Waislam Pemba waandamana kuzuia ujenzi wa Kanisa

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
 
Hili suala lishughukikiwe kwa umakini wa hali ya juu linagusa usalama wa taifa.
 
Kagame Rwanda kakomesha hayo maspika
 
Nyumba za ibada lazima ziwe kwenye makazi ya watu maana watu ndio walengwa na ndio wanaoabudu! Huwezi kwenda kuwinda swala baharini, inabidi ukawindie porini waliko swala!! Bila shaka umeelewa sasa!!
 
Sio dhambi Kama hutapeli,hunyonyi,wengine,hudhulumu,huli riba,huuzi visivyohalalishwa na mengineyo
Na ndiyo maana nikasema, siyo straight forward..!! Kuna masikini nao wataingia mtoni, na wapo matajiri watakaoingia mbinguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…