Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Without a video,this post is nuthin'Ibada za pasaka zinaendelea; kwaya mbalimbali zinatumbuiza. Nimeenda kwenye kanisa mojawapo kusali naomba nisilitaje jina.
Waimbaji wananengua na kucheza mithili ya ngoma za kienyeji na kidunia.
Wengine wananengua miuno kabisa.
Sasa huku ni kumsifu Mungu kweli?
Heshima huanzia kwenye mavazi,mtu hawezi kwenda kwenye Nyumba ya ibada na mavazi yasiyo na staha,Ila wafia dini kwa kuhamisha magoli hamjambo.
Mimi nakumbuka miaka ya zamani kidogo ilikuwa hairuhusiwi mwanamke kuvaa suruali au siketi fupi na kwenda nayo kanisani!
Cha ajabu miaka ya hivi karibuni wanawake wanavaa vichupi skin jeans na kwenda nazo kanisani na mmeanza kusema eti "Mungu haangalii mavazi, ila anaangalia roho"
Yote haya ikiwemo dansi za kukata viuno zimeingizwa makanisani Ili kuwapotosha watu. Viongozi wa dini nao wanaogopa kuongea ukweli juu ya mavazi yasiyostaha kuogopa kuwakwaza waumini watawakimbia sadaka zitapungua. Sketi fupi, suruari, jeans, t shirt, ndala, skuna, car wash, tracksuit,pajama,kofia,nguo za mapicha sio mavazi ya kuvaa ibadani, watu wanachanganya mavazi ya disco, beach , michezo na mavazi ya ibadani.Ila wafia dini kwa kuhamisha magoli hamjambo.
Mimi nakumbuka miaka ya zamani kidogo ilikuwa hairuhusiwi mwanamke kuvaa suruali au siketi fupi na kwenda nayo kanisani!
Cha ajabu miaka ya hivi karibuni wanawake wanavaa vichupi skin jeans na kwenda nazo kanisani na mmeanza kusema eti "Mungu haangalii mavazi, ila anaangalia roho"
AhahahaIla wafia dini kwa kuhamisha magoli hamjambo.
Mimi nakumbuka miaka ya zamani kidogo ilikuwa hairuhusiwi mwanamke kuvaa suruali au siketi fupi na kwenda nayo kanisani!
Cha ajabu miaka ya hivi karibuni wanawake wanavaa vichupi skin jeans na kwenda nazo kanisani na mmeanza kusema eti "Mungu haangalii mavazi, ila anaangalia roho"
Waache wamtukuze Bwana Mungu kwa vinubi na vinanda na hata kutikisa miili yao.Mbona mnawahukumu hivyo.Let them be!Ibada za pasaka zinaendelea; kwaya mbalimbali zinatumbuiza. Nimeenda kwenye kanisa mojawapo kusali naomba nisilitaje jina.
Waimbaji wananengua na kucheza mithili ya ngoma za kienyeji na kidunia.
Wengine wananengua miuno kabisa.
Sasa huku ni kumsifu Mungu kweli?
Mungu anapenda uwe na energy na furaha ndio anatenda vemaIbada za pasaka zinaendelea; kwaya mbalimbali zinatumbuiza. Nimeenda kwenye kanisa mojawapo kusali naomba nisilitaje jina.
Waimbaji wananengua na kucheza mithili ya ngoma za kienyeji na kidunia.
Wengine wananengua miuno kabisa.
Sasa huku ni kumsifu Mungu kweli?
Kama kuna staha hilo halina shaka.Sasa mfano yule sister wa feel free church akilitikisa umbo lake matata alilojaliwa si wengi watazini kwa matamanio.Waache wamtukuze Bwana Mungu kwa vinubi na vinanda na hata kutikisa miili yao.Mbona mnawahukumu hivyo.Let them be!
Duuh hilo bindo nimelielewa!
Mungu anaangalia moyo wako na matendo yako na sio mavazi, angekua anaangalia mavazi basi magaidi wote wangeenda mbinguni maana huwa wanajifunika mpaka uso na machoIla wafia dini kwa kuhamisha magoli hamjambo.
Mimi nakumbuka miaka ya zamani kidogo ilikuwa hairuhusiwi mwanamke kuvaa suruali au siketi fupi na kwenda nayo kanisani!
Cha ajabu miaka ya hivi karibuni wanawake wanavaa vichupi skin jeans na kwenda nazo kanisani na mmeanza kusema eti "Mungu haangalii mavazi, ila anaangalia roho"
HalleluyahUnakata kiuno huku unanena kwa lugha. Inapendeza.
😀😀Halleluyah
Jamani huko tunaruhusiwa kubambia? Mzigo kama huu ukate mauno bila kuubambia ni matumizi mabaya ya maisha
Huyu sasa umkute anakata kiuno na mchungaji. Mpeleekee moto, moto, moto... Shetani.
Dah huo msambwana kweli sii tutegana tuu....hapa najiandaa kwend mawindoni kwenye mkesha wa pasaka najua siwezi toka kapamzabzab njoo uombewee