jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hasara ni nini kama sio hasara kwa majini ya jangwani,mana nguruwe analiwa sana ulaya,marekani na uchini je hao wamepata hasara gani mpaka sasa,ndio wanao kufanya uinashi humu dunia kupitia teknolojia zao na uvumbuzi.Hasara ya nyama yake ni kubwa kuliko faida acha kula kitimoto
Hoja yako iko wapi?Kwani kuwa chadema lazima uwe na akili pungufu!? 🙂
Kwa waislam haitofaa hiyo kitusasaiv" nasikia unaweza kuungwa mguu wake kama wako umekatika
Kwa rejea ipi..!?Kwa waislam haitofaa hiyo kitu
Ndio kuna mazingira hata Nyama ya mtu inaliwa, lakini huwezi kusema kuwa ni kawaida kula nyama ya mtu sawa kabisa na Uislamu na NguruweBasi kumbe wote twala..!! Tofauti yetu ni mazngira tu ya kula.
Uwe unaelewa hoja kabla hujaijadili hojaHoja yako iko wapi?
Swala si ukawaida, swala ni DHAMBI. Whether una hali ngumu au la, kula nyama ya nguruwe kwa muislamu ni dhambiNdio kuna mazingira hata Nyama ya mtu inaliwa, lakini huwezi kusema kuwa ni kawaida kula nyama ya mtu sawa kabisa na Uislamu na Nguruwe
Hakuna mahali waislamu wana mchukia Nguruwe kiswahili ni kigumu sana, amri imekuja asiliwe kama mbuzi au kondooAnachukiwa kipindi cha mfungo.
Lete hoja yako maana umetaja chadema wakati mada inahusu Nguruwe acha kuwewesekaUwe unaelewa hoja kabla hujaijadili hoja
Biashara ni mbaya mno kipindi hiki mkuu.Hakuna mahali waislamu wana mchukia Nguruwe kiswahili ni kigumu sana, amri imekuja asiliwe kama mbuzi au kondoo
Hakuna dhambi kama mazingira ya kuliwa yamefikiwaSwala si ukawaida, swala ni DHAMBI. Whether una hali ngumu au la, kula nyama ya nguruwe kwa muislamu ni dhambi
Sasa hapo wapi wametaja nguruweHata Allah subhanahu mwenyewe anawashangaa Waislamu kwa kumzushia Uongo!
Ametuusia tusishuhudie na Waislam pale wanapomzushia Uongo kwamba ameharamisha kula nguruwe!
Q6:150 Sema: Leteni mashahidi wenu watao shuhudia kuwa Mwenyezi Mungu ameharimisha hawa. Basi wakishuhudia, wewe usishuhudie pamoja nao. Wala usifuate matamanio ya walio zikanusha Ishara zetu, wala hawaiamini Akhera, na ambao wanamlinganisha Mola Mlezi wao na wengine.
(Tarjuma ya Muhsin al Barwan)
Kula mtu basi...si analika pia ukiamua!?Manake nguruwe analiwa hajakatazwa,kwanini sasa mmejaza unafiki wakati kumbe analiwa kwani ukichinja kondoo ili ule si unafanya jambo lile lie la kuokoa uhai wako usife njaa.
Ndio kwasababu ni sehemu ya jamii hata maji mchana siku hizi watu hawauzi kama kawaidaBiashara ni mbaya mno kipindi hiki mkuu.
Karibu tule kitimotoHakuna dhambi kama mazingira ya kuliwa yamefikiwa
Na sisi pia tunakushangaaHuwa nawashangaa sana watu wa dini ya kiislamu
Wewe
Kula mtu basi...si analika pia ukiamua!?