Hamna tofauti na ile Meli Ya titanic, safari yake ya kwanza ikapata ajali,Naona maswali yote unayojiuliza hayana mashiko.
Enhe, likifuatiliwa halafu?
Unajiuliza maswali ya mtu kukosa mil2 katika kadhia kama hiyo na kisa chote mbona alikiweka wazi kwamba hiyo ilikuwa ni trip ya kwanza!
Kununua kitu chenye thamani na kuishiwa pesa mbona ni jambo la kawaida kabisa ili mradi mhusika alikuwa na lengo lake na mahesabu yake namna ya 'kutoboa' ili kujiendeleza.
Injini ni nzito kuliko kipande cha gari kilichovuliwa. Inawezekana kabisa kuwa nuti zimeachia au zimekatika na kubaki chini.Kwanini
Mkuu, kwa ule umbali, nina hakika Cabin, Gra box na Engine viling'oka toka kwenye chassis. Na ninahakika vitakuwa vilinasa kwenye tope la chini ya maji ama baada ya mtikisiko wakati gari ikiopolewa majini.Usisahau kuwa dereva alinasa ndani ya cabin siku 2 so hsikusambaratika
Hilo Lori limeopolewa kwakuwa Mmiliki wake Yule Mama alionekana akilia Mitandaoni au? Je, na wenye Umasikini nao Wakilia hivi watasaidiwa?
Brother usichokoze nyuki. Hawa watu ni watu wa porini. Huwa masihara hawataki hata kidogo. Usifikiri Owner atakusaidia
Hivi ile timu ya mwanzoni ilichukua siku ngapi?Nchi ya majizi hii
That's not true. Huu ni mwanzo wa kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini ukweli, kuanzia na yule aliye okoka, waopoa maiti, na ile timu ya kwanza iliyodai zoezi haliwzekani.Mark my words...huyo mama ndio mwanzo wa kuchangiwa upya
Brother usichokoze nyuki. Hawa watu ni watu wa porini. Huwa masihara hawataki hata kidogo. Usifikiri Owner atakusaidia
Msilaumu binadamu jamani kumbuka mle kuna viumbe wengine.Baada ya Mkuu wa Majeshi kupeleka kikosi chake kulitoa lori lililo tumbukia mto Wami, lori limekutwa halina engine wahuni wamesha fanya mambo yao.
Wabongo sio watu wazuri.
Pongezi wa CDF kwa kufanikisha hilo japo kwa kuchelewa.
Pale juu kulia kama unatoka tanga kuna kambi kubwaaa ya jeshi na pale pale mtoni pembeni kushoto kama unaenda kuna kituo cha polisi. Hivyo hao wezi nao wanaujuzi fulani.Kama ni kweli maneno yako Mkuu basi na walaaniwe hao wahuni,Sasa hapo tukimuita yule Bibi wa Kijaluo Awafanyie dawa waje Kunywa Maji ya Mtoni mtatulaumu kweli?Wahuni ebu rudisheni haraka Engine ya Dada wa Watu.
Kwamba mamba wamekula Engine wasimle dereva siku zote alizokaa mule ndani???Msilaumu binadamu jamani kumbuka mle kuna viumbe wengine.
Kama mamba walikua je!!
Hivi mamba wanakula Chuma? Mbona mnasema vitu kama kichwano humo kuna wadudu?Pale juu kulia kama unatoka tanga kuna kambi kubwaaa ya jeshi na pale pale mtoni pembeni kushoto kama unaenda kuna kituo cha polisi. Hivyo hao wezi nao wanaujuzi fulani.
Kingine huwezi jua mamba nao mle wamo
Huwezi jua mkuu.Kwamba mamba wamekula Engine wasimle dereva siku zote alizokaa mule ndani???
Wee elewa tuu mamba watuHivi mamba wanakula Chuma????? Mbona mnasema vitu kama kichwano humo kuna wadudu???
Wee elewa tuu mamba watu
Kumbuka wami kuna mamba wenda walianza kula hivyo vitu taratibu