mtoto hapewi nafasi ya kutumia akili/kufikiri ndio sababu, tuna wasomi wengi ambao hawawezi kufikiri/hawawezi kutumia akili

Hata ukimpa ushauri makini msomi wa pHD, hakubali kwa kuwa badala ya kufikiri ana refer alicho kariri (pengine hata hakifai katika mazingira ya kiafrika) au anarejea wanachofanya Wazungu; Inamaana hawezi kufikiri na kutumia mawazo yake binafsi.......

Mfano: Ni msomi tu ambaye hatumii akili yake kufikiri anayeweza kulinganisha bei ya mafuta/Petrol ya Ujerumani na bei ya Tanzania kwani kipato cha Mjerumani pengine ni mara 10 ya kipato cha mtanzania ....
 
Nimesema ni FREEDOM OF THOUGHT, sio FINANCIAL FREEDOM.
Can you explain what do you mean by fredom of thought ?
How doesn't it unrelated with money creation, money innovation and anything which can't be related with money creation?
Where does freedom of thought focus and inwhich area does it help human.
What is its purpose?
 
Sijui kwann mie niko tofauti kidg, hakuna kitu nafurahi km kuona vyeti vyangu vya Elimu kwa level zote nilizopita.

Yaan sijawahi juta kivimiliki kabisaa, niko proud had bas, hata nisipate ajira kutokana na taaluma yangu, sijari na siwazi, kwa kifupi sistukiii yaan.

Ajira sio shida zangu kabisaaa!!
Unaujua wehu. Abnormality! Psychiatric, nk
Kuona vitu kawaida visivyo vya jawaida. Ipi siku uraona hata ukitembea kinyume nyume ni sawa. Kemea hio hali.yaani umesoma hujapata ajira na hivyo vyeti havikusaidiu kupata income unaona okay!. Mkuu nenda hospitali haupo kawaida, usipuuze wahi kwa Doctor.
 
Huu ni ukweli mchungu.

Naumia sana Nikiwaza milioni tatu zangu ambazo Tusiime wanachukua kwa mwanangu kila mwaka.

Halafu akimaliza chuo aje kuanza kujifunza kuuza chipsi.

Ni bora ningemnunulia mashamba na viwanja akiwa mkubwa apate pa kuanzia.

Akikosa mtaji anauza tu kiwanja chake kimoja.. kisha anaenda china kufunga mzigo
Mwache anyooshe lugha ya kimataifa vizuri, apate maarifa, apate confidence, utakapoona imetosha fanya unavyoona inafaa.
 
Back
Top Bottom