Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Asante kwa majibu..!! Maandamano hayafai, wale wakristo kujenga nyumba yao ya kuabudia pale Pemba, wewe kwako unaonaje? Ni sawa au si sawa?Kwa mujibu wa ahl Elim maandamano hayafai....lkn ukweli unabaki palepale huwezi kudai Haki kwa mtu asiyejua Haki ni Nini.....Kuna muda watoa haki wanasigina Haki za watu kwa hila na uzandiki....