Waimba kwaya wanaokata miuno na kunengua kanisani wanamsifu Mungu kweli?

Waimba kwaya wanaokata miuno na kunengua kanisani wanamsifu Mungu kweli?

Ibada za pasaka zinaendelea; kwaya mbalimbali zinatumbuiza. Nimeenda kwenye kanisa mojawapo kusali naomba nisilitaje jina.

Waimbaji wananengua na kucheza mithili ya ngoma za kienyeji na kidunia.

Wengine wananengua miuno kabisa.

Sasa huku ni kumsifu Mungu kweli?
Without a video,this post is nuthin'
 
Ila wafia dini kwa kuhamisha magoli hamjambo.
Mimi nakumbuka miaka ya zamani kidogo ilikuwa hairuhusiwi mwanamke kuvaa suruali au siketi fupi na kwenda nayo kanisani!
Cha ajabu miaka ya hivi karibuni wanawake wanavaa vichupi skin jeans na kwenda nazo kanisani na mmeanza kusema eti "Mungu haangalii mavazi, ila anaangalia roho"
Heshima huanzia kwenye mavazi,mtu hawezi kwenda kwenye Nyumba ya ibada na mavazi yasiyo na staha,

Unakuta mtu ana vaa kiheshima akienda ukweni ila akienda kwenye Nyumba ya ibada ana vaa kihasara! Haya ni maajabu nayo.
 
Hallelujah

images.jpeg
 
Ila wafia dini kwa kuhamisha magoli hamjambo.
Mimi nakumbuka miaka ya zamani kidogo ilikuwa hairuhusiwi mwanamke kuvaa suruali au siketi fupi na kwenda nayo kanisani!
Cha ajabu miaka ya hivi karibuni wanawake wanavaa vichupi skin jeans na kwenda nazo kanisani na mmeanza kusema eti "Mungu haangalii mavazi, ila anaangalia roho"
Yote haya ikiwemo dansi za kukata viuno zimeingizwa makanisani Ili kuwapotosha watu. Viongozi wa dini nao wanaogopa kuongea ukweli juu ya mavazi yasiyostaha kuogopa kuwakwaza waumini watawakimbia sadaka zitapungua. Sketi fupi, suruari, jeans, t shirt, ndala, skuna, car wash, tracksuit,pajama,kofia,nguo za mapicha sio mavazi ya kuvaa ibadani, watu wanachanganya mavazi ya disco, beach , michezo na mavazi ya ibadani.
Hongera waislamu kanzu na baibui ni vazi la ibada.
Mungu anaangalia roho na sio mwili ni fundisho la uongo kabisa na hii ni Kazi ya freemason waipenyeza kwa watumishi wao kupitia mitume na manabii feki Ili kuliangusha kanisa
 
Ila wafia dini kwa kuhamisha magoli hamjambo.
Mimi nakumbuka miaka ya zamani kidogo ilikuwa hairuhusiwi mwanamke kuvaa suruali au siketi fupi na kwenda nayo kanisani!
Cha ajabu miaka ya hivi karibuni wanawake wanavaa vichupi skin jeans na kwenda nazo kanisani na mmeanza kusema eti "Mungu haangalii mavazi, ila anaangalia roho"
Ahahaha

Nielekeze mahali lilipo ilo kanisa nikapate upako
 
Ibada za pasaka zinaendelea; kwaya mbalimbali zinatumbuiza. Nimeenda kwenye kanisa mojawapo kusali naomba nisilitaje jina.

Waimbaji wananengua na kucheza mithili ya ngoma za kienyeji na kidunia.

Wengine wananengua miuno kabisa.

Sasa huku ni kumsifu Mungu kweli?
Waache wamtukuze Bwana Mungu kwa vinubi na vinanda na hata kutikisa miili yao.Mbona mnawahukumu hivyo.Let them be!
 
mbona ile nyimbo ya "Tumeuona mkono wake Bwana" inapigwa kila club au mkono wa dj ndo mkono wa bwana?
 
Ibada za pasaka zinaendelea; kwaya mbalimbali zinatumbuiza. Nimeenda kwenye kanisa mojawapo kusali naomba nisilitaje jina.

Waimbaji wananengua na kucheza mithili ya ngoma za kienyeji na kidunia.

Wengine wananengua miuno kabisa.

Sasa huku ni kumsifu Mungu kweli?
Mungu anapenda uwe na energy na furaha ndio anatenda vema
 
Ila wafia dini kwa kuhamisha magoli hamjambo.
Mimi nakumbuka miaka ya zamani kidogo ilikuwa hairuhusiwi mwanamke kuvaa suruali au siketi fupi na kwenda nayo kanisani!
Cha ajabu miaka ya hivi karibuni wanawake wanavaa vichupi skin jeans na kwenda nazo kanisani na mmeanza kusema eti "Mungu haangalii mavazi, ila anaangalia roho"
Mungu anaangalia moyo wako na matendo yako na sio mavazi, angekua anaangalia mavazi basi magaidi wote wangeenda mbinguni maana huwa wanajifunika mpaka uso na macho

Tujitahidi kutenda matendo mema na kuweka mioyo yetu safi, unaweza kuvaa gauni refu panaaa kama gunia halafu usiku ni pakashume unaeruka na ungo...
 
Back
Top Bottom