Kariobangi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2022
- 480
- 435
Sababu ya matatizo yote duniani ni MAYAHUDI NA WATOTO ZAO MANASWARA ,hao CCM ni nn kwa Illuminati wa dunia hii?CCM na USA Si ndio sababu ya matatizo yote duniani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu ya matatizo yote duniani ni MAYAHUDI NA WATOTO ZAO MANASWARA ,hao CCM ni nn kwa Illuminati wa dunia hii?CCM na USA Si ndio sababu ya matatizo yote duniani?
Acha uzuzu wewe wapi umeambiwa hatupendiSasa kama hampendi maisha ya hapa duniani, kwanini msijiue kuliko kuua wengine na kuwa kero kwa wanaoyapenda?
Nami nakwambia hivyo hivyo sio straight forward ndio maana hata yesu akanenaNa ndiyo maana nikasema, siyo straight forward..!! Kuna masikini nao wataingia mtoni, na wapo matajiri watakaoingia mbinguni
Hao Wagalatia wako wapi.? Mm sio mgalatia. Kwenye hiyo sentensi inaonyesha wapo wenye akili na wasio na akili.Gal 3:1-14 SUV
Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga,?
Unakielewa ulichokiandika? Kwani muislam nini kitamfanya akaabudu huko wanakoabudu wakristo..!? Kwa mujibu wa imani yako ndo unaona wanachokiabudu wengine ndo hakistahili kuabudiwa, kama ambavyo unayemtazama hivyo naye anakutazama hivyo hivyoNaam,kwa sababu ataabudia kisichostahiki kuabudiwa
Hakujengei wewe kanisa, anajijengea yeye..!! We baki na msikiti wako kama ambavyo yeye anatakiwa abaki na kanisa lake..!!Ninakadhia ya kuishi na hao jamaa karibu kwhy siungi mkono mkristo kutoka Mara aje kunijengea Mimi kanisa Mtwara ....kila watu na tamaduni zao kwhy tusiingiliane...
Mkuu hivi kosa kubwa la makafir huwa ni nini?Sasa wewe si ni kafir, ambaye ni
Duni kuliko hata kuku
Kupinga mfumo aliouweka muumba na kuleta uovu na uasi dunianiMkuu hivi kosa kubwa la makafir huwa ni nini?
Aisee...!!!! Makundi ya kigaidi majina yake na maneno wayatamkayo wakati wa kutekeleza ugaidi yanaashiria uislamu..! ISIS etcKupinga mfumo aliouweka muumba na kuleta uovu na uasi duniani
Ili makafir wajisahihishe na kupata msamaha inatakiwa wafanyaje?Kupinga mfumo aliouweka muumba na kuleta uovu na uasi duniani
Mambo hayaendi hivyo tumia Akili hata Kidogo,ni sawa uulize mtu amzae mtoto Kisha ambake vipi polisi imkamate kwan mtoto si ni wake?Unakielewa ulichokiandika? Kwani muislam nini kitamfanya akaabudu huko wanakoabudu wakristo..!? Kwa mujibu wa imani yako ndo unaona wanachokiabudu wengine ndo hakistahili kuabudiwa, kama ambavyo unayemtazama hivyo naye anakutazama hivyo hivyo
Wasilim au wakubali kuwa chini ya uislamIli makafir wajisahihishe na kupata msamaha inatakiwa wafanyaje?
Ujinga huu sitakuja ufanya..!!Wasilim au wakubali kuwa chini ya uislam
Na ndiyo maana ukaitwa kafirUjinga huu sitakuja ufanya..!!
Kwa hiyo tukusaidiaje?Aisee...!!!! Makundi ya kigaidi majina yake na maneno wayatamkayo wakati wa kutekeleza ugaidi yanaashiria uislamu..! ISIS etc
We niite vyovyote vile, UJINGA HUO SITAKUJA KUUFANYANa ndiyo maana ukaitwa kafir
Word....makelele yamezidi.Aisee!!
Halafu ndugu zetu waislam hizi Habari za vipaza sauti sa10 usiku nashauri muachane nazo, zinatupa usumbufu mkubwa.
Sikuizi kuna alarm kwenye simu hata ya 20,000 mtu mwenye imani ya kweli ataamka tu kuswali.
Hii style nahisi ilitumika kuwajuza watu muda wa swala wakati ambao technology ilikuwa ya kiwango cha chini tusiifanye ikawa ndo utaratibu wa dini.
Maisha magumu mtu unachelewa kulala ile unajigeuza kidogo umalizie ka usingizi kako, mara ghafla kelele na usingizi unaishia hapo.
إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ ﴿٦﴾We niite vyovyote vile, UJINGA HUO SITAKUJA KUUFANYA
Eti nini...!?Hatutaki ukafiri na ushoga