Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

Wahudumu wa Shishi Food Dodoma wajifunze kauli nzuri kwa wateja

kuna kitu kimoja unashindwa kuelewa, kwamba huna avenue kuingilia biashara ya mwenzako na kuishupalia as if ni ya kwako, labda kama hauan kazi ya kufanya. pili, allegations zinazoletwa hapa jf nyingine ni za washindani wa biashara, mtu anaibuka tu from n o where anasema biashara yako wewe mfano wafanyakazi wao hawana good customer care, no evidence, kwasababu tu amesema na kila mtu anaweza kusema chochote vingine kwa maslahi yake, is it really fair kupoteza muda kujadili biashara ya mtu?

au labda thread ingebadilishwa isiwe ya kunyooshea kidole mtu, hapo tungejadili kwa mizania bora.

kuhusu customer care Tanzania, inajulikana, watanzania wengi customer care yao sio nzuri na hii inatokana na elimu ndogo ya biashara, wengiw anaafanya biashara wakiamini ushirikina etc hivyo wanajua hata usipowaungisha wao watapata pesa tu. ulishawahi kwenda duka la wakinga, wengi hawakubembelezi, lakini nenda duka la mchagga, atakuita boss hadi unaondoka dukani kwake.

wewe kama mtu mwenye majukumu unafanyaje ukukutana na watu wa aina hii? kama huna kazi ya kufanya (busy body) utapoteza muda kurumbana nao, hiyo haikusaidii, ila kama una mambo mengi iya kufanya, ondoka nenda duka lingine wanalohudumia vizuri kwasababu haimaanishi kwamba watu wote eneo hilo watakuwa wa aina hiyo. achana nao ili wajifunze kwamba customer care nzuri inawafanya wauze sana. shida ya mtu kama wewe ni kushupalia vitu visivyo vyako, hamna kazi za kufanya, mtu hajakuhudumia vizuri achana naye, nenda kwa mwingine. kwa hiyo kwasababu unataka kuprove theory zako za biashara umesoma kwa kukariri huko vyuoni ndio unamshupalia, basi mpeleke shule kabisa kama unataka kuondoa tatizo hilo.
Mkuu unajua customer care iko kila mahali, hata tunapojadiliana hapa mimi naona wewe pia kuna customer care.

Maneno ya kuudhi (yasiyofaa) hayana maana yoyote zaidi ya kuonesha wewe ni mtu wa gani.
 
wateja wenye stress kama hawa ni shida sana kwa wafanyakazi wetu.
 
Mkuu unajua customer care iko kila mahali, hata tunapojadiliana hapa mimi naona wewe pia kuna customer care.

Maneno ya kuudhi (yasiyofaa) hayana maana yoyote zaidi ya kuonesha wewe ni mtu wa gani.
ndio maana nimesema wateja wenye stress kama ninyi walalamishi na kutaka kujionyesha kwamba ninyi ni somebody mnasumbua sana wafanyakazi wetu.
 
ndio maana nimesema wateja wenye stress kama ninyi walalamishi na kutaka kujionyesha kwamba ninyi ni somebody mnasumbua sana wafanyakazi wetu.
Mimi sina stress mkuu. Wala sina desturi ya kupayuka.

Mimi ni mmoja watoa huduma. Asilimia 80% ya muda wangu kwa siku natumia kutoa huduma. Na huduma ninayotoa ni aina ya huduma zenye alternative chache sana (ikiwa nitashindwa kukuhudumia basi itakuchukua muda mrefu kupata huduma hiyo kwingine) lakini ninajitahidi kutoa huduma bora bila kuchoka wala kusumbuliwa na kero au Changamoto za wateja wangu.
 
Hivi huo mgahawa uko sehemu gani pale Dodoma...
 
Ila wateja wengine wa chakula Wana gubu sn..unaweza kufika mgahawani unakuta wateja wengine wanahudumiwa lkn unalazimisha uhudumiwe wewe,matokeo yake mnakwaruzana na wahudumu

NB :Mimi siyo mhudumu wa shishi food
Bro pesa hunynyekewa popote duniani, ukiitwa na mteja mwambie plz nivumilie kidogo boss wangu nakuja ee huku umejaa tabasamu...utaeleweka tu hata na akina Wasirra
 
ndio maana nimesema wateja wenye stress kama ninyi walalamishi na kutaka kujionyesha kwamba ninyi ni somebody mnasumbua sana wafanyakazi wetu.
Hahaaa utakuja kufunga hyo biashara ukiwa unaona wateja Wana stress huku wanakuletea hela, Kuna mtu alikuwa na biashara na alivokuwa na wateja akabweteka, akawa jeuri hajali wateja Sasa hivi biashara imekufa, jifunze kwa wachagga wako vizuri
 
Wee ndio una matatizo

Matatizo yako ni makubwa sana kudhani wanadamu wote tuongee vitu unavyopenda wewe

Yaani wewe unadhani stress wanapata wale wanadamu wanao ongea vitu usivyovipenda wewe binafsi

Punguza ungese,kila mwanadamu awe huru kuongea anachotaka!
@Paw
 
Kuna uwezekano mkubwa hujawahi fanya biashara yoyote na ole wako ujichanganye ufanye biashara kwa akili hizi utavuna mabua. Nimesoma thread nzima
akili mbovu zaidi ni kwa watu kama ninyi kushupalia kitu ambacho hakiwasaidii na wala hakiwaongezei chochote mifukon mwenu, mfanyabiashara hawezi kupoteza muda wake kurumbana na mhudumu, ukiona hivyo huna kazi na una stress.
 
Si kweli

Sometimes customers need to act decently and with respect to other human beings

Hii tabia ya customer kudhani he can just go totally ape on other human beings sababu tu eti ni customer

Those are customers I usually shoot down and return their stupid money and tell em not to ever cross my establishment

Fvck em!

Na ni funny,the most poorest customers are the most noisy and jerks,toss em up...

[emoji3064][emoji3064] kizungu kingi jamani wengine hatujui na tunapenda kuelewa
 
Wafanyabiashara wengi wanasahau Sana customer care, Wanasahau kilicho wafanya waanzishe biashara na wengine hawajui kwann walianzisha biashara japo wanafanya biashara. Hii inatokana na kupenda showoff aonekane anafanya biashara.
Huo mghahawa upo wapi Dom maana wengine tunaenda mara kwa mara Dodoma
 
Kusema kweli sisi wabongo customer care inatushinda, mtu anatumia hela nyini kufanya investment ya biashara flani lakini huduma zinakuwa mbovu mwisho biashara inakufa baada ya muda mfupi, pia huwa tunaleta dharau kwa wateja.
 
Wakienda Akina Bashungwa, Ummy Ticha Ndio wanapewa Huduma haraka, Hajui Kwamba Kila Mteja ana Umuhimu Wake Kwa Nafasi Yake.
 
Back
Top Bottom