Black Tanzanite
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 218
- 244
- Thread starter
-
- #61
Wapi muislamu kakatazwa nguruwe... Nipe aya au hadithi!Ni vile unamuhusisha kwa vile unajua kakatazwaš¤£š¤£kuna haja gani ya kumuhusisha?
Uislamu hauruhusu kumchukiza mtu ni makruu ...Unatakiwa usome ujue dhambi ,haramu na makruu halafu uje.
Hakuna anayemchukia Nguruwe ila nyie mnapenda kuwahusisha waislamu kwenye mada zenu za nguruwe.
Hizo nyingine mbona zinatajwa kila siku ,nina mwaka sijawahi kusikia hotuba ya ijumaa ikitaja nguwure zaidi ya kukataza; zinaa ,riba ,na kusisitiza kufanya ibada na kusaidiana.
Hamna unachojua ,hakuna hadithi inaweza kupingana na uislamu ...Kasome suratul baqra.Wapi muislamu kakatazwa nguruwe... Nipe aya au hadithi!
Kulingana Na Biblia tukiacha Quran (Tuliipumzisha)..
Chuki ya Nguruwe Inatoka Huko..Mnyama aliyeandikwa Ni chukizo kwenu Unamzungumziaje?
1. Mambo ya Walawi 11:7-8
"Nguruwe, kwa kuwa ana kwato, tena kwato zake zimegawanyika katikati, lakini hacheui; yeye ni najisi kwenu. Nyama yao msile, wala mizoga yao msiiguse; hao ni najisi kwenu."
2. Kumbukumbu la Torati 14:8
"Na nguruwe, kwa kuwa ana kwato lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu; msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao."
3. Isaya 65:2-4
"Nimeinyosha mikono yangu mchana kutwa kwa watu waasi, waendao katika njia isiyo njema, wakifuata mawazo yao wenyewe... watu wale wanaokaa katika makaburi, na kulala katika mahali palipofichika; wale walao nyama ya nguruwe, na supu ya vitu vichukizao vi katika vyombo vyao."
4. Isaya 66:17
"Wale wajitakasao na kujisafisha katika bustani, wakimfuata mmoja aliye katikati yao, wakila nyama ya nguruwe yenye machukizo, na panya, wataangamizwa pamoja, asema Bwana."
Waislam hatujakatazwa kumtafuna Nguruwe ila tumekatazwa kumtafuna hadi tuvimbiwe.Assalaam alaykum,
Leo bhana wakati nimemaliza kuftari na kushiba basi yakawa yanakuja mawazo kedekede kuhusu mafundisho ya dini....
Nimetafakari nimeona waislam wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji, kuliko kamari na kadhalika! Kitu ambacho binafsi nimegundua sio sahihi kabisa, TUNAKOSEA MNO, hiki ni kiumbe cha Allah mtukufu, na hajatuamrisha tukichukie!
Hiki kiumbe kama vilivyo viumbe vingine kinaweza kuwa msaada mkubwa sana kwa jamii yetu, "sasaiv" nasikia unaweza kuungwa mguu wake kama wako umekatikaš„“ hivyo basi nawasii mno MSIMCHUKIE HANA HATIA KABISA!
Nb:-Allah mtukufu kaharamisha nyama ya nguruwe kuliwa na muumini., kama alivyoharamisha DAMU, NYAMAFU, KAMARI NA ZINAAš
Nimeambatanisha na picha ya KIUMBE CHA ALLAH MTUKUFU, kikiwa kimepozi kinakuangalia kwa huruma wewe unaekipiga rungu na kukiua, na wewe unaekichukia bila elimu..! Asanteni kwa kujaš¤
View attachment 3265913
Punguza dhereu... Ukiachana na hiyo pumzi unayoringia kuna AFYA PIA.... MUNGU ANA ASKARI WENGI SANA TENA WA KILA NAMNAššWaislam hatujakatazwa kumtafuna Nguruwe ila tumekatazwa kumtafuna hadi tuvimbiwe.
Kama uwezo wako ni kula nyama kilo moja basi ukikutana na kitimoto unaanrishwa kula nusu kilo tu.
Nimekwambia nipe aya na hadithi... unaniambia nikasome al baqara, we umechanganyikiwa!? Haya nimesoma inasema alif lam miim, dhaalikal kutaab laaraibafih huddalilmutaqiin, enhee?!Hamna unachojua ,hakuna hadithi inaweza kupingana na uislamu ...Kasome suratul baqra.
Nilijua tu hamna unachojua ...Hadithi ni marejeo ya pili na kama yanakinzana na Qur an basi ni batili...
š¤£šš¤£šš¤£šAssalaam alaykum,
Leo bhana wakati nimemaliza kuftari na kushiba basi yakawa yanakuja mawazo kedekede kuhusu mafundisho ya dini....
Nimetafakari nimeona waislam wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji, kuliko kamari na kadhalika! Kitu ambacho binafsi nimegundua sio sahihi kabisa, TUNAKOSEA MNO, hiki ni kiumbe cha Allah mtukufu, na hajatuamrisha tukichukie!
Hiki kiumbe kama vilivyo viumbe vingine kinaweza kuwa msaada mkubwa sana kwa jamii yetu, "sasaiv" nasikia unaweza kuungwa mguu wake kama wako umekatikaš„“ hivyo basi nawasii mno MSIMCHUKIE HANA HATIA KABISA!
Nb:-Allah mtukufu kaharamisha nyama ya nguruwe kuliwa na muumini., kama alivyoharamisha DAMU, NYAMAFU, KAMARI NA ZINAAš
Nimeambatanisha na picha ya KIUMBE CHA ALLAH MTUKUFU, kikiwa kimepozi kinakuangalia kwa huruma wewe unaekipiga rungu na kukiua, na wewe unaekichukia bila elimu..! Asanteni kwa kujaš¤
View attachment 3265913
Kulingana Na Biblia tukiacha Quran (Tuliipumzisha)..
Chuki ya Nguruwe Inatoka Huko..Mnyama aliyeandikwa Ni chukizo kwenu Unamzungumziaje?
1. Mambo ya Walawi 11:7-8
"Nguruwe, kwa kuwa ana kwato, tena kwato zake zimegawanyika katikati, lakini hacheui; yeye ni najisi kwenu. Nyama yao msile, wala mizoga yao msiiguse; hao ni najisi kwenu."
2. Kumbukumbu la Torati 14:8
"Na nguruwe, kwa kuwa ana kwato lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu; msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao."
3. Isaya 65:2-4
"Nimeinyosha mikono yangu mchana kutwa kwa watu waasi, waendao katika njia isiyo njema, wakifuata mawazo yao wenyewe... watu wale wanaokaa katika makaburi, na kulala katika mahali palipofichika; wale walao nyama ya nguruwe, na supu ya vitu vichukizao vi katika vyombo vyao."
4. Isaya 66:17
"Wale wajitakasao na kujisafisha katika bustani, wakimfuata mmoja aliye katikati yao, wakila nyama ya nguruwe yenye machukizo, na panya, wataangamizwa pamoja, asema Bwana.
Kutokana na hizo aya hapo Alieharamishwa ni nguruwe ama nyama yake...!? šKulingana Na Biblia tukiacha Quran (Tuliipumzisha)..
Chuki ya Nguruwe Inatoka Huko..Mnyama aliyeandikwa Ni chukizo kwenu Unamzungumziaje?
1. Mambo ya Walawi 11:7-8
"Nguruwe, kwa kuwa ana kwato, tena kwato zake zimegawanyika katikati, lakini hacheui; yeye ni najisi kwenu. Nyama yao msile, wala mizoga yao msiiguse; hao ni najisi kwenu."
2. Kumbukumbu la Torati 14:8
"Na nguruwe, kwa kuwa ana kwato lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu; msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao."
3. Isaya 65:2-4
"Nimeinyosha mikono yangu mchana kutwa kwa watu waasi, waendao katika njia isiyo njema, wakifuata mawazo yao wenyewe... watu wale wanaokaa katika makaburi, na kulala katika mahali palipofichika; wale walao nyama ya nguruwe, na supu ya vitu vichukizao vi katika vyombo vyao."
4. Isaya 66:17
"Wale wajitakasao na kujisafisha katika bustani, wakimfuata mmoja aliye katikati yao, wakila nyama ya nguruwe yenye machukizo, na panya, wataangamizwa pamoja, asema Bwana."
Quran 2:173Nimekwambia nipe aya na hadithi... unaniambia nikasome al baqara, we umechanganyikiwa!? Haya nimesoma inasema alif lam miim, dhaalikal kutaab laaraibafih huddalilmutaqiin, enhee?!
Ndio propaganda zenu za kujifariji tumezizoeaSiyo waislam wote hawali mdudu! Labda ni wewe tu na wenzako wachache.
Manake nguruwe analiwa hajakatazwa,kwanini sasa mmejaza unafiki wakati kumbe analiwa kwani ukichinja kondoo ili ule si unafanya jambo lile lie la kuokoa uhai wako usife njaa.Mwanadamu ana haki zaidi ya kuishi kuliko kiumbe kingine duniani....hata ikiwa kula mavi itamuongezea uhai mahala pa njaa ANARUHUSIWA
Lakini si mmeambiwa MAMBO YAKIWA MAGUMU KULENI TU..!!??Assalaam alaykum,
Leo bhana wakati nimemaliza kuftari na kushiba basi yakawa yanakuja mawazo kedekede kuhusu mafundisho ya dini....
Nimetafakari nimeona waislam wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji, kuliko kamari na kadhalika! Kitu ambacho binafsi nimegundua sio sahihi kabisa, TUNAKOSEA MNO, hiki ni kiumbe cha Allah mtukufu, na hajatuamrisha tukichukie!
Hiki kiumbe kama vilivyo viumbe vingine kinaweza kuwa msaada mkubwa sana kwa jamii yetu, "sasaiv" nasikia unaweza kuungwa mguu wake kama wako umekatikaš„“ hivyo basi nawasii mno MSIMCHUKIE HANA HATIA KABISA!
Nb:-Allah mtukufu kaharamisha nyama ya nguruwe kuliwa na muumini., kama alivyoharamisha DAMU, NYAMAFU, KAMARI NA ZINAAš
Nimeambatanisha na picha ya KIUMBE CHA ALLAH MTUKUFU, kikiwa kimepozi kinakuangalia kwa huruma wewe unaekipiga rungu na kukiua, na wewe unaekichukia bila elimu..! Asanteni kwa kujaš¤
View attachment 3265913
Siku hizi za mfungo huko inakoliwa inadoda sana yaani..!!Ndio propaganda zenu za kujifariji tumezizoea
Nani kakwambia Nguruwe anachukiwa? ni suala la amri tu kuwa asiliwe sio achukiweAssalaam alaykum,
Leo bhana wakati nimemaliza kuftari na kushiba basi yakawa yanakuja mawazo kedekede kuhusu mafundisho ya dini....
Nimetafakari nimeona waislam wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji, kuliko kamari na kadhalika! Kitu ambacho binafsi nimegundua sio sahihi kabisa, TUNAKOSEA MNO, hiki ni kiumbe cha Allah mtukufu, na hajatuamrisha tukichukie!
Hiki kiumbe kama vilivyo viumbe vingine kinaweza kuwa msaada mkubwa sana kwa jamii yetu, "sasaiv" nasikia unaweza kuungwa mguu wake kama wako umekatikaš„“ hivyo basi nawasii mno MSIMCHUKIE HANA HATIA KABISA!
Nb:-Allah mtukufu kaharamisha nyama ya nguruwe kuliwa na muumini., kama alivyoharamisha DAMU, NYAMAFU, KAMARI NA ZINAAš
Nimeambatanisha na picha ya KIUMBE CHA ALLAH MTUKUFU, kikiwa kimepozi kinakuangalia kwa huruma wewe unaekipiga rungu na kukiua, na wewe unaekichukia bila elimu..! Asanteni kwa kujaš¤
View attachment 3265913
Ndio kuishi ni bora kuliko kufa kwenye mazingira kama hayo ruksa kula ili usife sio suala la kufanya ni jambo la kawaida kuliwaLakini si mmeambiwa MAMBO YAKIWA MAGUMU KULENI TU..!!??
Na ikaja hiiKulingana Na Biblia tukiacha Quran (Tuliipumzisha)..
Chuki ya Nguruwe Inatoka Huko..Mnyama aliyeandikwa Ni chukizo kwenu Unamzungumziaje?
1. Mambo ya Walawi 11:7-8
"Nguruwe, kwa kuwa ana kwato, tena kwato zake zimegawanyika katikati, lakini hacheui; yeye ni najisi kwenu. Nyama yao msile, wala mizoga yao msiiguse; hao ni najisi kwenu."
2. Kumbukumbu la Torati 14:8
"Na nguruwe, kwa kuwa ana kwato lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu; msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao."
3. Isaya 65:2-4
"Nimeinyosha mikono yangu mchana kutwa kwa watu waasi, waendao katika njia isiyo njema, wakifuata mawazo yao wenyewe... watu wale wanaokaa katika makaburi, na kulala katika mahali palipofichika; wale walao nyama ya nguruwe, na supu ya vitu vichukizao vi katika vyombo vyao."
4. Isaya 66:17
"Wale wajitakasao na kujisafisha katika bustani, wakimfuata mmoja aliye katikati yao, wakila nyama ya nguruwe yenye machukizo, na panya, wataangamizwa pamoja, asema Bwana."
Hata wana wa Israel walikatazwa kwahiyo na wao walikuwa na connection na majina? kama hujui kitu vitu vingine vikupite tuKuna connection kubwa sana kati ya uislam na majini.
Na majini yanaogopa sana hii kitu.
Usishangae nguvu kubwa ianyotumika kukipiga vita zaidi ya zinaa na mabaya mengine.
Basi kumbe wote twala..!! Tofauti yetu ni mazngira tu ya kula.Ndio kuishi ni bora kuliko kufa kwenye mazingira kama hayo ruksa kula ili usife sio suala la kufanya ni jambo la kawaida kuliwa
Kwani kuwa chadema lazima uwe na akili pungufu!? šNani kakwambia Nguruwe anachukiwa? ni suala la amri tu kuwa asiliwe sio achukiwe