Wahuni waiba engine ya lori lililotumbukia Mto Wami

Pia walisema hawawezi kulitoa hilo lori sababu ya uzito wakidai lina mizigo,

Chakushangaza JWTZ walivyolitoa hawajakuta mzigo wowote.
 
Kwahiyo lile lori lililotumbukia Mto Wami ndio injini na kichwa chake mamba watu wamekula ama[emoji848]
 
Kila nikisikia habari hizi, natamani kuona picha zake...

Mwenye picha naomba utupie basi..
 
Kama wee mwenye IQ, kubwa ndio mwenye mawazo hayo ya kufikia conclusion, kwenye mambo ambayo yanahitaji uchunguzi kwanza kubaini hasa tatizo ni nini, nasema bora nibaki na IQ, yangu hii ndogo lakini yenye utambuzi.
 
kama wana wameweza kufua ile engine na kuondoka nayo..basi tuna vijana wanavipaji vya ajabu hapa nchini....na pengine hao wana hata vifaa vya kuzamia hawana..na maji yalivyo machafu sasa..hatari sana

Hakuna engine iko huko huko chini
 
Maiti ya dereva iliopolewa ndani ya cabin, vipi kuhusu hilo?
 
Binadamu anao uwezo mkubwa wa kufanya jambo lisilowezekana kwa urahisi akidhamilia.Hiyo engine,cabin vimeibiwa na watu,amini nakwambia.
Ile team ya mwanzo iliyodai kushindwa kulitoa hilo gari,wezi wametokea humo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…