Wahusika kwenye kadhia ya Mbowe Wawajibishwe

Wahusika kwenye kadhia ya Mbowe Wawajibishwe

labda safari hii uende wewe rumande [emoji1787][emoji1787][emoji1787].

IMG_20220305_073032_979.jpg
 
Nilikuwa najiuliza wale kina Adamoo na wenzake hawawezi kufanyiwa namna ili warudi vizuri uraiani kutokana na muda mrefu walioupoteza gerezani?

Nikapata jibu, kama ikishindikana fidia; basi hata michango ya wapenzi na wanachama itatosha kuwaleta vizuri uraiani waendeleze pale walipoishia kwenye mipango yao na familia zao.

Halikuwapo bora kuzidi hili kuwahusu wazalendo hawa:

Waliokuwa watuhumiwa, warasmishwe kuwa Walinzi Chadema
 
Chereko chereko zinapoendelea kufuatia kuachiwa huru Mh. Freeman Mbowe, kadhia hii isiishe bila fidia wala watu fulani fulani kuwajibika au hata kuwajibishwa.

Kwenye kadhia hii kuna watu wamepotezwa, watu wameteswa, utaratibu wa sheria umekiukwa, watu wamedhulumiwa, nk.

Yote haya ikiwa ni ufedhuli mkubwa uliopitiliza usioweza kuvumilika.

Asiachwe awaye yote kwa ukiukwaji wowote uliofanyika.

Kama mamlaka haichukui hatua, waovu hawa na waburuzwe mahakamani wao kama raia.
Ili iwe fundisho kwa wanaotumika ama kutumia mamlaka vibaya
 
Kamanda Ziro na Timu yake wale akina Kingai na mtoto Wa mahita
 
Urio akakubali kununuliwa.

Kizembe sana,, Yaani amesaliti wenzake..ameonesha udhaifu mkubwa sana...

Kijeshi amezingua sana, halafu eti ni komando, na yupo on duty

Once a soldier, always a Soldier.
 
Serikali ya CCM serikali makini sana

Hongera kwa serikali na kwa kaka Freeman. Hii ndio Tanzania tunayoipenda

Ndugu yangu brazaj sikukuona jana kumsindikiza chairman ikulu. Kulikoni!?

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan

Mi5Tena kwake

Uone vipi wakati muda wote mmejibanza chobingo?

IMG_20220304_154503_924.jpg
 
Kuwawajibisha mafwedhuli hawa ambao hata wanajulikana kwa majina na vitendo vyao hakuwezi kuitwa kumchokoa pweza na binadamu awaye yote mwenye utu japo kidogo kabisa.

Hivi Sirro angali ofisini hata sasa?
Tena bila aibu
 
JESHJ LA POLISI LIANDAE MTAALA WA KUWAFUNDISHA ASKARI WAKE PGO. YAAANI NI AIBU ASKARI WA CHEO CHA JUU ANAULIZWA KUHUSU PGO ANASEMA HAJUI! POLISI WAPANDISHE MAAFISA WAO VYEO BAADA YA KUFAULU SOMO LA PGO.
naunga mkono hoja yako. inawezekana kabisa ndiyo sababu jpm hakuhangaika kuwapandisha vyeo.
 
Ipo haja ya wote waliobumba kesi hii ya uongo wachukuliwe hatua. Wakiwemo siro, kingai, mahita jumanne gudlack majaji na mahakimu wote waliojiingizia pesa haramu kama posho mbalimbali za kushiriki kesi ya uongo na kuitia hasara kodi yetu.
Hio gharama ya kuendesha kesi si ingenunua hata madawati.
 
Back
Top Bottom