Waimba kwaya wanaokata miuno na kunengua kanisani wanamsifu Mungu kweli?

Sasa mimi nimekuja kutazama mauno yako au kusikiliza ujumbe wa kuniongoa roho? Ni saikolojia ya kawaida tu, ukichezesha mauno watu wataconcentrate na mauno badala ya ujumbe ulioko kwenye hizo nyimbo. Na nyimbo ni ibada pia. Acheni hizo, halafu anakiri kuwa ulikuwa upuuzi aliyofanya, usisahau kuna mabaya mengi Daudi aliyafanya.
 
Kuna kucheza kwa staha na kucheza kihuni,inawezekanaje binti mwanakwaya kashika kiti anachuma mboga huku anazungusha kiuno?,alafu tukipita nao mnatulaumu.
HAKUNA KUCHEZA KWA STAHA NDUGU.

Daudi hakucheza kanisani (ndani ya ibada) bali alipotoka kuchukua sanduku la BWANA [emoji116].

2 SAMWELI 6:16-20.

SHETANI HUTUMIA NJIA HIZO HIZO KATIKA MAKANISA [emoji116].

2 WAKORINTHO 11:14-15.
Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.
Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao.

AGIZO LA MUNGU KANISANI NI KUABUDU KWA UNYENYEKEVU [emoji116].

WAEBRANIA 12:28-29.

HABAKUKI 2:20.
 
Kwan wao wanamchezea Mungu yupi? Labda Wana Mungu wao anayependa hayo.
 
So mikatiko ya ngono inaruhusiwa kanisani kwenu kisa tu Daudi alicheza akabaki uchi.
Je alidhamiria kubaki uchi? Au ni nguo ilianguka tu
 
Haya mambo ya Daudi alimchezea Bwana hadi akabaki uchi, kesho vigodoro na kanga moja na densi zote za kupromote ushoga au kupromote ngono vitaanza kuchezwa makanisani.
Daud hakudhamiria kubaki uchi ni nguo ilimvuka.
 
Kasome tena bible. Yupo nabii mmoja alicheza mpaka nguo zikamvuka na kubaki kama alivyo zaliwa. Isitoshe mbinguni unakufahamu? Je Kuna utaratibu wote unao kuelekea namna ya kucheza? Mwili ni hekalu la mungu cheza itakavyo.
Soma hapa.

Amos 6: 5 ninyi mnaoimba nyimbo za upuzi pamoja na sauti ya vinanda, na kujifanyizia vinanda vya namna nyingi, kama vile Daudi;
6 ninyi mnaokunywa divai katika mabakuli, na kujipaka marhamu iliyo nzuri; lakini hawahuzuniki kwa sababu ya mateso ya Yusufu.
7 Basi kwa ajili ya hayo sasa watakwenda utumwani pamoja na wa kwanza watakaokwenda utumwani, na kelele za machezo za hao waliojinyosha zitakoma.
 
Si kila kilichoandikwa katika Biblia ni cha kufuata, bali mengine ni lesoni kwetu [emoji116]

1 WAKORINTHO 10:11.
Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiliwa na miisho ya zamani.

Hao wazee wa mapokeo bila ya kuchunguza Maandiko Matakatifu yanavyotuagiza ni wapumbavu sana [emoji34].

Mbona hawaigi jinsi Daudi alivyotembea na Mke wa Msihiri na alipata adhabu ya kufiwa na Mtoto aliyezaa naye yule Bethsheba [emoji848][emoji38]

Pia hata Absalom alikuja kuzini na Wake za Baba yale Daudi maana ni laana iliyotokana na upumbavu wa Baba yake Daudi.
 
Soma
Amos 6: 5-7
 
Kuna video wanaimba ng'ang'ana na Bwana, huwa namtania wife ang'ang'ane na Bwana. Na Bwana ndiyo miye! Waimbaji wanakata miuno! Hadi unasisimka!
Lazima usisimuke sababu we ni Binadamu una moyo wenye tamaa, pia si taratibu za ibada takatifu mbele za Mungu [emoji16]
 
Kasome tena bible. Yupo nabii mmoja alicheza mpaka nguo zikamvuka na kubaki kama alivyo zaliwa. Isitoshe mbinguni unakufahamu? Je Kuna utaratibu wote unao kuelekea namna ya kucheza? Mwili ni hekalu la mungu cheza itakavyo.
Kwenye Biblia pia kuna Nabii alienda kutafuta malaya anaejiuza, mwisho wa siku akalala na mkwe wake,.na wakapata watoto.
Je na sisi tufanye hivyohvyo.??

Si kila alichofanya nabii ni sahihi. Nao walikuwa ni watu, na kuna wakati walifanya makosa.
 
Huyu sasa umkute anakata kiuno na mchungaji. Mpeleekee moto, moto, moto... Shetani.
Ndiyomaana wachungaji wengi hujikuta wakianguka kiroho na kiimani sababu ya uzinzi na chanzo cha yote hayo ni kutofata maagizo ya Mungu inavyopasa na kujichagulia tunayoona yanatupendeza sisi Binadamu [emoji26]
 
Reactions: Tsh
Aliyekuroga kafa.

Unadhani utajivalia kimini na kuingia ofisi yoyote ile ya serikalini, unadhani kwanini wanakataza [emoji848][emoji19]

Kama serikali tu(ya Kaisari) inayokuongoza kidunia namna ya kuishi, ndiyo ije kuwa Mungu akuruhusu huo upumbavu [emoji848][emoji34]
 
Hapa umemaliza... .
 
Umenena vyema kabisa.
 
Wazee wa haki sawa hao, wameona ni mbinu sahihi kujiingiza makanisani kutafuta Wanaume wasiojielewa kupitia kukata mauno.

Ni Me mpumbavu tu ndiyo ataendelea kuweweseka nao bali anayejitambua hatataka kuonana nao ana kwa ana hata kwa sekunde 1 tu.
 
Kwenye Biblia pia kuna Nabii alienda kutafuta malaya anaejiuza, mwisho wa siku akalala na mkwe wake,.na wakapata watoto.
Je na sisi tufanye hivyohvyo.??

Si kila alichofanya nabii ni sahihi. Nao walikuwa ni watu, na kuna wakati walifanya makosa.
Mwisho wa siku akijaribiwa na Mchawi atataka kukimbia kama Nabii Eliya alivyomkimbia Mchawi Yezebeli badala ya kukomaa na maombi ya kiimani, kufunga na kusali [emoji1787]
 
Ndiyomaana wachungaji wengi hujikuta wakianguka kiroho na kiimani sababu ya uzinzi na chanzo cha yote hayo ni kutofata maagizo ya Mungu inavyopasa na kujichagulia tunayoona yanatupendeza sisi Binadamu [emoji26]
Wamevutiwa na starehe inayochochea zinaaa halafu wakatafuta kafungu kamoja kanakoendana na hiyo starehe kisha wakahalalisha.

Kama kuna mtu alicheza mpaka akavua nguo ndio maana wanacheza,Elia aliua wale wapagani walipoamini MUNGU yupo baada ya kuhubiriwa na Elia wakathibitisha wakasadiki lakini Elia akawachinja, Kwann na wao wasiue wakishakutubisha sala ya toba kufata aliyofanya elia kama suala ni kufanya yaliyofanyika na watu wa kale?

Suleman alioa wake wengi kwann hawaoi? Kwann huyo aliyecheza mpaka akawa uchi tu ndo sahihi kumuiga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…